Dkt. Mpango: Mkandarasi wa Bwawa la Nyerere hana Uzoefu, pia mradi upo nyuma ya muda

Dkt. Mpango: Mkandarasi wa Bwawa la Nyerere hana Uzoefu, pia mradi upo nyuma ya muda

Kuna miradi hii miwili serikali ya sasa haina ubavu wa kuimalizia. Bwawa la mwalimu Nyerere na SGR. Wataleta visingizio lukuki ukweli ni kwamba hawana ubavu wa kumalizia hivi ndo viatu vikubwa vya JPM haviwatoshi waendelee tu kuchoma hela kwa kuzunguka hewani na ziara zao za kuuza nchi
 
Mambo ya ajabu sana haya. Na sababu kama sijakosea kuwa na subcontractors wengi ikikuwa kuongeza kasi ya utekelezaji wa kazi, Hayati alisema mahali. Lakini ukisikiliza hotuba za Mh huyu pale JNIA, kwenye uapisho wa wateule juzi Dodoma, kuna siku nyuma kidogo alisahau jukumu la kumkaribisha Mh Rais akaongea aliyo ya ongea akasepa ili bidi akumbushwe na msimamizi wa shughuli. Hatimaye unakuta yako maswali mengi ya kujiuliza kuliko majibu. Mh Mpango wakati ni Waziri wa Fedha akishuka nondo za nguvu na kwa kutulia mpaka unakubali mnyewe. Sijui nini kinamnyemelea? Takwimu za waliochanjwa hazijatolewa muda sasa.
Unanifikirisha sana mkuu! Hivi Serikali zote uendeshwa hivi Duniani?
 
Màgufool hakuwa na elimu ya kutosha kwenye lile likichwa lake lenye uvimbe
 
Duh kumbe mkandarasi mwenyewe aliyeshinda tenda ni dalali nae anatafuta subcontractors
 
S
Kuna miradi hii miwili serikali ya sasa haina ubavu wa kuimalizia. Bwawa la mwalimu Nyerere na SGR. Wataleta visingizio lukuki ukweli ni kwamba hawana ubavu wa kumalizia hivi ndo viatu vikubwa vya JPM haviwatoshi waendelee tu kuchoma hela kwa kuzunguka hewani na ziara zao za kuuza nchi
Sasa kama hawawezi kumalizia hii miradi wanatamani wagombee mwaka 2025 ili wafanye nini? Wakahudhurie Sherehe za kuzima Mwenge wa Uhuru?
 
Fitina za mafisadi team kikwete na mama samia z8meanza lengo ni kukwamusha huo mradi ili makampuni ya gesi walivyo tuibia na mkwere anamanufaa nayo waendelee kutupiga kifisadi ,sisi watz tunataka neno moja tu nwawa likamilike ndani ya wakati
 
Yap wa sgr na huyu Arab contractor ni wakandarasi wa ten percent wa kundi la mwendazake
Hata kama .... pasipo magufuli hata ndoto ya ujenzi wa hilo bwawa isingekuwepo ,tena pasipo magufuli tulikuwa tumesha pigwa na wachina kuhusu sgr ya mafuta kwa bei kubwa tena tunalipishwa huku sgr ikiwa ni mali yao kama kenya
 
Nyie ndugu, kwahiyo hata clip zoote zinazofanya kazi mtazikana?
Daah kweli kuna viumbe hamna haya...

Mlianza ooh mchoro ni wa zamani akazipangua hayati; sasa mmekuja na story zingine siyo? Karne hii kweli mtudanganye watu na akili zetu?

Mashimo mnayochimba mtatumbukia wenyewe, kumbukeni mbele ya safari the back stops with you guys and you will be accountable for all!
Lengo la mafisadi wa ccm ni kukwamisha sgr ya umeme na ilo bwawa ili michongo ya kifisadi ya mkwere kuhusu gesi aliyo ingia mikataba ya kifisadi ifanikiwe
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Power is the ability to make someone do something otherwise he wouldn’t do.

Ndio njaa aliyoenyesha Dr Mpango kwa maelezo yake ya jumla jumla kwa akili za kawaida tu mradi kama huo una ‘project structure’ yake kujua nani ana majukumu gani, OBS kujua usimamizi wake, RAM kusaidia flow of information mpaka kwa raisi mwenyewe.

Sasa kusikiliza kiongozi anaporoka mpaka wewe raia ndio unaona aibu; hata sijui hilo swala unaliweka wapi.

Njaa ndio silaha inayotumiwa sana nchi yetu kuwanyamazisha viongozi wenye kuhoji hasa wabunge.

Mfano Ndugai anapenda kuwapiga mikwara sana wabunge kama alivyomtisha Jerry Slaa. Ya kuwa kanuni karibu zote zinamtaja yeye kama muamuzi bungeni na yupo kwenye kamati kuu ya CCM kwenye mchujo wa wabunge.

Maana yake wabunge wasiende njee ya mitazamo yake na wasihoji asiyoyapenda what an idiot.

Binafsi kama vile naanza kukubali yaishe; hii vita ni kati ya wazalendo na mafisadi ndani ya vyombo vyetu vya usalama.

Bila ya backup ya upande ni kujiweka in the middle of firing squads.

Nonetheless aina maana ntaacha kusemea maslahi yangu what CCM does and opposition struggle is not my problem (let’s face as yet hakuna mbadala wa CCM pamoja na mapungufu yao).

Good Morning 👋
Hivi watanzania wanaoumwa kuona Nchi yao inachezewa hivi wafanyeje? Mimi nilikuwa namkosoa sana Raisi Magufuli wakati mwingine kwa mambo ya Demokrasia lakini ni mtu niliyemuamini kwa dhati kwa jinsi alivyokuwa akiumia juu ya Nchi yake.
 
Hata kama .... pasipo magufuli hata ndoto ya ujenzi wa hilo bwawa isingekuwepo ,tena pasipo magufuli tulikuwa tumesha pigwa na wachina kuhusu sgr ya mafuta kwa bei kubwa tena tunalipishwa huku sgr ikiwa ni mali yao kama kenya
Kuwa na ndoto ndio excuse ya kuwanya na kuhalalisha ufisadi? Acha upumbavu kama ni ndoto alianza kuota Nyerere,Bwawa lingejengwa tuu na mtu mwingine na wakati mwingine aliyekwambia ilikuwa lazima lijengwe na Mwendazake nani?
 
Naona mmeshaanza mafisadi mnataka hizo kampuni zitolewe ili mchukue miradi hiyo nyinyi wapigaji. Mnajidanganya tu hamtafanikiwa.
Kama zilikouka utaratibu zitatolewa tuu na kama zilikuwa zinawapa ten percent jiandaeni kisaikolojia na Kazi za kufanya.
 
Mkandarasi wa miradi mikubwa kama hiyo anashinda tender kutokana na design yake ya mradi wote kuanzia physical project, ulinzi wa mazingira kama ecosystem, namna ya kuvuta maji and so forth with hydro power project scope.

Anakupa na costs zake za kujenga mradi, work break down structure ya wewe kuweza kufuatilia progress ya mradi kwa makubaliano ya muda wa kazi, etc.

Kazi yenyewe inafanywa na sub-contractors anachosimamia mkandarasi na ku coordinate hatua za kazi, kuangalia quality ya kazi, time, anapanga critical path ya mradi na other supervision roles.

Mtu kama makamu wa raisi awezi kwenda kwenye mradi kama huo bila ya mshauri wa maswala ya project management; hivi mbona tunaviongozi waropokaji halafu wepesi sana vichwani ukiwasikiliza.

Au anadhani huu sawa na miradi wa kujenga barabara. Yaani nchi inaviongozi wa ovyo kweli.
Umeona,halafu imagine huyo ndo wamanamuamini kwenye cabinet😂😂😂,nilimuona kwenye ile ziara anatoa maelekezo nikashangaa sana nikasema mbona huyu mtu mjinga sana
 
Kwa Nini 2025?
Wakati akitoa maelekezo alipotembelea mradi wa kufua wa umeme wa stiglers gorge , Mh. Mpango alipongeza kwa kazi nzuri unayoendelea na kuongea mengi yakiwemo

1. Mkandarasi Hana Uzoefu wa kutosha katika ufanyaji wa kazi zake huku akisema kwasababu anatumia subcontractor kwa karibu kazi zote kila sehemu. Serikali labda ilitaka mkandarasi mkuu afanye kazi zote peke yake, lakini sehemu nyingi ameweka wachina

2. Mkandarasi yupo nyuma ya mpango kazi, na kwamba amechelewa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mafuriko na uvico19. Kauli ambayo Kalemani amekuwa akitudanganya kuwa tupo mbele ya muda na maji yataanza kujazwa Mwezi wa 11 tarehe 15, na kuwasha mitambo June 2022( KAULI AMBAYO NI DHAHIRI ALITUDANGANYA NA ILIKUWA YA KISIASA) Laini Makamu wa Rais ameongea ukweli.

Kutokana na Kauli ya Mh. Makamu wa Rais ni DHAHIRI kuwa Mradi huu hautaweza kukamilika 2022 Wala 2023 Wala 2024 labda 2025.
 
Mkandarasi wa miradi mikubwa kama hiyo anashinda tender kutokana na design yake ya mradi wote kuanzia physical project, ulinzi wa mazingira kama ecosystem, namna ya kuvuta maji and so forth with hydro power project scope.

Anakupa na costs zake za kujenga mradi, work break down structure ya wewe kuweza kufuatilia progress ya mradi kwa makubaliano ya muda wa kazi, etc.

Kazi yenyewe inafanywa na sub-contractors anachosimamia mkandarasi na ku coordinate hatua za kazi, kuangalia quality ya kazi, time, anapanga critical path ya mradi na other supervision roles.

Mtu kama makamu wa raisi awezi kwenda kwenye mradi kama huo bila ya mshauri wa maswala ya project management; hivi mbona tunaviongozi waropokaji halafu wepesi sana vichwani ukiwasikiliza.

Au anadhani huu sawa na miradi wa kujenga barabara. Yaani nchi inaviongozi wa ovyo kweli.
Hata Mimi nilikuwa nashangaa dah, wanasiasa wa Tanzania majanga,Kama Hana la kusema si Bora angenyamaza
 
Hata kama .... pasipo magufuli hata ndoto ya ujenzi wa hilo bwawa isingekuwepo ,tena pasipo magufuli tulikuwa tumesha pigwa na wachina kuhusu sgr ya mafuta kwa bei kubwa tena tunalipishwa huku sgr ikiwa ni mali yao kama kenya
Asante Mungu kwa kutuondolea JIWE
 
Back
Top Bottom