Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mama zuri kumbe humjui sugu.Msukuma yupo vizuri, Sugu hawezj kufika level hizo
Shusha hiyo clip hapa.Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , baada ya kutunukiwa PhD , sasa ni rasmi Mh Musukuma ameanza kutumia lugha ya Kiingereza kama lugha yake kuu ya mawasiliano bungeni .
Leo ameuliza swali kwa kizungu ambapo waziri amepata kigugumizi kujibu .
Kweli aiseeee !!Msukuma yupo vizuri, Sugu hawezj kufika level hizo
Mbavu unazo ?Shusha hiyo clip hapa.
Hilo swali na kiingereza chake utacheka ufe.ameana na Where are you?Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , baada ya kutunukiwa PhD , sasa ni rasmi Mh Musukuma ameanza kutumia lugha ya Kiingereza kama lugha yake kuu ya mawasiliano bungeni .
Leo ameuliza swali kwa kizungu ambapo waziri amepata kigugumizi kujibu .
We shusha tu mzigo niko tayari.Mbavu unazo ?
Anadhani "Deiwaka" ulikuwa msamiati mpya wa kiswahili.Mama zuri kumbe humjui sugu.
Aliyekunyima akili alikuweza!Msukuma yupo vizuri, Sugu hawezi kufika level hizo
Unawadudu kichwaniMsukuma yupo vizuri, Sugu hawezi kufika level hizo
Msukuma huyoUnawadudu kichwani
English ni usomi? Nimejua kwa nn una akili ndogo sanaMsukuma mnafiki tu. Alikuwa anawaonea sana wivu wasomi, akawa anawakashifu kumbe lilikuwa suala la sitaki mbichi hizi!
Usomi mtamu bwana, usipoeleweka unaongea kiingereza kwa msisitizo! Kati ya anesema nakupenda na anaesema I love you anafanikiwa anaesema I love you!
Msukuma mshenzi Sana🤣🤣 ila kamzidi kibajajiKuwa wa kwanza kufahamu kwamba, baada ya kutunukiwa PhD, sasa ni rasmi Mh Musukuma ameanza kutumia lugha ya Kiingereza kama lugha yake kuu ya mawasiliano bungeni.
Leo ameuliza swali kwa kizungu ambapo waziri amepata kigugumizi kujibu.