Unajua maana ya kukataliwa na wananchi? Basi Ni kwamba Savimbi hapati kura. Sasa atakuwaje mbunge?Hayo tutayajafili baadavya uchaguzi kuisha ila mwiguru ndo mbunge pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua maana ya kukataliwa na wananchi? Basi Ni kwamba Savimbi hapati kura. Sasa atakuwaje mbunge?Hayo tutayajafili baadavya uchaguzi kuisha ila mwiguru ndo mbunge pale
Una lugha chafu!! haifanani na jina lako!!Vichwa vya Magazeti baada ya October 28
"CHADEMA YALIWA TUNDA KIMASIHARA"
Hii ndio njia sahihi? Acheni uzushi na uzandiki.Anadai haki yake kwa njia anayoiamini inafaa
Kwa uzushi na uongo kama huu?Mwisho wa Mwigulu umefika rasmi
Yani unataka kuua mtu kisa amekuuliza maswali ambayo hauna majibu nayo na kwamba tunajua CCM hamna lolote mnalojua zaidi ya kuwafanya watanzania wajinga...Mmeanza kimzushia Mwigulu upuuzi wenu maana jamaa amepiga Kampeni za kishindo tulieni sindano iwaingie
Pesa zote na magari yote ya ESHTER LUXURY bado haridhiki.Savimbi masikini! Amelegea mpk anataka kuuwa mpiga kura wake. Hivi Savimbi huwezi kujiajiri? Si ushazichota sana hela za serikali??
Nani alikuambia kuwa mtu akifungua kesi hawezi kuja JF? au wewe ulifundishwa kuwa kinacholetwa hapa ni uzushi, na kinachofunguliwa kesi ndicho cha ukweli?Acheni uzushi wa kipuuzi, kwa nini aje kuleta uzushi hapa Jf. Kwa nini asifungue kesi kama ni kweli?
Ameomba msaada JF hajasema anatupa taarifa.Nani alikuambia kuwa mtu akifungua kesi hawezi kuja JF? au wewe ulifundishwa kuwa kinacholetwa hapa ni uzushi, na kinachofunguliwa kesi ndicho cha ukweli?
Amekujua wewe umekuwa mke wake usilete sera zako za kishoga humu jfWewe ndio mpuuzi fala wewe nani asiemjua Mwigulu unafiki wake
Rais Magufuli amekosea sana kumrudisha huyu Mtu wizarani. KabisaHuyu jamaa watu walitekwa sana akiwa waziri mambo ya ndani. Na utekaji ukaisha alipotumbuliwa
Sababu ilikuwa nini mkuu?..au ndio alikuwa anafanya aliyozoea kufanya kumwaga damu za watu bila sababu?Huyu si ndiye aliyeratibu mauaji ya Dr. Sengodo Mvungi
Huyu jamaa ni Hitler wa Tanzania
Rais Magufuli amekosea sana kumrudisha huyu Mtu wizarani. Kabisa
Alikuwa na babako akiratibu ? Mmekuwa waongo na wazandiki watu wanachadema waliohusika na mauaji ya mvungi walikamatwa na walikuwa vijana wa BAVICHA na wao walitaka pesa tu kama alivyoiambia mahakama na hukumu ikatola Mwigulu hakuwahi kutajwa hata siku moja leo ndio unaleta ushuzi wako hapaHuyu si ndiye aliyeratibu mauaji ya Dr. Sengodo Mvungi
Huyu jamaa ni Hitler wa Tanzania
naona unapromote biashara yako kimasiaraVichwa vya Magazeti baada ya October 28
"CHADEMA YALIWA TUNDA KIMASIHARA"
Mmemshindwa jimboni mmekuja humuRais Magufuli amekosea sana kumrudisha huyu Mtu wizarani. Kabisa
Sababu ilikuwa nini mkuu?..au ndio alikuwa anafanya aliyozoea kufanya kumwaga damu za watu bila sababu?