johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Yeye ndio mlipaji!Kama ni hivyo basi hii taarifa ilitakiwa kutolewa na Waziri mwenyewe dhamana na Afya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye ndio mlipaji!Kama ni hivyo basi hii taarifa ilitakiwa kutolewa na Waziri mwenyewe dhamana na Afya.
Watanzania wote!Alimaanisha familia yake.
Huyu si ndiyo alikandia hizi chanjo enzi za mwendazake. Mungu atupe maisha marefu tuzidi kuona maajabu ya vijana wa mwendazakeWaziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba amesema kipaumbele namba moja cha Rais Samia ni afya za Watanzania hivyo chanjo ya Corona itayotumika Tanzania itakuwa sawa na ile iliyoidhinishwa na Ikulu ya Marekani kwa ajili ya kuwachanja Wamarekani.
Chanzo: ITV habari
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Mbunge Msukuma, njoooooooo,Waziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba amesema kipaumbele namba moja cha Rais Samia ni afya za Watanzania hivyo chanjo ya Corona itayotumika Tanzania itakuwa sawa na ile iliyoidhinishwa na Ikulu ya Marekani kwa ajili ya kuwachanja Wamarekani...
Kwani madelu ndo kawa msemaji wa waziri wa afya? naona anahamisha magoli kutoka kule kwenye 'solidarity fund' baada ya kupewa za uso na wananzengo.....Waziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba amesema kipaumbele namba moja cha Rais Samia ni afya za Watanzania hivyo chanjo ya Corona itayotumika Tanzania itakuwa sawa na ile iliyoidhinishwa na Ikulu ya Marekani kwa ajili ya kuwachanja Wamarekani.
Chanzo: ITV habari
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Huku tunachua na mafuta ya karafuu, ukitoka uko fitiIpi hiyo?..haina jina.....alafu Zanzibar wanachanja chanjo ipi...
Ana uhakika gani kwamba ni aawa na ya Marekani? Hapo siyo jina la vaccine ila kilichopo ndani,ndiyo tatizo. Wanasiasa wanatufunga sana kamba.Waziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba amesema kipaumbele namba moja cha Rais Samia ni afya za Watanzania hivyo chanjo ya Corona itayotumika Tanzania itakuwa sawa na ile iliyoidhinishwa na Ikulu ya Marekani kwa ajili ya kuwachanja Wamarekani...
Mkuu sheria ya WHO ni hii:chanjo ikisababisha 5 deaths is recalled for more research,ikisababisha vifo 20 is terminated.Hii chanjo mpaka sasa imesababisha vifo kufuatana na independent analysts 50,000 worldwide.Figures provided by the CDC shows that 9,000 plus people in the US alone have died as of Friday last week,10th July,2021.But the CDC says this figure represents only 1%-10% because many deaths are not reported.Hapa hatuja taja maimed,debilitated as a result of the jabWaziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba amesema kipaumbele namba moja cha Rais Samia ni afya za Watanzania hivyo chanjo ya Corona itayotumika Tanzania itakuwa sawa na ile iliyoidhinishwa na Ikulu ya Marekani kwa ajili ya kuwachanja Wamarekani...
Si ajabu mshiko umeshakatwa tayari yeye ni mouth piece.Huyu amesema kwa kama mwenye dhamana ya fedha za serikali.Otherwise ilitakiwa ilitakiwa hili lilsemwe na Waziri mwenye dhamana ya afya
Damu za watu aliua zinamtesaMwigulu amekuw@ waziri wa afya tangu lini? Mbona hatulii kwenye wizara yake iliyomshinda?
PFIZERIpi hiyo?..haina jina.....alafu Zanzibar wanachanja chanjo ipi...
Kazidisha wenge hadi kasahau yeye siyo waziri wa afya....Si ajabu mshiko umeshakatwa tayari yeye ni mouth piece.
Hii pfizer ndo yenye majanga lukuki bora ile ya mrusi au mchina......acha madelu atumike kuwaingiza wadanganyika kwenye majaribio ya chanjo ya mabeberu.....itafikia kipindi tutapigwa hadi roba tulazimishwe kuchanja ili majaribio ya beberu yaweze kufanikiwa...PFIZER
Nilikuwa sijui kama ikulu ya marekani ndo waidhinishaji wa chanjo, nikidhani ni wale FDA......mambo yanaenda kasi sana.Waziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba amesema kipaumbele namba moja cha Rais Samia ni afya za Watanzania hivyo chanjo ya Corona itayotumika Tanzania itakuwa sawa na ile iliyoidhinishwa na Ikulu ya Marekani kwa ajili ya kuwachanja Wamarekani.
Chanzo: ITV habari
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Labda dagaa wa Kigoma.Obviously haiwezi kuwa sawa, yaani wewe una per capita GDP below $1,500 unataka kuwa sawa na mwenye per capital above $ 80,000 ??
Ushaona wapi wa kula dagaa akakaa meza moja na mla nyama ya kuku?