Dkt. Mwigulu: Chanjo za Corona zimefanyiwa utafiti nchi za baridi zitawafaaje watu wa Dar es Salaam?

Vyawa wa awamu ile walipaswa kujiuzulu. Hawaaminiki wala kusafishika!
Wangepisha safu mpya wao wakaa kimya angalau kuonyesha msimamo wao ulikuwa na nia ya dhati, wanavyobadilika badilika hivi ni aibu
 
Mh Waziri Genius,
Anaongoza wizara mbili kwa mpigo.
 
Ama kweli ogopa Mungu na teknolojia.
Leo hii bwana Mwigulu chanjo kabadilisha gia, tena anatuambia kabisa kuwa tutapewa chanjo ile ile waliyopewa Marekani ambapo kuna baridi kuliko bongo. This guy is a scam!
 
Kwenye hil la Corona kila mtu kageuka Daktari, hili ndilo linatuponza Watanzania.
Kahama kwenye mchumi bingwa kawa daktari was binaadam?
Ktk mambo aliyokosea Rais Samia kuyaacha na kuyateua makapi aliyoacha magufuli.
 
Amejuaje,awataje tuwajuwe.
Hapo kamlenga mbowe,mnafiki mkubwa
 
Mwigulu leo amesema chanjo zitakazotumika tz ni zile zinazotumiwa marekani hivi matekani baridi iliisha
 
..kwani hapa Tanzania kuna chanjo kwa ajili ya watu wa Mufindi ambako kuna baridi, na chanjo kwa ajili ya watu wa Tanga ambako kuna joto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…