Dkt. Mpango: Mkandarasi wa Bwawa la Nyerere hana Uzoefu, pia mradi upo nyuma ya muda

Dkt. Mpango: Mkandarasi wa Bwawa la Nyerere hana Uzoefu, pia mradi upo nyuma ya muda

Siempre siempre Jumbe Brown anasubiria umeme wa Stigler July 2022 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ondoa upuuzi wako, kama ni ku design tu hata watu wa VETA wangeweza ku design.
Mkandarasi wa miradi mikubwa kama hiyo anashinda tender kutokana na design yake ya mradi wote kuanzia physical project, ulinzi wa mazingira kama ecosystem, namna ya kuvuta maji and so forth with hydro power project scope.

Anakupa na costs zake za kujenga mradi, work break down structure ya wewe kuweza kufuatilia progress ya mradi kwa makubaliano ya muda wa kazi, etc.

Kazi yenyewe inafanywa na sub-contractors anachosimamia mkandarasi na ku coordinate hatua za kazi, kuangalia quality ya kazi, time, anapanga critical path ya mradi na other supervision roles.

Mtu kama makamu wa raisi awezi kwenda kwenye mradi kama huo bila ya mshauri wa maswala ya project management; hivi mbona tunaviongozi waropokaji halafu wepesi sana vichwani ukiwasikiliza.

Au anadhani huu sawa na miradi wa kujenga barabara. Yaani nchi inaviongozi wa ovyo kweli.
 
Kwa hiyo hao Arab contractors wanawaachia wazawa ujuzi wa kujenga mabwawa ya umeme? Kalaghabao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mchina amewaaribu hawa watu akipewa mradi mkubwa anafanya kila mwenyewe aachi hujuzi kwa wengine.

So kwenye vichwa vyao contractor anatakiwa kufanya kila kitu watu wa ovyo kweli.
 
Wewe siempre siempre Aswan Dam ilijengwa na USSR na Arab Contractors.
"Aswan Dam" imejengwa na haohao ARAB CONTRACTORS tena miaka ya 1960...... Serikali ya awamu ya 5 haikukosea......
 
Kwa nini unawazia hivyo?
Lakini nawaza pia bado kuna uwezekano baada ya JPM kufariki ndo wameanza kufanya huu upuuzi ili kumfanya jiwe aonekane alikua anatudanganya ili wao ndo waonekane bora zaidi wkt kuna uwezekano sio kweli.
 
Wakati akitoa maelekezo alipotembelea mradi wa kufua wa umeme wa stiglers gorge , Mh. Mpango alipongeza kwa kazi nzuri unayoendelea na kuongea mengi yakiwemo
1. Mkandarasi Hana Uzoefu wa kutosha katika ufanyaji wa kazi zake huku akisema kwasababu anatumia subcontractor kwa karibu kazi zote kila sehemu. Serikali labda ilitaka mkandarasi mkuu afanye kazi zote peke yake, lakini sehemu nyingi ameweka wachina
2. Mkandarasi yupo nyuma ya mpango kazi, na kwamba amechelewa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mafuriko na uvico19. Kauli ambayo Kalemani amekuwa akitudanganya kuwa tupo mbele ya muda na maji yataanza kujazwa Mwezi wa 11 tarehe 15, na kuwasha mitambo June 2022( KAULI AMBAYO NI DHAHIRI ALITUDANGANYA NA ILIKUWA YA KISIASA) Laini Makamu wa Rais ameongea ukweli.

Kutokana na Kauli ya Mh. Makamu wa Rais ni DHAHIRI kuwa Mradi huu hautaweza kukamilika 2022 Wala 2023 Wala 2024 labda 2025.

7 March 2020

WAZIRI KALEMANI "BADO ASILIMIA 15 KUKAMILISHA UJENZI WA BWAWA LA UMEME LA MWL NYERERE"



Kasi ya ujenzi wa mradi wa bwawa la kufua umeme la Nyerere JNHPP / STIEGLER'S GORGE / RUFIJI imefikia asilimia 85 jambo lililowavutia kamati ya kudumu ya bajeti ya bunge .

Nje ya kikao cha kamati ya kudumu ya bajeti ya bunge waziri wa nishati MEDARD KALEMAN anaeleza ujenzi wa mradi huo ulipofikia.

Source : Global TV online
 
Aswan Dam imejengwa na USSR na Arab Contractors.
Arab contractor imeanzishwa kabla makamu hajazaliwa.. na kabla Tanzania haijazaliwa arab contractors ipo duniani.. na imejenga Aswan dam na mabwawa kibao.. ila leo tunaambiwa hawana uzoefu
 
12 April 2021

WAZIRI KALEMANI Ataja TAREHE ya KUJAZA MAJI BWAWA la NYERERE, WABUNGE Wote WAPIGA SHANGWE...



Wabunge wameendelea Kuchangia Mpango wa Maendeleo wa 2025 Katika Bunge La 12 Kikao Cha Tatu Kimeongozwa Na Spika, Job Ndugai, Leo Aprili 12, 2021 Jijini Dodoma... bwawa la Nyerere litaanza kujazwa maji tarehe 15 November 2021 kabla ya saa 12 jioni, Bunge la lipuka kwa shangwe. Mh. Spika wa Bunge la Muungano la Tanzania amuomba waziri Kalemani arudie ahadi hiyo, bila ajizi waziri Dr. Medard Kalemani anarudia kuwa tarehe 15 November 2021 Bwawa la Julius Nyerere litaanza kujazwa maji kabla ya saa 12 jioni...

Source : Global TV online

Ubarinolutu PTER Katavi Yetu Salary Slip Erythrocyte johnthebaptist BAK
 
Wakati akitoa maelekezo alipotembelea mradi wa kufua wa umeme wa stiglers gorge , Mh. Mpango alipongeza kwa kazi nzuri unayoendelea na kuongea mengi yakiwemo
1. Mkandarasi Hana Uzoefu wa kutosha katika ufanyaji wa kazi zake huku akisema kwasababu anatumia subcontractor kwa karibu kazi zote kila sehemu. Serikali labda ilitaka mkandarasi mkuu afanye kazi zote peke yake, lakini sehemu nyingi ameweka wachina
2. Mkandarasi yupo nyuma ya mpango kazi, na kwamba amechelewa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mafuriko na uvico19. Kauli ambayo Kalemani amekuwa akitudanganya kuwa tupo mbele ya muda na maji yataanza kujazwa Mwezi wa 11 tarehe 15, na kuwasha mitambo June 2022( KAULI AMBAYO NI DHAHIRI ALITUDANGANYA NA ILIKUWA YA KISIASA) Laini Makamu wa Rais ameongea ukweli.

Kutokana na Kauli ya Mh. Makamu wa Rais ni DHAHIRI kuwa Mradi huu hautaweza kukamilika 2022 Wala 2023 Wala 2024 labda 2025.
Mmeshaanza nyinyi mafisadi story zenu za upigaji.
 
Mmmhhh..!! Mh. Mpango anasema mkandarasi hana uzoefu wa kutosha? Sasa alipewaje kazi? Kama ni sub-contractor na hana uzoefu wa kutosha, atajenga ktk viwango vya kimataifa kweli Bwawa letu la umeme? Au ndio mwanzo wa figisu?
Mpango si alikuwa waziri wa Fedha na alikuwa mstari wa mbele ktk ujenzi wa bwawa hili na bungeni alitetea sana, kama mkandarasi hana uzoefu kwa nafasi yake akiwa waziri wa fedha alishindwa nini kusema haya leo anayosema mapema?
Usiwafuate hao mafisadi wanapotosha tu kwa manufaa yao.
 
Mmmhhh..!! Mh. Mpango anasema mkandarasi hana uzoefu wa kutosha? Sasa alipewaje kazi? Kama ni sub-contractor na hana uzoefu wa kutosha, atajenga ktk viwango vya kimataifa kweli Bwawa letu la umeme? Au ndio mwanzo wa figisu?
Mpango si alikuwa waziri wa Fedha na alikuwa mstari wa mbele ktk ujenzi wa bwawa hili na bungeni alitetea sana, kama mkandarasi hana uzoefu kwa nafasi yake akiwa waziri wa fedha alishindwa nini kusema haya leo anayosema mapema?
Unadhani yeye alikuwa haogopi kuuawa. Watu wengi kipindi cha mwendazake walikuwa wanasema uongo
 
Back
Top Bottom