Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Moja ya athari za kutumia sub-contractors wengi bila shaka itakuwa ni kuongeza gharama za mradi na hizi gharama zinabebeshwa walipa kodi masikini wa nchi hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ndugu, kwahiyo hata clip zoote zinazofanya kazi mtazikana?Ohooo ,niliwaambia hii miradi ya mfukoni ,, mkandarasi aliletwa na Sukuma gang Ili wapige pesa ndio maana akina Kalemani walikuwa wanajitahidi kuficha taarifa nk..
Eti na yule Kadogosa alitaka yule mkandarasi wao wa yep Markez apewe tenda bila ushindani.
Mama fukuza hiyo miradi ina upigaji wa kutisha na fukuza watu wa Mwendazake wote.
Atakuwa ameambiwa na wasaidizi wake na si kama ameropoka tu.Jiwe hayupo sasa watu wako huru kukosoa madudu yake.Mkandarasi wa miradi mikubwa kama hiyo anashinda tender kutokana na design yake ya mradi wote kuanzia physical project, ulinzi wa mazingira kama ecosystem, namna ya kuvuta maji and so forth with hydro power project scope.
Anakupa na costs zake za kujenga mradi, work break down structure ya wewe kuweza kufuatilia progress ya mradi kwa makubaliano ya muda wa kazi, etc.
Kazi yenyewe inafanywa na sub-contractors anachosimamia mkandarasi na ku coordinate hatua za kazi, kuangalia quality ya kazi, time, anapanga critical path ya mradi na other supervision roles.
Mtu kama makamu wa raisi awezi kwenda kwenye mradi kama huo bila ya mshauri wa maswala ya project management; hivi mbona tunaviongozi waropokaji halafu wepesi sana vichwani ukiwasikiliza.
Au anadhani huu sawa na miradi wa kujenga barabara. Yaani nchi inaviongozi wa ovyo kweli.
Clip zinahusikaje na mada?Nyie ndugu, kwahiyo hata clip zoote zinazofanya kazi mtazikana?
Daah kweli kuna viumbe hamna haya...
Mlianza ooh mchoro ni wa zamani akazipangua hayati; sasa mmekuja na story zingine siyo? Karne hii kweli mtudanganye watu na akili zetu?
Mashimo mnayochimba mtatimbukia wenye, kumbukeni mbele ya safari the back stop with you guys and you will be accountable for all!
Ipo sana hiiTanzania ni zaidi ya uijuavyo...
Kwahiyo, kwa lugha inayoeleweka, Mkandarasi HANA SIFA za kupewa hiyo kazi lakini serikali ya Rais Mtukufu bado ikatoa kazi kwa Mkandarasi asiye na sifa!
Yaani, kwa maana nyingine tulimpa kazi Middle Man...
Na pesa anapewa Middle Man
Middle Man anachukua chake, na kinachobaki anawapa subcontractors wanaofanya kazi yenyewe!!
Yaani ni sawa na mtu unampa kazi Civil Contractor akujengee mjengo halafu nae ana-subcontract kila idara including civil works!
Miradi mikubwa aijengwi na architecture mwenyewe; sub contractors ndio wanafanya kazi.Atakuwa ameambiwa na wasaidizi wake na si kama ameropoka tu.Jiwe hayupo sasa watu wako huru kukosoa madudu yake.
Hayo maneno ya Makamu wa Rais yanaweza Leta shida ya kidiplomasia na watu wa Misri, hawatapenda kuzaraulikaMkandarasi wa miradi mikubwa kama hiyo anashinda tender kutokana na design yake ya mradi wote kuanzia physical project, ulinzi wa mazingira kama ecosystem, namna ya kuvuta maji and so forth with hydro power project scope.
Anakupa na costs zake za kujenga mradi, work break down structure ya wewe kuweza kufuatilia progress ya mradi kwa makubaliano ya muda wa kazi, etc.
Kazi yenyewe inafanywa na sub-contractors anachosimamia mkandarasi na ku coordinate hatua za kazi, kuangalia quality ya kazi, time, anapanga critical path ya mradi na other supervision roles.
Mtu kama makamu wa raisi awezi kwenda kwenye mradi kama huo bila ya mshauri wa maswala ya project management; hivi mbona tunaviongozi waropokaji halafu wepesi sana vichwani ukiwasikiliza.
Au anadhani huu sawa na miradi wa kujenga barabara. Yaani nchi inaviongozi wa ovyo kweli.
Wala sidhani if anything wanajifunza kwanini sisi ni nchi maskini kama mtu aliekuwa anasimamia uchumi wetu hana ata abc za project management hana.Hayo maneno ya Makamu wa Rais yanaweza Leta shida ya kidiplomasia na watu wa Misri, hawatapenda kuzaraulika
Mkandarasi wa miradi mikubwa kama hiyo anashinda tender kutokana na design yake ya mradi wote kuanzia physical project, ulinzi wa mazingira kama ecosystem, namna ya kuvuta maji and so forth with hydro power project scope.
Anakupa na costs zake za kujenga mradi, work break down structure ya wewe kuweza kufuatilia progress ya mradi kwa makubaliano ya muda wa kazi, etc.
Kazi yenyewe inafanywa na sub-contractors anachosimamia mkandarasi na ku coordinate hatua za kazi, kuangalia quality ya kazi, time, anapanga critical path ya mradi na other supervision roles.
Mtu kama makamu wa raisi awezi kwenda kwenye mradi kama huo bila ya mshauri wa maswala ya project management; hivi mbona tunaviongozi waropokaji halafu wepesi sana vichwani ukiwasikiliza.
Au anadhani huu sawa na miradi wa kujenga barabara. Yaani nchi inaviongozi wa ovyo kweli.
Richmond ya awamu ya Jiwe hiyo inakujaMara makamanda uchwara sasa wamegeuka kuwa waumini wa mradi, ha ha ha.
Labda kama ulikuwa unisomi humu wakati yupo hai kuna vitu nilikuwa naponda kila siku; vingi tu.Hawa viongozi waropokaji na wepesi kichwani unamjumuisha unayempambania humu kila siku kama zuzu (nikiazima lugha ya Prof Assad)
Kwani nchi iko na tatizo na uhaba wa umeme kipindi hiki cha kusubiria kukamilika kwa huo mradi?!!Kwahiyo ndio Mpango wa kufifisha ujenzi wa bwawa hilo umeanza? Kisha watasema kasma hamna, kisha Mwezi wa kwanza na genge lake lote la msoga watasema tununue umeme wa dharula, paaap wamerudi, kazi inaendelea!
Eti mkandarasi hana uzoefu, kabla ya hii ziara, kuna ziara ya viongozi wastaafu ilitangulia eeenhe?
Wakati akitoa maelekezo alipotembelea mradi wa kufua wa umeme wa stiglers gorge , Mh. Mpango alipongeza kwa kazi nzuri unayoendelea na kuongea mengi yakiwemo
1. Mkandarasi Hana Uzoefu wa kutosha katika ufanyaji wa kazi zake huku akisema kwasababu anatumia subcontractor kwa karibu kazi zote kila sehemu. Serikali labda ilitaka mkandarasi mkuu afanye kazi zote peke yake, lakini sehemu nyingi ameweka wachina
2. Mkandarasi yupo nyuma ya mpango kazi, na kwamba amechelewa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mafuriko na uvico19. Kauli ambayo Kalemani amekuwa akitudanganya kuwa tupo mbele ya muda na maji yataanza kujazwa Mwezi wa 11 tarehe 15, na kuwasha mitambo June 2022( KAULI AMBAYO NI DHAHIRI ALITUDANGANYA NA ILIKUWA YA KISIASA) Laini Makamu wa Rais ameongea ukweli.
Kutokana na Kauli ya Mh. Makamu wa Rais ni DHAHIRI kuwa Mradi huu hautaweza kukamilika 2022 Wala 2023 Wala 2024 labda 2025.
Ndiyo ujiulize wewe unayetaka kudanganya binadamu wenzako.... kungekuwa hakuna recording ya kila hatua msingekawia kuja na upotoshaji wenu ku justify vices zenuClip zinahusikaje na mada?
Sawa hana uzoefu kwahiyo???Wakati akitoa maelekezo alipotembelea mradi wa kufua wa umeme wa stiglers gorge , Mh. Mpango alipongeza kwa kazi nzuri unayoendelea na kuongea mengi yakiwemo
1. Mkandarasi Hana Uzoefu wa kutosha katika ufanyaji wa kazi zake huku akisema kwasababu anatumia subcontractor kwa karibu kazi zote kila sehemu. Serikali labda ilitaka mkandarasi mkuu afanye kazi zote peke yake, lakini sehemu nyingi ameweka wachina
2. Mkandarasi yupo nyuma ya mpango kazi, na kwamba amechelewa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mafuriko na uvico19. Kauli ambayo Kalemani amekuwa akitudanganya kuwa tupo mbele ya muda na maji yataanza kujazwa Mwezi wa 11 tarehe 15, na kuwasha mitambo June 2022( KAULI AMBAYO NI DHAHIRI ALITUDANGANYA NA ILIKUWA YA KISIASA) Laini Makamu wa Rais ameongea ukweli.
Kutokana na Kauli ya Mh. Makamu wa Rais ni DHAHIRI kuwa Mradi huu hautaweza kukamilika 2022 Wala 2023 Wala 2024 labda 2025.
Hata muitengeneze haiwezi kutokea...Aliwazidi akili kwaku document kila event na ku share na general public...Kila uzushi utakuwa na counter attack yake...Ukajipange upya!Richmond ya awamu ya Jiwe hiyo inakuja