Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, baada ya kutunukiwa PhD, sasa ni rasmi Mh Musukuma ameanza kutumia lugha ya Kiingereza kama lugha yake kuu ya mawasiliano bungeni.
Leo ameuliza swali kwa kizungu ambapo waziri amepata kigugumizi kujibu.
Leo ameuliza swali kwa kizungu ambapo waziri amepata kigugumizi kujibu.