#COVID19 Dkt. Mwigulu: Chanjo ya Corona itakayotumika Tanzania itakuwa sawa na ile inayotumika Marekani

#COVID19 Dkt. Mwigulu: Chanjo ya Corona itakayotumika Tanzania itakuwa sawa na ile inayotumika Marekani

Waziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba amesema kipaumbele namba moja cha Rais Samia ni afya za Watanzania hivyo chanjo ya Corona itayotumika Tanzania itakuwa sawa na ile iliyoidhinishwa na Ikulu ya Marekani kwa ajili ya kuwachanja Wamarekani.

Chanzo: ITV habari

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Blablablaa!
 
Kwa hiyo tutameza chanjo ipi ?
1040609-0baf29af5324c0c3b77c9a8f6c7c099d.png
 
Kidiplomasia kauli yake haijakaa sawa, anyway tunataka katiba mpya.
 
Huyu jamaa aliwahi kuziponda chanjo kwamba zimefanyiwa utafiti kwenye nchi za baridi, natumaini atatuletea utafiti utakaoonyesha ufanisi na usalama wa hizo chanjo zinazotumika Marekani kwa wakazi wa Dar es Salaam na mikoa mingine yenye joto👇
 
Naona anatafuta uhalali wa "solidariti fandi"
 
Haya mataga pori kwenye foleni jipangeni tuwadunge chanjo wa kwanza kabisa.
 
Waziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba amesema kipaumbele namba moja cha Rais Samia ni afya za Watanzania hivyo chanjo ya Corona itayotumika Tanzania itakuwa sawa na ile iliyoidhinishwa na Ikulu ya Marekani kwa ajili ya kuwachanja Wamarekani.

Chanzo: ITV habari

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Mbususu Sana!
 
Zanzibar wanatumia chanjo kutoka China, Tanzania watatumia chanjo kutoka USA

Naona sasa hivi kila serikali ifanye mambo yake
 
Waziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba amesema kipaumbele namba moja cha Rais Samia ni afya za Watanzania hivyo chanjo ya Corona itayotumika Tanzania itakuwa sawa na ile iliyoidhinishwa na Ikulu ya Marekani kwa ajili ya kuwachanja Wamarekani.

Chanzo: ITV habari

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Huyu Waziri vipi!!? Hivi anafikiri Vaccine America zinaidhinishwa na Ikulu kama huku kwetu.... US wana system, siyo sawa na sisi kusubiria wa juu anasema nini ili wa chini afanye.
 
Waziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba amesema kipaumbele namba moja cha Rais Samia ni afya za Watanzania hivyo chanjo ya Corona itayotumika Tanzania itakuwa sawa na ile iliyoidhinishwa na Ikulu ya Marekani kwa ajili ya kuwachanja Wamarekani.

Chanzo: ITV habari

Nawasalimu kwa jina la JMT!

Kahamishiwa Wizara ya Afya au nimeanza kuchanganyikiwa.
 
Back
Top Bottom