Dkt. Mpango ni kweli ulishiriki kumtuma Sabaya kufanya mambo machafu?

Dkt. Mpango ni kweli ulishiriki kumtuma Sabaya kufanya mambo machafu?

Watanzania wagumu kweli kuelewa. Kuna upotoshaji mkubwa sana unaendelea. Sabaya amesema alienda Arusha kwa maagizo ya mamlaka iliyomteua.

Prof. Lunga (Gavana) na Dr. Mpango (aliyekuwa Waziri wa fedha) wametajwa kama watu wanaojua moja ya kazi maalum aliyowahi kuifanya huko Dar es Salaam baada ya kukamata machine ya kutengezea fedha bandia.

Na amesema hivyo ili kuonesha kuwa kuna kazi nyingi tu aliwahi kuzifanya nje ya eneo lake la kawaida la kazi. Hiyo ya kwenda Arusha haikuwa ya kwanza.

Pamoja na hayo, amekanusha kuiba fedha wala kutumia silaha. Kila alichokuwa anakifanya alipata ushirikiano wa vyombo vya dola. Hata aliyekuwa mkuu wa wilaya wa eneo husika alikuwa na taarifa juu ya uwepo wao.

Kwa maneno mengine alikuwa kwenye kazi maalum aliyotumwa na mamlaka ya uteuzi wake: siyo Dr. Mpango, Prof. Luoga au hao wengine aliowataja.
Umeeleweka mkuu
 
Sasa hivi ndio anatoa utetezi wake akiongozwa na Wakili wake.
Halafu atakujahojiwa pia na Wakili upande wa mashitaka, ambako ataweza kujikuta anatakiwa kutoa huo ufafanuzi, ushahidi na vielelezo kuhusiana na hayo maelezo ya utetezi wake.
Atakuwa na wakati wa kutosha KUJIMALIZA mwenyewe.
🤣🤣🤣
 
Huo unasemekana ni utetezi wa Sabaya umezua jambo jipya kubwa hapa nchini. Kumkana inakuwa ngumu na kumwokoa inaleta aibu kubwa.
Sijui iweje.
Ukirudi nyuma kifikra unajikuta unaenda mbali kabisa. Utabaki kujiuliza hivi Tz sasa tuko wapi!

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Huo unasemekana ni utetezi wa Sabaya umezua jambo jipya kubwa hapa nchini. Kumkana inakuwa ngumu na kumwokoa inaleta aibu kubwa.
Sijui iweje.
Ukirudi nyuma kifikra unajikuta unaenda mbali kabisa. Utabaki kujiuliza hivi Tz sasa tuko wapi!

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Tz tuko wapi?? tuko tanzania.
 
Watanzania wagumu kweli kuelewa. Kuna upotoshaji mkubwa sana unaendelea. Sabaya amesema alienda Arusha kwa maagizo ya mamlaka iliyomteua.

Prof. Lunga (Gavana) na Dr. Mpango (aliyekuwa Waziri wa fedha) wametajwa kama watu wanaojua moja ya kazi maalum aliyowahi kuifanya huko Dar es Salaam baada ya kukamata machine ya kutengezea fedha bandia.

Na amesema hivyo ili kuonesha kuwa kuna kazi nyingi tu aliwahi kuzifanya nje ya eneo lake la kawaida la kazi. Hiyo ya kwenda Arusha haikuwa ya kwanza.

Pamoja na hayo, amekanusha kuiba fedha wala kutumia silaha. Kila alichokuwa anakifanya alipata ushirikiano wa vyombo vya dola. Hata aliyekuwa mkuu wa wilaya wa eneo husika alikuwa na taarifa juu ya uwepo wao.

Kwa maneno mengine alikuwa kwenye kazi maalum aliyotumwa na mamlaka ya uteuzi wake: siyo Dr. Mpango, Prof. Luoga au hao wengine aliowataja.
Acha usanii, ati mamlaka iliyomtuma, sasa mbona anashitakiwa na dola?
 
Wakati mpango anaapishwa alisema yeye Ni mtanzania mwenye asili ya Burundi,hapo lazima upate Shaka juu ya urundi wake.sabaya kwa Nini amemtaja mpango na asikutaje wewe,kamtaja kwa kuwa huwenda ameshiriki vitendo hivyo,busara Ni mpango kujibu hoja.
 
Back
Top Bottom