Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,509
- 3,741
Vipi mama hakuwa akijua hili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahio sisi hatuna masikio? Au ni pambo?Watanzania wagumu kweli kuelewa. Kuna upotoshaji mkubwa sana unaendelea. Sabaya amesema alienda Arusha kwa maagizo ya mamlaka iliyomteua.
Prof. Lunga (Gavana) na Dr. Mpango (aliyekuwa Waziri wa fedha) wametajwa kama watu wanaojua moja ya kazi maalum aliyowahi kuifanya huko Dar es Salaam baada ya kukamata machine ya kutengezea fedha bandia.
Na amesema hivyo ili kuonesha kuwa kuna kazi nyingi tu aliwahi kuzifanya nje ya eneo lake la kawaida la kazi. Hiyo ya kwenda Arusha haikuwa ya kwanza.
Pamoja na hayo, amekanusha kuiba fedha wala kutumia silaha. Kila alichokuwa anakifanya alipata ushirikiano wa vyombo vya dola. Hata aliyekuwa mkuu wa wilaya wa eneo husika alikuwa na taarifa juu ya uwepo wao.
Kwa maneno mengine alikuwa kwenye kazi maalum aliyotumwa na mamlaka ya uteuzi wake: siyo Dr. Mpango, Prof. Luoga au hao wengine aliowataja.
Kama waziri wa fedha alikuwa anajua ni lazima makamu wa rais bibi ushungi anajua kila kitu na ndio maana kamteua huyu muha muuajiHabari za midaa hii wa Jamii forums.
Leo tarehe 13 agosti kumetrendi ktk mitandao ya kijamii kile kinachoitwa no utetezi mahakamani wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya DC Sabaya.
Imeelezwa kuwa amekiri kilichokuwa kikifanyika ama alichokuwa anatekeleza ktk kesi yake ya unyanganyi kwa kutumia siraha aliagizwa na Dr Mpango, Hayati Dr J Magufuli na Gavana wa Fedha bwana Luoga.
Naamini Ndugu Sabaya amefika hatua hii baada ya kuona hakuna namna ya kuchomoka ktk kesi hii au akaona akitupia majina haya Makubwa makubwa itakua ni njia ya nitoke vipi.
Licha ya kile kinachoendelea huko mahakamani iwe ni kweli si kweli, kutajwa kwa Makamu wa Rais Mh Dr Mpango kunatia doa juu ya uhalali ktk utendaji wake kama kweli anaweza kushiriki ktk vitendo vya kihalifu na baafaya akaonekana anafaa kushika nafasi nyeti ktk nchi yetu.
Sisi tunaomuunga mkono na kumwamini kama Kiongozi Safi mwenye weledi na maadili na msomi wa kiwango cha juu tumesikitishwa na kadhia hii ya kutajwa kwenye mambo maovu.
Watanzania tunaompenda tunapenda kutoa wito ajitokeze ama mahakamani au kwenye jukwa la wazi ajisafishe na tuhuma hizi nzito.
View attachment 1891471
Mpango ajiuzulu haraka sana , ukiona kiongozi anajifanya Mcha Mungu huku kazungukwa na matunguli muogope sana
Wanaonisononesha zaidi ni hawa viongozi wetu wa kidini ambao pamoja na ushetwani na unyama wa Magufuli na serekali yote aliyomrithisha Samia bado wanaendelea bila aibu kuwa nayo bega kwa bega na kuipamba.Habari za midaa hii wa Jamii forums.
Leo tarehe 13 agosti kumetrendi ktk mitandao ya kijamii kile kinachoitwa no utetezi mahakamani wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya DC Sabaya.
Imeelezwa kuwa amekiri kilichokuwa kikifanyika ama alichokuwa anatekeleza ktk kesi yake ya unyanganyi kwa kutumia siraha aliagizwa na Dr Mpango, Hayati Dr J Magufuli na Gavana wa Fedha bwana Luoga.
Naamini Ndugu Sabaya amefika hatua hii baada ya kuona hakuna namna ya kuchomoka ktk kesi hii au akaona akitupia majina haya Makubwa makubwa itakua ni njia ya nitoke vipi.
Licha ya kile kinachoendelea huko mahakamani iwe ni kweli si kweli, kutajwa kwa Makamu wa Rais Mh Dr Mpango kunatia doa juu ya uhalali ktk utendaji wake kama kweli anaweza kushiriki ktk vitendo vya kihalifu na baafaya akaonekana anafaa kushika nafasi nyeti ktk nchi yetu.
Sisi tunaomuunga mkono na kumwamini kama Kiongozi Safi mwenye weledi na maadili na msomi wa kiwango cha juu tumesikitishwa na kadhia hii ya kutajwa kwenye mambo maovu.
Watanzania tunaompenda tunapenda kutoa wito ajitokeze ama mahakamani au kwenye jukwa la wazi ajisafishe na tuhuma hizi nzito.
View attachment 1891471
Hapo sasa.....Imagine Mpango na ile PhD yake akiwa amevaa suti anatuma maduka yakavunjwe na kuporwa!Mtu mweusi ni Kima aliechangamka aisee!😁😁😁
Huko huko kujua ndiko kutawafanya waeleze wanachokijua ili kumnusuru mtumishi wao.Watanzania wengi ni wagumu kuelewa ama wavivu wa kutafakari.
Sijaona mahala Sabaya akisema Mpango ama Luoga walishiriki kumtuma bali alitumwa na mamlaka yake ya uteuzi na hao jamaa aliowataja wanajua hilo.
Sioni ni kwa namna gani hao jamaa wanahusishwa.
Kosa la Dr. Mpango ni lipi? Naomba muwe mnasoma na kuelewa hoja kabla ya kujiandikia tu. Kutumwa Sabaya kuongoza operation ya kukamata mitambo ya kutengenezea fedha haramu ni kosa? Kwa hiyo mlitaka nchi iachwe watu watengeneze fedha vile wanataka? Hiyo si jinai kama jinai zingine? Sabaya ameshitakiwa kwa kosa la kushiriki ama kufanikisha ukamataji wa mitambo hiyo, tukio ambalo anasema Waziri Mpango na Governor wa BoT walijua? Assignment halali kama hiyo, inakosa gani hadi muwatuhumu Waziri na Governor wa Bank kwa kujua kwao?Kama waziri wa fedha alikuwa anajua ni lazima makamu wa rais bibi ushungi anajua kila kitu na ndio maana kamteua huyu muha muuaji
Atatokea wapi wakati kedhakubali kutenda kosa!? Sana sana atakuwa anajaribu kupata lesser sentence kwa kuwashirikisha hao vigogo.inafikirisha sana. Tunamtaka ajisafishe mimi naamini Ole Sabaya anatafuta pa kutokea. Mambo yamemwia magumu sana.
Watanzania huwa tunachukua maneno juu juu tuWatanzania wagumu kweli kuelewa. Kuna upotoshaji mkubwa sana unaendelea. Sabaya amesema alienda Arusha kwa maagizo ya mamlaka iliyomteua.
Prof. Lunga (Gavana) na Dr. Mpango (aliyekuwa Waziri wa fedha) wametajwa kama watu wanaojua moja ya kazi maalum aliyowahi kuifanya huko Dar es Salaam baada ya kukamata machine ya kutengezea fedha bandia.
Na amesema hivyo ili kuonesha kuwa kuna kazi nyingi tu aliwahi kuzifanya nje ya eneo lake la kawaida la kazi. Hiyo ya kwenda Arusha haikuwa ya kwanza.
Pamoja na hayo, amekanusha kuiba fedha wala kutumia silaha. Kila alichokuwa anakifanya alipata ushirikiano wa vyombo vya dola. Hata aliyekuwa mkuu wa wilaya wa eneo husika alikuwa na taarifa juu ya uwepo wao.
Kwa maneno mengine alikuwa kwenye kazi maalum aliyotumwa na mamlaka ya uteuzi wake: siyo Dr. Mpango, Prof. Luoga au hao wengine aliowataja.
Inawezekana lugha aliyoitumia mtoa comment ni kubwa sana kwako. Kujitokeza ajisafishe ni lugha ya heshima ya kumwambia mtu ajitokeze kukana au kukubali hizo tuhuma. Akikana tuhuma ndiko kujisafisha kwenyewe, na akikubali tuhuma, ndipo hoja ya kuwajibika/kukaa pembeni inapoanza kujadiliwa.Unasema kama ni kweli alimtuma Sabaya kufanya mambo ya hovyo ajitokeze ajisafishe?Yaani badala ya kusema kuwa ajitokeze awajibike unasema kuwa ajitokeze ajisafishe?!Tokea nizaliwe sijawahi kuona akili ndogo kama hii[emoji124][emoji124][emoji124]
mbona unafundisha watu kufanya interpretation mamlaka ya uteuzi si JPM? Kazi ya Dc ni kufanya operation za kukamata watu? polisi wanafanya kazi gani?Watanzania wagumu kweli kuelewa. Kuna upotoshaji mkubwa sana unaendelea. Sabaya amesema alienda Arusha kwa maagizo ya mamlaka iliyomteua.
Prof. Lunga (Gavana) na Dr. Mpango (aliyekuwa Waziri wa fedha) wametajwa kama watu wanaojua moja ya kazi maalum aliyowahi kuifanya huko Dar es Salaam baada ya kukamata machine ya kutengezea fedha bandia.
Na amesema hivyo ili kuonesha kuwa kuna kazi nyingi tu aliwahi kuzifanya nje ya eneo lake la kawaida la kazi. Hiyo ya kwenda Arusha haikuwa ya kwanza.
Pamoja na hayo, amekanusha kuiba fedha wala kutumia silaha. Kila alichokuwa anakifanya alipata ushirikiano wa vyombo vya dola. Hata aliyekuwa mkuu wa wilaya wa eneo husika alikuwa na taarifa juu ya uwepo wao.
Kwa maneno mengine alikuwa kwenye kazi maalum aliyotumwa na mamlaka ya uteuzi wake: siyo Dr. Mpango, Prof. Luoga au hao wengine aliowataja.
Na akafa kweli duh Mungu mkali walah
Wanahusishwa kwasababu wanajua, sasa ili mambi yawe safi wayatolee ufafanuzi haya.Watanzania wengi ni wagumu kuelewa ama wavivu wa kutafakari.
Sijaona mahala Sabaya akisema Mpango ama Luoga walishiriki kumtuma bali alitumwa na mamlaka yake ya uteuzi na hao jamaa aliowataja wanajua hilo.
Sioni ni kwa namna gani hao jamaa wanahusishwa.
Sang'udi umemuelewa vizuri mtuhumiwa.Inaonekana Sabaya alikuwa kwenye kikosi kazi maalum,ambacho kilikuwa kinapewa maagizo kutoka mamlaka ya uteuzi,lakini huyu mfanyabiashara Mohamed Saad yeye alikuwa na mitambo ya kufyatua Nini? au alikuwa anafanya biashara gani,ambayo mamlaka ya uteuzi ililazimika kutuma kikosi kazi kumfuatilia.Kwa kifupi ,pamoja na Sabaya kuwa alikuwa anapata maagizo kutoka juu,lakini alikosa weledi wakati wa kutekeleza majukumu yakeWatanzania wagumu kweli kuelewa. Kuna upotoshaji mkubwa sana unaendelea. Sabaya amesema alienda Arusha kwa maagizo ya mamlaka iliyomteua.
Prof. Lunga (Gavana) na Dr. Mpango (aliyekuwa Waziri wa fedha) wametajwa kama watu wanaojua moja ya kazi maalum aliyowahi kuifanya huko Dar es Salaam baada ya kukamata machine ya kutengezea fedha bandia.
Na amesema hivyo ili kuonesha kuwa kuna kazi nyingi tu aliwahi kuzifanya nje ya eneo lake la kawaida la kazi. Hiyo ya kwenda Arusha haikuwa ya kwanza.
Pamoja na hayo, amekanusha kuiba fedha wala kutumia silaha. Kila alichokuwa anakifanya alipata ushirikiano wa vyombo vya dola. Hata aliyekuwa mkuu wa wilaya wa eneo husika alikuwa na taarifa juu ya uwepo wao.
Kwa maneno mengine alikuwa kwenye kazi maalum aliyotumwa na mamlaka ya uteuzi wake: siyo Dr. Mpango, Prof. Luoga au hao wengine aliowataja.