Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Accountability hata haijawahikuwa desturi ya mwafrika, lingine dola, na taasisi wezeshi zitabeba jukumu,Accountability kwa viongozi wa kiafrika ni zero. Hawezi hata kujiuzulu huyu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Accountability hata haijawahikuwa desturi ya mwafrika, lingine dola, na taasisi wezeshi zitabeba jukumu,Accountability kwa viongozi wa kiafrika ni zero. Hawezi hata kujiuzulu huyu.
Inaweza kuwa kweli. Ndani ya kipindi cha miezi mitatu baada ya Magufuli kufariki. Dr Mpango, Kassimu majariwa, Katibu Mkuu Bashiru, Katibu Mkuu ccm na Rais Samia wamefika Burundi. Zile safari zilinitisha.Ukaribu wa Dkt Mpango na Mwendazake na sasa Umakamu wa Raisi unaonyesha Tanzania sasa iko mikononi mwa Wahutu
Ndio maana tulikuwa tukisema huu Uinterahamwe na ukatili sio tabia za Kitanzania.
Asante sana kwa theologia hii. Ni sahihi kabisa. Ukiona Mlokole pigia mstari huyo ni mwovu sana.Mlokole principally ni mwenye dhambi alie kubuhu, vilio vyao makanisani ni kujuta madhambi yao na kusikitika juu ya hukumu wakifa. Magufuli alikuwa m - RC, kuomba aombewe mara kwa mara nyuma ya maombi hayo kulikuwa na tanuru la moto.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Watoa hukumu watakuja na hukumu sahihi. Tukisema Mpango ajiuzulu sijui nani ajiuzulu kwa kumsikiliza Ole tunajivuruga tuu
Maana Rais na Makamu wake wote ni walikua madarakani
Labda mje na yale maneno ya kwamba wanamhujumu mama kitu ambacho sio kweli
Msijisahaulishe kwamba Chumalady SSH alinolewa na Chuma JPM
Makamu wa Rais ni Taasisi kubwa.Hivi unafikiri makamu wa Rais ni meneja wa baa..Tafuta namba ya ofisi yake ,umwambie
sio watu wazuliOgopa matapeli 😂😂
Ni aibu sana kwa sisi Watanzania kizidiwa akili na kutawaliwa tumefanywa kama Ng'ombe.Inaweza kuwa kweli. Ndani ya kipindi cha miezi mitatu baada ya Magufuli kufariki. Dr Mpango, Kassimu majariwa, Katibu Mkuu Bashiru, Katibu Mkuu ccm na Rais Samia wamefika Burundi. Zile safari zilinitisha.
Mwana ccm gani unajua amefungwa ndugu?Afungwe tu
Ufahamu wake wa kutambua mema na mabaya aliupeleka wapi?
Afungwe tuu.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Toa ukweli wako wewe.Haya chadema mnajitahidi kupotosha uma kwa kuunda vimada vyenu tumeshamwelewa Sabaya alichomanisha msipotoshe na hizo tuhuma za kupora fedha mnamwekelea
Nondo alifanywa nini?Kwa wenye macho ya rohoni kauli ya leo ya sabaya inaweza kuwa amesaini kitu kibaya sana ktk maisha yake, huwezi mtaja ktk uhalifu mtu mwenye madaraka makubwa hivi ktk kesi kama yake na ukabaki kuwa salama ndani ya nondo.
Namkumbuka kijana nondo alimzingua mzee wa tozo kidogo tu alichokivuna hadi tusiohusika tuliumia.
Hakuna kikichopotoshwa hapa tunajadili kilichoripotiwa. Dr Mpango ni Makamu wa Rais wa Nchi. Hajadiliwi kama Mtu binafsiSio hawaelewi ila wanapotosha makusudi
Kwanini anamtaja ili apeta huruma?hakuna kesi hapo.
kama alikuwa anatekeleza majukumu yake aliyo elekezwa na aliyekuwa Amiri Jeshi Mkuu ktk kuhakikisha kodi ya Serikali inalipwa. sasa huo unawezaje kuuita eti ni unyang'anyi?!!
ukiangalia hii kesi kwa jicho la tatu imejaa kisasi dhidi ya sabaya kutokana na majukumu yake aliyo kuwa akiyatekeleza, kwa vyovyote vile lazima angechukiwa sana na either;
1. wafanyabiashara au wanasiasa au wote kwa pamoja. ndicho kilicho tokea.
Sio uongo. Ni ktk kipindi chake tumeshuhudia mauwaji ya kutisha.Una exaggerate..... stupid kabisa
Kwamba DC ana jukumu la kuwasaka na kuwakamata wahujumu uchumi, teh kisha??? Ndio vile anawakata masikio au akiwadaka anafanyaje....Afungwe kivipi wakati hakuna ushahidi wa kutosha kumfunga!? Labda Mpango aje Mahakamani aseme hawajawai kumtuma Sabaya kufanya kazi maalumu ya kuwasaka wahujumu Uchumi!!
Unajiuzulu Kwa kutajwa na jambazi?Mpango ajiuzulu haraka sana , ukiona kiongozi anajifanya Mcha Mungu huku kazungukwa na matunguli muogope sana
Tunamfahamu Mpango kuliko unavyojuaUnajiuzulu Kwa kutajwa na jambazi?
since when mumeanza kumuamini sabaya?
yani leo neno lake ndio truth?
My friend akutukanaye hakuchagulii tusi na ukitaka kumuua mnwa mpe jina baya...Hiki ndicho hawa watu wa Jamuhuri ya twitter wanachokifanya kwa sasa...Hizi propaganda hizi bahati nzuri nchi yetu na chama tawala kwao siyo mambo mageni.Watanzania wagumu kweli kuelewa. Kuna upotoshaji mkubwa sana unaendelea. Sabaya amesema alienda Arusha kwa maagizo ya mamlaka iliyomteua.
Prof. Lunga (Gavana) na Dr. Mpango (aliyekuwa Waziri wa fedha) wametajwa kama watu wanaojua moja ya kazi maalum aliyowahi kuifanya huko Dar es Salaam baada ya kukamata machine ya kutengezea fedha bandia.
Na amesema hivyo ili kuonesha kuwa kuna kazi nyingi tu aliwahi kuzifanya nje ya eneo lake la kawaida la kazi. Hiyo ya kwenda Arusha haikuwa ya kwanza.
Pamoja na hayo, amekanusha kuiba fedha wala kutumia silaha. Kila alichokuwa anakifanya alipata ushirikiano wa vyombo vya dola. Hata aliyekuwa mkuu wa wilaya wa eneo husika alikuwa na taarifa juu ya uwepo wao.
Kwa maneno mengine alikuwa kwenye kazi maalum aliyotumwa na mamlaka ya uteuzi wake: siyo Dr. Mpango, Prof. Luoga au hao wengine aliowataja.
Anakuwa mkweli pale anapo serve interests zao, these guys are so funny!Unajiuzulu Kwa kutajwa na jambazi?
since when mumeanza kumuamini sabaya?
yani leo neno lake ndio truth?