Dkt. Mpango ni kweli ulishiriki kumtuma Sabaya kufanya mambo machafu?

Dkt. Mpango ni kweli ulishiriki kumtuma Sabaya kufanya mambo machafu?

Huko huko kujua ndiko kutawafanya waeleze wanachokijua ili kumnusuru mtumishi wao.
Na yeye aliwataja akimanisha jambo. Kuwa walikuwa wanajua. Kwa lugha nyingine walishirikia kumtuma.
 
Ili kulinda heshima yake tunayompa sisi tunaompenda
Mnapenda majizi na wahalifu?Hukusikia kuwa bwana Chato alipofariki yeye Mpango pamoja na majizi wenzake walipiga hela ndefu pale BOT na ndiyo maana hata ile ripoti ya CAG ya ukaguzi wa BOT ilichelewa kutoka?
 
Mnapenda majizi na wahalifu?Hukusikia kuwa bwana Chato alipofariki yeye Mpango pamoja na majizi wenzake walipiga hela ndefu pale BOT na ndiyo maana hata ile ripoti ya CAG ya ukaguzi wa BOT ilichelewa kutoka?
Hizi zilikuwa tetesi tu. Hatuwezi kumhukumu kwa hilo.
 
Wwe una chuki na Wivu kwa Sabaya!!una hoja ya Msingi zaidi ya kulalamika tu!!
Hajabinywa pumbu anaanza kutaja taja watu kama mlevi. Anadhani mahakama itasikiliza huo upuuzi wake?
 
Ukaribu wa Dkt Mpango na Mwendazake na sasa Umakamu wa Raisi unaonyesha Tanzania sasa iko mikononi mwa Wahutu

Ndio maana tulikuwa tukisema huu Uinterahamwe na ukatili sio tabia za Kitanzania.
 
Habari za midaa hii wa JamiiForums.

Leo tarehe 13 agosti kumetrendi katika mitandao ya kijamii kile kinachoitwa no utetezi mahakamani wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya DC Sabaya.

Imeelezwa kuwa amekiri kilichokuwa kikifanyika ama alichokuwa anatekeleza ktk kesi yake ya unyanganyi kwa kutumia siraha aliagizwa na Dr. Mpango, Hayati Dr. Magufuli na Gavana wa Fedha bwana Luoga
Naanza kukubaliana na kigogo 2014 aliyedai mpango ni mrundi siyo mtanzania, akambandika jina la "ntibazonkiza" huenda hiyo yapo mengi machafu aliyoshiriki kuyafanya chini ya mwendazake kichaa
 
Watanzania wagumu kweli kuelewa. Kuna upotoshaji mkubwa sana unaendelea. Sabaya amesema alienda Arusha kwa maagizo ya mamlaka iliyomteua.

Prof. Lunga (Gavana) na Dr. Mpango (aliyekuwa Waziri wa fedha) wametajwa kama watu wanaojua moja ya kazi maalum aliyowahi kuifanya huko Dar es Salaam baada ya kukamata machine ya kutengezea fedha bandia
Nchi haiendeshwi hiyo Dogo huo siyo utaratibu ni ukiukwaji wa taratibu usio na utetezi, yeye na waliomtuma Wana hatia
 
Inaangukaje mkuu. Lakini hili la Sabaya lisichukuliwe poa. Unamtaja Dr Mpango kwenye mauchafu yako? ili iweje? kwamba kesi ndio itakuwa imeisha au?
uwezo wake wa kufiiri ndiyo umeishia hapo, pia haya ni matunda ya kutokemewa, kila alilokuwa akifanya hakukemewa
 
Mpango ajiuzulu haraka sana , ukiona kiongozi anajifanya Mcha Mungu huku kazungukwa na matunguli muogope sana
Kama ni hivyo na Mama nae ang'atuke...
Lazima nae aliifahamu mipango hii ladhimu.
Kifupi ni kwamba 7ya kamwaga unga..

Ngoja tuone..
 
Habari za midaa hii wa JamiiForums.

Leo tarehe 13 agosti kumetrendi katika mitandao ya kijamii kile kinachoitwa no utetezi mahakamani wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya DC Sabaya.

Imeelezwa kuwa amekiri kilichokuwa kikifanyika ama alichokuwa anatekeleza ktk kesi yake ya unyanganyi kwa kutumia siraha aliagizwa na Dr. Mpango, Hayati Dr. Magufuli na Gavana wa Fedha bwana Luoga.

Naamini Ndugu Sabaya amefika hatua hii baada ya kuona hakuna namna ya kuchomoka katika kesi hii au akaona akitupia majina haya Makubwa makubwa itakua ni njia ya nitoke vipi.

Licha ya kile kinachoendelea huko Mahakamani iwe ni kweli si kweli, kutajwa kwa Makamu wa Rais, Dr. Mpango kunatia doa juu ya uhalali katika utendaji wake kama kweli anaweza kushiriki katika vitendo vya kihalifu na baafaya akaonekana anafaa kushika nafasi nyeti katika Nchi yetu.

Sisi tunaomuunga mkono na kumwamini kama Kiongozi Safi mwenye weledi na maadili na msomi wa kiwango cha juu tumesikitishwa na kadhia hii ya kutajwa kwenye mambo maovu.

Watanzania tunaompenda tunapenda kutoa wito ajitokeze ama Mahakamani au kwenye jukwa la wazi ajisafishe na tuhuma hizi nzito.

View attachment 1891471
Mh.Makamu wa Rais,Sabaya kanena,ikiwa wewe ni kiongozi muadilifu basi hakuna jingine ila ni kujiuzulu tu,kulinda heshima yako.
 
Itos
Habari za midaa hii wa JamiiForums.

Leo tarehe 13 agosti kumetrendi katika mitandao ya kijamii kile kinachoitwa no utetezi mahakamani wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya DC Sabaya.

Imeelezwa kuwa amekiri kilichokuwa kikifanyika ama alichokuwa anatekeleza ktk kesi yake ya unyanganyi kwa kutumia siraha aliagizwa na Dr. Mpango, Hayati Dr. Magufuli na Gavana wa Fedha bwana Luoga.

Naamini Ndugu Sabaya amefika hatua hii baada ya kuona hakuna namna ya kuchomoka katika kesi hii au akaona akitupia majina haya Makubwa makubwa itakua ni njia ya nitoke vipi.

Licha ya kile kinachoendelea huko Mahakamani iwe ni kweli si kweli, kutajwa kwa Makamu wa Rais, Dr. Mpango kunatia doa juu ya uhalali katika utendaji wake kama kweli anaweza kushiriki katika vitendo vya kihalifu na baafaya akaonekana anafaa kushika nafasi nyeti katika Nchi yetu.

Sisi tunaomuunga mkono na kumwamini kama Kiongozi Safi mwenye weledi na maadili na msomi wa kiwango cha juu tumesikitishwa na kadhia hii ya kutajwa kwenye mambo maovu.

Watanzania tunaompenda tunapenda kutoa wito ajitokeze ama Mahakamani au kwenye jukwa la wazi ajisafishe na tuhuma hizi nzito.

View attachment 1891471
Safari ni hatua na safari 1 huanzisha nyingine si miye bali wahenga hao na maneno yao ya sirini.
 
Kifupi tu,utetezi wa Aliyekuwa DC Bwana Sabaya kumhusisha Mh.Makamu wa Rais bila woga wala kificho,moja kwa moja kumeshamuharibia sifa kiongozi huyu wa juu kabisa nchini.ILI KULINDA HESHIMA YAKE MBELE YA WATANZANIA NA ULIMWENGU NI BORA AKAJIUZULU.
 
Habari za midaa hii wa JamiiForums.

Leo tarehe 13 agosti kumetrendi katika mitandao ya kijamii kile kinachoitwa no utetezi mahakamani wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya DC Sabaya.

Imeelezwa kuwa amekiri kilichokuwa kikifanyika ama alichokuwa anatekeleza ktk kesi yake ya unyanganyi kwa kutumia siraha aliagizwa na Dr. Mpango, Hayati Dr. Magufuli na Gavana wa Fedha bwana Luoga.

Naamini Ndugu Sabaya amefika hatua hii baada ya kuona hakuna namna ya kuchomoka katika kesi hii au akaona akitupia majina haya Makubwa makubwa itakua ni njia ya nitoke vipi.

Licha ya kile kinachoendelea huko Mahakamani iwe ni kweli si kweli, kutajwa kwa Makamu wa Rais, Dr. Mpango kunatia doa juu ya uhalali katika utendaji wake kama kweli anaweza kushiriki katika vitendo vya kihalifu na baafaya akaonekana anafaa kushika nafasi nyeti katika Nchi yetu.

Sisi tunaomuunga mkono na kumwamini kama Kiongozi Safi mwenye weledi na maadili na msomi wa kiwango cha juu tumesikitishwa na kadhia hii ya kutajwa kwenye mambo maovu.

Watanzania tunaompenda tunapenda kutoa wito ajitokeze ama Mahakamani au kwenye jukwa la wazi ajisafishe na tuhuma hizi nzito.

View attachment 1891471
Mpango ajiuzulu haraka sana , ukiona kiongozi anajifanya Mcha Mungu huku kazungukwa na matunguli muogope sana

Watoa hukumu watakuja na hukumu sahihi. Tukisema Mpango ajiuzulu sijui nani ajiuzulu kwa kumsikiliza Ole tunajivuruga tuu

Maana Rais na Makamu wake wote ni walikua madarakani

Labda mje na yale maneno ya kwamba wanamhujumu mama kitu ambacho sio kweli

Msijisahaulishe kwamba Chumalady SSH alinolewa na Chuma JPM

 
Kifupi tu,utetezi wa Aliyekuwa DC Bwana Sabaya kumhusisha Mh.Makamu wa Rais bila woga wala kificho,moja kwa moja kumeshamuharibia sifa kiongozi huyu wa juu kabisa nchini.ILI KULINDA HESHIMA YAKE MBELE YA WATANZANIA NA ULIMWENGU NI BORA AKAJIUZULU.
Kwa hiyo "....." wa wakati huo alikuwa "sidelined" kwenye suala hili! ?
 
Back
Top Bottom