Dkt. Mwigulu: Mpina afute kauli yake kwa kulipotosha Bunge

Dkt. Mwigulu: Mpina afute kauli yake kwa kulipotosha Bunge

Daktari feki wa kupata kwa mchepuko siyo kusomea. Ningependa nione andiko lake na Dotto Biteko, Sulemani Jaffo, na wengine wenye kuchikichia shahada.
 
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amemtaka Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kufuta kile alichotanabaisha kuwa kauli ya uongo kuhusu DP World kuanza kukusanya kodi katika Bandari ya Dar es Salaam na kwamba kauli hiyo imelenga kulipotosha Bunge na Watanzania.

Baada ya Waziri Mwigulu kuomba kuhusu utaratibu Mbunge Mpina amekubali kuyafuta maneno hayo kwani lengo lake ilikuwa ni kumaanisha tozo ambazo zinakusanywa na siyo kodi.
Sasa hapo kuna nini. Wenye akili tulijua Mpina alimaanisha tozo maana kodi hukusanyw na serikali peke yake.
 
acha umbea!
roho ya mpina
umeiona wapi
inavyoumia?
Lugha ya picha lazima uielewe, kila anachokiongea huyo Mpina ni chuki tu kwa serikali ya SSH haoni jema lolote.

Samia kumteua Hamza Johari kuwa AG inammaliza Mpina, kesi zote anazofungua zinagonga mwamba.

Kakosa uwaziri sasa anaongea maneno ya hasi ili awachafue hawa waliopewa uwaziri muda huu.
 
uongo ni tabia mbaya na ya fedhaha sana kama ilivyo kwa ombaomba wa kitaifa na kimataifa 🐒
CCM ni janga la Taifa na Samia anafedhehesha nchi kwa kuwa omba omba wa Kimataifa!
 
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amemtaka Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kufuta kile alichotanabaisha kuwa kauli ya uongo kuhusu DP World kuanza kukusanya kodi katika Bandari ya Dar es Salaam na kwamba kauli hiyo imelenga kulipotosha Bunge na Watanzania.

Baada ya Waziri Mwigulu kuomba kuhusu utaratibu Mbunge Mpina amekubali kuyafuta maneno hayo kwani lengo lake ilikuwa ni kumaanisha tozo ambazo zinakusanywa na siyo kodi.
huyu ni kibalaka wa wazungu hatufai
 
Back
Top Bottom