mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
NmekusomaTatizo sio kwenda mjengoni ila kutoa uambasado kwa masley queen ili wawe kiburudisho
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NmekusomaTatizo sio kwenda mjengoni ila kutoa uambasado kwa masley queen ili wawe kiburudisho
Kwani leo ni April1?Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amewateua Mbwana Samatta, Hamisa Mobeto na Edo Kumwembe kuwa mabalozi wa kuhamasisha ulipaji kodi. Mbali na hao amewateua wanasiasa wengine kuwa mabalozi wa elimu ya kodi, ili kuhakikisha wananchi wanalipa kodi bila kushurutishwa.
=========
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya uteuzi wa watu mbalimbali watakaotoa elimu ya mlipa kodi kwa Watanzania wakiwemo
Mbwana Samata, Edo Kumwembe na Hamisa Mobeto.
View attachment 1826377
Nawasubiri kuwapiga maswali ya kodi na sheria zake. Ila kwa kweli mizaha imezidi sana siku hizi, yaani masuala mazito ambayo ni nguzo kuu ya uchumi wa nchi watu wanaleta watu wa ajabu ambao hata maana ya kodi au uchumi hawajui, mambo ya kodi na uchumi ni tofauti na kumtangaza Faru John au Mlima Kilimanjaro au kumjadili Karia na TFF yake.Hawa wamesomea elimu ya kodi au waziri analeta mzaha katika kazi.
Anarudia makosa ya Kingwangwala, anadhani anatangaza mbuga za wanyamaHivi kweli Hamisa akakueleze kuhusu elimu ya Mlipa kodi? Kweli?
Kwani elimu ya mlipa kodi inahitaji mvuto wa ngozi na makalio ili mtu aweze kuelewa vema?
Si kuja vijana wengi tu wamesoma Chuo cha Kodi, wapewe hilo chapuo.
Wakawaeleweshe watu mtaani na kuwajibu kwa ufasaha. Pengine makali ya kukosa ajira yangepunguzwa kidogo.
Upuuzi!.
Leo asubuhi nilimwona akisoma nyaraka na kulieleza bunge mipango ya maendeleoMwigulu bwana, sasa kati ya hao nani anajua maswala ya kodi au uchumi?????? Kama hawajui watatoaje elimu gani, mpria, utangazaji, comedy au ulimbwende????
Nadhubuti kusema ni yale yale ya Kigwang`ala, wasanii na utalii kumbe tulipigwa hadi basi.
Binafsi wangemchagua Mh Jumanne Kishimba au King Musukuma watu wangeelewa zaidiNyie mnaopinga hapo juu mnajielewa? Wewe uliyesoma upo mbwinde huko na mbwana samatta au edo kumwembe nani ana fan base kubwa na anaweza kusikilizwa akihamasisha kodi?
Dah!
Kuongoza watu/nchi ni kazi sana mkuuHivi TRA wanavyopeleka matangazo redioni na hizo mentions zao kusomwa na watangazaji hao watangazaji wanakuwa ni IFM's graduates wanaokuwa na elimu ya Kodi?
Hawa wanaweza kutumia platform zao kupost short briefs za maofisa wa kitengo cha elimu kwa mlipa kodi kinachoongozwa na Kayombo pale TRA na pia watapewa semina na nini cha kusema.
Labda usalama wa mama na mtotoJojo ni mtu wa usalama uteuzi wake haukuja kibahati mbaya tu
Nchi nyingi tu hutumia influencer kufikisha baadhi ya Mambo, waweza kuwa na shule lakini hamna anayekujua na sikuhizi ma socialite ndo Wana followers wengi, mfano christiano Ronaldo alivo weza affect kampuni ya coca-cola, so tusiye tuna ignore hawa ma celeb hasa kwa vichwa au vijana wa zama hziUzuri siku hizi dunia ni darasa tosha. Hili tumeiga kutoka nchi gani miongoni mwa nchi zilizoendelea??
Wewe ndugu yake Hamisa? Nauliza tuNyie mnaopinga hapo juu mnajielewa? Wewe uliyesoma upo mbwinde huko na mbwana samatta au edo kumwembe nani ana fan base kubwa na anaweza kusikilizwa akihamasisha kodi?
Hahaha! Huyo ana hamasisha tu hakusanyi.Hapo tayari unalipa kodi mwenyewe bila fujo.....
a hao watatu tuu... kwani hao ni katika wengi au ndio timu imekamilikaWaziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amewateua Mbwana Samatta, Hamisa Mobeto na Edo Kumwembe kuwa mabalozi wa kuhamasisha ulipaji kodi. Mbali na hao amewateua wanasiasa wengine kuwa mabalozi wa elimu ya kodi, ili kuhakikisha wananchi wanalipa kodi bila kushurutishwa.
=========
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya uteuzi wa watu mbalimbali watakaotoa elimu ya mlipa kodi kwa Watanzania wakiwemo
Mbwana Samata, Edo Kumwembe na Hamisa Mobeto.
View attachment 1826377
Ni ajabu na nikweli mtu anamshauli mwenzake aoge maji yenye baridi Kali na ni kipindi Cha baridi huku yeye kavaa koti la manyoya kujikinga na baridiHapo kumwembe na samatta wameongezewa tu ila kuua so hizi mambo tunazijua sana mwenye kazi hapo ni mobeto
Kaka hapa tunazungumzia serikali wewe unaleta mambo ya cocakola!!! Em kuwa serious isee. Hivi wajua kuwa mambo ya Taxation particularly tax compliance ni mambo complex hayahitajii midemko???Nchi nyingi tu hutumia influencer kufikisha baadhi ya Mambo, waweza kuwa na shule lakini hamna anayekujua na sikuhizi ma socialite ndo Wana followers wengi, mfano christiano Ronaldo alivo weza affect kampuni ya coca-cola, so tusiye tuna ignore hawa ma celeb hasa kwa vichwa au vijana wa zama hzi
Kazi imeanza,