Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Tuwapeni muda viongozi wetu wasimamie kumalizika kwa mradi....
Kwa mradi mkubwa kama huu wa Trilioni 6.5 ni lazima kuwe na kuhoji...lakini pia ni lazima tuwe na mizani ya kujua kuwa "miluzi mingi humchanganya mbwa".....
Kwa mradi mkubwa kama huu wa Trilioni 6.5 ni lazima kuwe na kuhoji...lakini pia ni lazima tuwe na mizani ya kujua kuwa "miluzi mingi humchanganya mbwa".....