atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Huyu lazima alikuwa anamtaman Hamisa long time imebid atengenezee mazingira ya kumpata,hatusahau ya Nyalandu na Aunt Ezekiel juzi tumeona ya Kigwa na Posh Queen yaan ni maigizo,elimu kama hio inatakiwa itolewe kuanzia shule za msingi na vyuon vijana wafunzwe uzalendo wa kulipa kodi