Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amemtaka Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kufuta kile alichotanabaisha kuwa kauli ya uongo kuhusu DP World kuanza kukusanya kodi katika Bandari ya Dar es Salaam na kwamba kauli hiyo imelenga kulipotosha Bunge na Watanzania.
Baada ya Waziri Mwigulu kuomba kuhusu utaratibu Mbunge Mpina amekubali kuyafuta maneno hayo kwani lengo lake ilikuwa ni kumaanisha tozo ambazo zinakusanywa na siyo kodi.
Baada ya Waziri Mwigulu kuomba kuhusu utaratibu Mbunge Mpina amekubali kuyafuta maneno hayo kwani lengo lake ilikuwa ni kumaanisha tozo ambazo zinakusanywa na siyo kodi.