Pastory Kimaryo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 967
- 668
Tatizo wao wanadhani wao watatoa influence yenye technical skills za kodi kumbe ni normal tu sidhan kama walijiongeza kumfikiria waziri kwa udogo kiasi hiko.Nyie mnaopinga hapo juu mnajielewa? Wewe uliyesoma upo mbwinde huko na mbwana samatta au edo kumwembe nani ana fan base kubwa na anaweza kusikilizwa akihamasisha kodi?