Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Anataka kutuletea janja janja hadi kwenye afya zetu, atuletee hizo tafiti kwamba chanjo inayotumika Marekani inafaa kutumika Tanzania !Hahahaaaa....... hahahaaaa....... kazi kweli kweli!
Just like Elephants, The internet never forgets !