Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawajua hao ARAB CONTRACTOR,au unajua Wachina tu. Fuagilia utajua.Unampaja mtu asie na uzoefu kutekeleza mradi mkubwa kama huo?
Yale yale ya Richmond.
Nenda kafanye ukarabati wa ufipa kwanza; acha kupiga mayowe yasiyo na tija hapa.Richmond ya awamu ya Jiwe hiyo inakuja
Umuoni alivyofura siku hizi na kunawiri; tafuta picha zake za kabla ya kuwa waziri wa fedha.
Kuna watu wao wanafikiria shibe yao tu, hiyo ndio namna yake ya kukazia mama yupo sahihi kumtimua Kalemani nishati (ukiniuliza mimi Kalemani kajifukuzisha mwenyewe kwa kukaa kimya wakati umeme unakatika ovyo).
Sasa wao kumfurahisha boss wanaongezea na chumvi zao; as the saying goes ‘shibe mwanamalevya, njaa mwanamalegeza’.
Ndugu acha Kudanganya watu. Miradi mikubwa kama hii lazima kuwe na Consultant ambaye huwa ni Designer na Main supervisor wa Project husika. LabdaMkandarasi wa miradi mikubwa kama hiyo anashinda tender kutokana na design yake ya mradi wote kuanzia physical project, ulinzi wa mazingira kama ecosystem, namna ya kuvuta maji and so forth with hydro power project scope.
Anakupa na costs zake za kujenga mradi, work break down structure ya wewe kuweza kufuatilia progress ya mradi kwa makubaliano ya muda wa kazi, etc.
Kazi yenyewe inafanywa na sub-contractors anachosimamia mkandarasi na ku coordinate hatua za kazi, kuangalia quality ya kazi, time, anapanga critical path ya mradi na other supervision roles.
Mtu kama makamu wa raisi awezi kwenda kwenye mradi kama huo bila ya mshauri wa maswala ya project management; hivi mbona tunaviongozi waropokaji halafu wepesi sana vichwani ukiwasikiliza.
Au anadhani huu sawa na miradi wa kujenga barabara. Yaani nchi inaviongozi wa ovyo kweli.
Unampaja mtu asie na uzoefu kutekeleza mradi mkubwa kama huo?
Yale yale ya Richmond.
Why using the word Architecture? Kwamba Designer wa project yoyote ile anaitwa kwa hilo jina? Ule mradi unahusisha multiple Disciplines! Electrical, Civil, Mechanical Engineering, Environmental etc...wote ni Architecturals??Miradi mikubwa aijengwi na architecture mwenyewe; sub contractors ndio wanafanya kazi.
Labda kwa sababu hatuna uzoefu wa miradi mikubwa; kinyerezi power plant nadhani ni Germany design sasa ule mradi umejengwa na wajerumani wenyewe au subcontractors na kusimamia na ma-engineer wa kitanzania.
Ungelikuwa mradi wa wachina ungewaona wao tu.
Arab contractor imeanzishwa kabla makamu hajazaliwa.. na kabla Tanzania haijazaliwa arab contractors ipo duniani.. na imejenga Aswan dam na mabwawa kibao.. ila leo tunaambiwa hawana uzoefu
Isije ikawa Manyanga construction ndio walipewa tenda na mwendazakeOhooo ,niliwaambia hii miradi ya mfukoni ,, mkandarasi aliletwa na Sukuma gang Ili wapige pesa ndio maana akina Kalemani walikuwa wanajitahidi kuficha taarifa nk..
Eti na yule Kadogosa alitaka yule mkandarasi wao wa yep Markez apewe tenda bila ushindani.
Mama fukuza hiyo miradi ina upigaji wa kutisha na fukuza watu wa Mwendazake wote.
Baba zima lina ramba sikonkiko za mtu na lenywe lilikuw linatoa pesa leo lina ropoka kma toto dgoMmmhhh..!! Mh. Mpango anasema mkandarasi hana uzoefu wa kutosha? Sasa alipewaje kazi? Kama ni sub-contractor na hana uzoefu wa kutosha, atajenga ktk viwango vya kimataifa kweli Bwawa letu la umeme? Au ndio mwanzo wa figisu?
Mpango si alikuwa waziri wa Fedha na alikuwa mstari wa mbele ktk ujenzi wa bwawa hili na bungeni alitetea sana, kama mkandarasi hana uzoefu kwa nafasi yake akiwa waziri wa fedha alishindwa nini kusema haya leo anayosema mapema?
Nani aliye design huo mradi?Ndugu acha Kudanganya watu. Miradi mikubwa kama hii lazima kuwe na Consultant ambaye huwa ni Designer na Main supervisor wa Project husika. Labda
Ututhibitishie kuwa huo mradi wa Umeme Contractor ndio pia Designer wa hiyo Project..
Nimekusoma vizuri tu, mara ya mwisho Leo tu himu ukidhihaki ukweli wa maumivu ya wengine ukiyaita delusions za Twitter na JF. Kama kuna anayekuamini humu mwambie nina daraja aje nimuuzieLabda kama ulikuwa unisomi humu wakati yupo hai kuna vitu nilikuwa naponda kila siku; vingi tu.
Mie sio mfuasi wa mtu sana bali ideas, na maslahi yangu mapana. Kuna mambo serikali ikifanya yana positive direct and indirect impact kwangu; alikadhalika kuna mengine yana negative consequences too.
So nasimama na yaliyo positive kwangu na kwa jamii kwa upana wake; mtu sina tabia ya kuabudu.
What does an architecture do?Why using the word Architecture? Kwamba Designer wa project yoyote ile anaitwa kwa hilo jina? Ule mradi unahusisha multiple Disciplines! Electrical, Civil, Mechanical Engineering, Environmental etc...wote ni Architecturals??
Kama sijakuelewa vile unauza madaraja, sitaki hata kujua unapohifadhi hizo inventory zako.Nimekusoma vizuri tu, mara ya mwisho Leo tu himu ukidhihaki ukweli wa maumivu ya wengine ukiyaita delusions za Twitter na JF. Kama kuna anayekuamini humu mwambie nina daraja aje nimuuzie