Dkt. Mpango ni kweli ulishiriki kumtuma Sabaya kufanya mambo machafu?

Ukaribu wa Dkt Mpango na Mwendazake na sasa Umakamu wa Raisi unaonyesha Tanzania sasa iko mikononi mwa Wahutu

Ndio maana tulikuwa tukisema huu Uinterahamwe na ukatili sio tabia za Kitanzania.
Inaweza kuwa kweli. Ndani ya kipindi cha miezi mitatu baada ya Magufuli kufariki. Dr Mpango, Kassimu majariwa, Katibu Mkuu Bashiru, Katibu Mkuu ccm na Rais Samia wamefika Burundi. Zile safari zilinitisha.
 
Asante sana kwa theologia hii. Ni sahihi kabisa. Ukiona Mlokole pigia mstari huyo ni mwovu sana.
 
Kwani sisi ndio tuliyemtaja mahakamani? Katajwa na wapenzi wake wa chama na serikali.
 
Inaweza kuwa kweli. Ndani ya kipindi cha miezi mitatu baada ya Magufuli kufariki. Dr Mpango, Kassimu majariwa, Katibu Mkuu Bashiru, Katibu Mkuu ccm na Rais Samia wamefika Burundi. Zile safari zilinitisha.
Ni aibu sana kwa sisi Watanzania kizidiwa akili na kutawaliwa tumefanywa kama Ng'ombe.
 
Kwa wenye macho ya rohoni kauli ya leo ya sabaya inaweza kuwa amesaini kitu kibaya sana ktk maisha yake, huwezi mtaja ktk uhalifu mtu mwenye madaraka makubwa hivi ktk kesi kama yake na ukabaki kuwa salama ndani ya nondo.
Namkumbuka kijana nondo alimzingua mzee wa tozo kidogo tu alichokivuna hadi tusiohusika tuliumia.
 
Nondo alifanywa nini?
 
Kwanini anamtaja ili apeta huruma?
 
Afungwe kivipi wakati hakuna ushahidi wa kutosha kumfunga!? Labda Mpango aje Mahakamani aseme hawajawai kumtuma Sabaya kufanya kazi maalumu ya kuwasaka wahujumu Uchumi!!
Kwamba DC ana jukumu la kuwasaka na kuwakamata wahujumu uchumi, teh kisha??? Ndio vile anawakata masikio au akiwadaka anafanyaje....
 
Mpango ajiuzulu haraka sana , ukiona kiongozi anajifanya Mcha Mungu huku kazungukwa na matunguli muogope sana
Unajiuzulu Kwa kutajwa na jambazi?

since when mumeanza kumuamini sabaya?

yani leo neno lake ndio truth?
 
Reactions: Ame
My friend akutukanaye hakuchagulii tusi na ukitaka kumuua mnwa mpe jina baya...Hiki ndicho hawa watu wa Jamuhuri ya twitter wanachokifanya kwa sasa...Hizi propaganda hizi bahati nzuri nchi yetu na chama tawala kwao siyo mambo mageni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…