Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Daktari feki wa kupata kwa mchepuko siyo kusomea. Ningependa nione andiko lake na Dotto Biteko, Sulemani Jaffo, na wengine wenye kuchikichia shahada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapo kuna nini. Wenye akili tulijua Mpina alimaanisha tozo maana kodi hukusanyw na serikali peke yake.Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amemtaka Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kufuta kile alichotanabaisha kuwa kauli ya uongo kuhusu DP World kuanza kukusanya kodi katika Bandari ya Dar es Salaam na kwamba kauli hiyo imelenga kulipotosha Bunge na Watanzania.
Baada ya Waziri Mwigulu kuomba kuhusu utaratibu Mbunge Mpina amekubali kuyafuta maneno hayo kwani lengo lake ilikuwa ni kumaanisha tozo ambazo zinakusanywa na siyo kodi.
acha umbea!Mpina anaumia roho kwa kusahauliwa kwenye teuzi za uwaziri. Huyu Ngosha ana kinyongo sana.
Lugha ya picha lazima uielewe, kila anachokiongea huyo Mpina ni chuki tu kwa serikali ya SSH haoni jema lolote.acha umbea!
roho ya mpina
umeiona wapi
inavyoumia?
nimecheka kwa sauti sana sanaMsomi nani huko ccm ??!
CCM ni janga la Taifa na Samia anafedhehesha nchi kwa kuwa omba omba wa Kimataifa!uongo ni tabia mbaya na ya fedhaha sana kama ilivyo kwa ombaomba wa kitaifa na kimataifa 🐒
huyu ni kibalaka wa wazungu hatufaiWaziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amemtaka Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kufuta kile alichotanabaisha kuwa kauli ya uongo kuhusu DP World kuanza kukusanya kodi katika Bandari ya Dar es Salaam na kwamba kauli hiyo imelenga kulipotosha Bunge na Watanzania.
Baada ya Waziri Mwigulu kuomba kuhusu utaratibu Mbunge Mpina amekubali kuyafuta maneno hayo kwani lengo lake ilikuwa ni kumaanisha tozo ambazo zinakusanywa na siyo kodi.
omba omba kibaraka analalamika huyo dah 🤣CCM ni janga la Taifa na Samia anafedhehesha nchi kwa kuwa omba omba wa Kimataifa!
Samia amekuwa Matonya wa Kimataifa 😁😃😂omba omba kibaraka analalamika huyo dah 🤣