Hata Jiwe alimshtukia akamfurusha.Mama kampa wizara ngumu sana.Udaktari wake ni wa kumdanganya Hangaya tu hamna kitu pale
Hakuna Wizara ngumu sema hatuna wabunge wenye Sifa za Kuwa MawaziriHata Jiwe alimshtukia akamfurusha.Mama kampa wizara ngumu sana.
Tumeisha!
Jamaa ni kilaza haswaDaktari wa Uchumi,, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba alijitapa bungeni kuwa Dola zipo za kutosha na hakuna tatizo la Dola na kwamba yeye ni Mbobevu wa Uchumi watanzania wasiwe na mashaka naye wanaweza kujadili mambo ya uganga wa kienyeji tu.
Leo Dola zimepotea Waziri yuko Kimya.
🚶Daktari wa Uchumi,, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba alijitapa bungeni kuwa Dola zipo za kutosha na hakuna tatizo la Dola na kwamba yeye ni Mbobevu wa Uchumi watanzania wasiwe na mashaka naye wanaweza kujadili mambo ya uganga wa kienyeji tu.
Leo Dola zimepotea Waziri yuko Kimya.
Bandari ,unabisha?Inaonekana tuna bidhaa nyingi ya kuuza Nje kwa hiyo tuna devalue shilingi wanunuane wa Nje wavutike!
Swali, ni bidhaa gani hiyo inayouzwa Nje?
Sema hivi udaktari wake ni wa kuwadanganya waganga wake huko singida.U daktari wake ni wa kumdanganya Hangaya tu hamna kitu pale
Wabunge wapo,sema Mama hajasagura sawa sawaHakuna Wizara ngumu sema hatuna wabunge wenye Sifa za Kuwa Mawaziri
Ndio Kenya waliachana na huu ujinga!
Atakuwa anabuni chanzo kipya cha tozo.Daktari wa Uchumi,, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba alijitapa bungeni kuwa Dola zipo za kutosha na hakuna tatizo la Dola na kwamba yeye ni Mbobevu wa Uchumi watanzania wasiwe na mashaka naye wanaweza kujadili mambo ya uganga wa kienyeji tu.
Leo Dola zimepotea Waziri yuko Kimya.