Dkt. Mpango: Vitambulisho vya Taifa (NIDA) vipatikane kwa watoto wote wanaozaliwa

Dkt. Mpango: Vitambulisho vya Taifa (NIDA) vipatikane kwa watoto wote wanaozaliwa

BANDOKITITA

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
1,484
Reaction score
2,852
Makamu rais Dr Mpango ameshauri kuwa ni vyema sasa watoto wote wanaozaliwa wawe wanapatiwa Vitambulisho vya Taifa (NIDA) papo hapo.

Anasema hii itasaidia watoto kutatua changamoto mbalimbali za huduma za kifedha km kufungua account bank na kuomba mikopo ya elimu ya juu (HESLB).

Nini maoni yako juu hili pendekezo la mheshimiwa Dkt. Mpango.
 
Kwani cheti cha kuzaliwa ,Cha utaifa(NIDA) ,passport haviwezi kuwa kimoja?
Akiwa mkubwa kiongezewe mambo ya bank na namba ya simu
Mm suoni haja yakiwa na madubwasha mesngi
 
Itapendeza mana mtoto akizaliwa tu data zake zinakuwa tayari kukusanywa na kuhifadhiwa.....safi sanaa
 
Makamu rais Dr Mpango ameshauri kuwa ni vyema sasa watoto wote wanaozaliwa wawe wanapatiwa Vitambulisho vya Taifa (NIDA) papo hapo.

Anasema hii itasaidia watoto kutatua changamoto mbalimbali za huduma za kifedha km kufungua account bank na kuomba mikopo ya elimu ya juu (HESLB).

Nini maoni yako juu hili pendekezo la mheshimiwa Dkt. Mpango.
Huyu VP hajashauriwa vema,watoto wanatakiwa wapate Birth certificates zenye ID numbers ambazo zitakua ndani ya central data systems ya nchi,watoto hawa wakifikisha 18yrs au 16yrs ndio waombe ID book (zitakazokuwa na ID number zilizokuwemo kwenye Birth certificate)
 
Nimekaa nje ya nchi swala la kitambulisho Cha taifa mzaliwa mwenyewe kukipata kazi sababu ukiwa nacho unafaidi keki ya nchi Kila fursa.

Tunapoelekea kitambulisho Cha taifa kitakuwa kitambulisho Cha kijinga.kinapoteza usalama wa kujua raia
 
Back
Top Bottom