Blablablaa!Waziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba amesema kipaumbele namba moja cha Rais Samia ni afya za Watanzania hivyo chanjo ya Corona itayotumika Tanzania itakuwa sawa na ile iliyoidhinishwa na Ikulu ya Marekani kwa ajili ya kuwachanja Wamarekani.
Chanzo: ITV habari
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Fedha zipo bwashee!Naona anatafuta uhalali wa "solidariti fandi"
Wameshaanza kudungwa ya kichina sijui inaitwajeIpi hiyo?..haina jina.....alafu Zanzibar wanachanja chanjo ipi...
Mbususu Sana!Waziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba amesema kipaumbele namba moja cha Rais Samia ni afya za Watanzania hivyo chanjo ya Corona itayotumika Tanzania itakuwa sawa na ile iliyoidhinishwa na Ikulu ya Marekani kwa ajili ya kuwachanja Wamarekani.
Chanzo: ITV habari
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Ndio!Waziri wa fedha kasema....
Huyu Waziri vipi!!? Hivi anafikiri Vaccine America zinaidhinishwa na Ikulu kama huku kwetu.... US wana system, siyo sawa na sisi kusubiria wa juu anasema nini ili wa chini afanye.Waziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba amesema kipaumbele namba moja cha Rais Samia ni afya za Watanzania hivyo chanjo ya Corona itayotumika Tanzania itakuwa sawa na ile iliyoidhinishwa na Ikulu ya Marekani kwa ajili ya kuwachanja Wamarekani.
Chanzo: ITV habari
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Waziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba amesema kipaumbele namba moja cha Rais Samia ni afya za Watanzania hivyo chanjo ya Corona itayotumika Tanzania itakuwa sawa na ile iliyoidhinishwa na Ikulu ya Marekani kwa ajili ya kuwachanja Wamarekani.
Chanzo: ITV habari
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Wizara ya fedha!Kahamishiwa Wizara ya Afya au nimeanza kuchanganyikiwa.
Wizara ya fedha!
Obviously haiwezi kuwa sawa, yaani wewe una per capita GDP below $1,500 unataka kuwa sawa na mwenye per capital above $ 80,000 ??
Ushaona wapi wa kula dagaa akakaa meza moja na mla nyama ya kuku?