Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,060
- 9,468
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] eti ameanza kutumia kiingereza kama lugha yake kuu ya mawasiliano.Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, baada ya kutunukiwa PhD, sasa ni rasmi Mh Musukuma ameanza kutumia lugha ya Kiingereza kama lugha yake kuu ya mawasiliano bungeni.
Leo ameuliza swali kwa kizungu ambapo waziri amepata kigugumizi kujibu.