- Thread starter
- #41
Wakale wapi? hawana chanzo mbadala kuendesha maisha yao.Sio kwa Tanzania hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakale wapi? hawana chanzo mbadala kuendesha maisha yao.Sio kwa Tanzania hii
Watanzania wagumu kweli kuelewa. Kuna upotoshaji mkubwa sana unaendelea. Sabaya amesema alienda Arusha kwa maagizo ya mamlaka iliyomteua.
Prof. Lunga (Gavana) na Dr. Mpango (aliyekuwa Waziri wa fedha) wametajwa kama watu wanaojua moja ya kazi maalum aliyowahi kuifanya huko Dar es Salaam baada ya kukamata machine ya kutengezea fedha bandia.
Na amesema hivyo ili kuonesha kuwa kuna kazi nyingi tu aliwahi kuzifanya nje ya eneo lake la kawaida la kazi. Hiyo ya kwenda Arusha haikuwa ya kwanza.
Pamoja na hayo, amekanusha kuiba fedha wala kutumia silaha. Kila alichokuwa anakifanya alipata ushirikiano wa vyombo vya dola. Hata aliyekuwa mkuu wa wilaya wa eneo husika alikuwa na taarifa juu ya uwepo wao.
Kwa maneno mengine alikuwa kwenye kazi maalum aliyotumwa na mamlaka ya uteuzi wake: siyo Dr. Mpango, Prof. Luoga au hao wengine aliowataja.
Usijali , Mpango na Gavana bado wapo hai na wametajwa Mahakamani,kwa hiyo ni jukumu la Mahakama kuwaita au kuwafuata ili ijirizishe kabla ya kutoa hukumu!!Yani kitu nnachokiona sasa ni kama ile movie ya Kara sevda, kila kitu kibaya kinakuwa covered na marehemu simply because hawezi kujibu!
Iv kwann mwandishi hapo haja wapa hadhi yao ya elimu hayati magu na Luoga ..? Ame sema tu Dkt.Mpango ..Habari za midaa hii wa Jamii forums.
Leo tarehe 13 agosti kumetrendi ktk mitandao ya kijamii kile kinachoitwa no utetezi mahakamani wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya DC Sabaya.
Imeelezwa kuwa amekiri kilichokuwa kikifanyika ama alichokuwa anatekeleza ktk kesi yake ya unyanganyi kwa kutumia siraha aliagizwa na Dr Mpango, Hayati Dr J Magufuli na Gavana wa Fedha bwana Luoga.
Naamini Ndugu Sabaya amefika hatua hii baada ya kuona hakuna namna ya kuchomoka ktk kesi hii au akaona akitupia majina haya Makubwa makubwa itakua ni njia ya nitoke vipi.
Licha ya kile kinachoendelea huko mahakamani iwe ni kweli si kweli, kutajwa kwa Makamu wa Rais Mh Dr Mpango kunatia doa juu ya uhalali ktk utendaji wake kama kweli anaweza kushiriki ktk vitendo vya kihalifu na baafaya akaonekana anafaa kushika nafasi nyeti ktk nchi yetu.
Sisi tunaomuunga mkono na kumwamini kama Kiongozi Safi mwenye weledi na maadili na msomi wa kiwango cha juu tumesikitishwa na kadhia hii ya kutajwa kwenye mambo maovu.
Watanzania tunaompenda tunapenda kutoa wito ajitokeze ama mahakamani au kwenye jukwa la wazi ajisafishe na tuhuma hizi nzito.
View attachment 1891471
Ulisha wai kwenda huko kwa Marehemu ukauona huo Moto!? Au ndiyo mnaandika na akili zenu za kukaririshwa kila Jambo!?Marehemu aliyataka mwenyewe. Huko aliko moto una double
Sabaya ana vimemo na meseji za wanene waliomtuma.
Asante kwa usahihishoIv kwann mwandishi hapo haja wapa hadhi yao ya elimu hayati magu na Luoga ..? Ame sema tu Dkt.Mpango ..
Angesema Dkt Magufuli, Dkt Mpango na Prof.Luoga
Hata wwe na mimi ipo siku yetu tutanyakuliwa na umauti,ni swala la muda tu!!Bora walio mahabusu bado wanapumua na wana Imani siku moja watakuwa huru. Je waliojifanya majeuri na sasa wako kuzimu kama akina Jpm vipi?
Huu ni utoto......Mpango ajiuzulu haraka sana , ukiona kiongozi anajifanya Mcha Mungu huku kazungukwa na matunguli muogope sana
Mbona huyo Sabaya hajawai kuja kwangu!? Mpaka kawafuaata hao inamaana wanajuwana wanayofanya sirini!!Kwanza kutumwa Na mamlaka sio shida je alifanya makosa hayo au hakufanya. Je maagizo hayo yalikua halali yanathibitika.
Naona kuna jinai nyingi Kwa Sabaya basi liandaliwe file maalumu ahojiwe matukio yote aliyofanya nafahamu alifanya pia kwa kina Mehboob wa Tanga Na kuiba zaidi ya milioni mia tatu. Vyombo vya dola mtafuteni kijana Ally Mehboob wa Tanga atatoa maelezo mazuri. Hili lilikua genge la uhalifu likitumia kivuli cha Rais.
Una exaggerate..... stupid kabisaUnder Magufuli kulikuwa na magenge mengi ya uhalifu.
Weeee...Mpango ajiuzulu haraka sana , ukiona kiongozi anajifanya Mcha Mungu huku kazungukwa na matunguli muogope sana
Mahakamani vielelezo ni muhimu sana!!KIKUBWA SABAYA AKABIDHI BARUA AU NYARAKA ZINAZOTHIBITISHA HAYO
au ukitaja tu basi unakua ushahidi
Sio hawaelewi ila wanapotosha makusudiWatanzania wagumu kweli kuelewa. Kuna upotoshaji mkubwa sana unaendelea. Sabaya amesema alienda Arusha kwa maagizo ya mamlaka iliyomteua.
Prof. Lunga (Gavana) na Dr. Mpango (aliyekuwa Waziri wa fedha) wametajwa kama watu wanaojua moja ya kazi maalum aliyowahi kuifanya huko Dar es Salaam baada ya kukamata machine ya kutengezea fedha bandia.
Na amesema hivyo ili kuonesha kuwa kuna kazi nyingi tu aliwahi kuzifanya nje ya eneo lake la kawaida la kazi. Hiyo ya kwenda Arusha haikuwa ya kwanza.
Pamoja na hayo, amekanusha kuiba fedha wala kutumia silaha. Kila alichokuwa anakifanya alipata ushirikiano wa vyombo vya dola. Hata aliyekuwa mkuu wa wilaya wa eneo husika alikuwa na taarifa juu ya uwepo wao.
Kwa maneno mengine alikuwa kwenye kazi maalum aliyotumwa na mamlaka ya uteuzi wake: siyo Dr. Mpango, Prof. Luoga au hao wengine aliowataja.