Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Ngosha anawanyoosha wamelala sanaMpina anaumia roho kwa kusahauliwa kwenye teuzi za uwaziri. Huyu Ngosha ana kinyongo sana.
Kakutana na wasomi wanaweza kumfunika katika kila mada inayojitokeza.Ngosha anawanyoosha wamelala sana
Waliozishinda kesi mbili kati ya tatu alizofungua Mpina dhidi ya serikali.Msomi nani huko ccm ??!
uongo ni tabia mbaya na ya fedhaha sana kama ilivyo kwa ombaomba wa kitaifa na kimataifa 🐒Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amemtaka Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kufuta kile alichotanabaisha kuwa kauli ya uongo kuhusu DP World kuanza kukusanya kodi katika Bandari ya Dar es Salaam na kwamba kauli hiyo imelenga kulipotosha Bunge na Watanzania.
Baada ya Waziri Mwigulu kuomba kuhusu utaratibu Mbunge Mpina amekubali kuyafuta maneno hayo kwani lengo lake ilikuwa ni kumaanisha tozo ambazo zinakusanywa na siyo kodi.
Kwa nini Huwa anapenda Ligi za kijinga mda wote hiyo mpina wenu?Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amemtaka Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kufuta kile alichotanabaisha kuwa kauli ya uongo kuhusu DP World kuanza kukusanya kodi katika Bandari ya Dar es Salaam na kwamba kauli hiyo imelenga kulipotosha Bunge na Watanzania.
Baada ya Waziri Mwigulu kuomba kuhusu utaratibu Mbunge Mpina amekubali kuyafuta maneno hayo kwani lengo lake ilikuwa ni kumaanisha tozo ambazo zinakusanywa na siyo kodi.
Tozo ama ushuru ni malipo bila kujali ya kipato. Lakini kodi aghalabu huzingatia kipato.Kwa akili yangu mbovu kodi na tozo ni kitu kile kile ila siyo malipo. Wajuzi waje wanielimishe
Mpina hakinukishi mpina yupo pale kimkakati mkuu. Ionekane bunge siyo kibogoyo. Kuhamisha mijadala nkKwahiyo mpina kufika leo tiari kashaanza kukinukisha
Mwamba karejea kuchangamsha bunge.Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amemtaka Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kufuta kile alichotanabaisha kuwa kauli ya uongo kuhusu DP World kuanza kukusanya kodi katika Bandari ya Dar es Salaam na kwamba kauli hiyo imelenga kulipotosha Bunge na Watanzania.
Baada ya Waziri Mwigulu kuomba kuhusu utaratibu Mbunge Mpina amekubali kuyafuta maneno hayo kwani lengo lake ilikuwa ni kumaanisha tozo ambazo zinakusanywa na siyo kodi.
Mpina aongezewe posho, badala ya laki 3 apewe 3MKwahiyo mpina kufika leo tiari kashaanza kukinukisha