Conquistador
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 1,435
- 3,463
Dawa yao kopa usilipe, usipokee simu za wale wenda wazimu wao ili tukutane mahakamani tuwajue.
Kwanini wanajificha nyuma ya key board?
Kwanini wanajificha nyuma ya key board?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana! Dawa ni kukopa na kutolipa, basiDawa ya hawa watu msikope kwao hizo kampuni zitakufa.
Sidhani kama kuna nchi nyingine ukiondoa Tanzania kuna viongozi wanaweza kubariki mikopo yenye riba ya 33% - 50% kwa siku 5, 6 au 7.
Kama kuna nchi nyingine Mh. Dr. Mwigulu Nchemba aje atuambie.
Bunge liligusia hii mikopo lakini naona limeufyata.
Kama serikali imeshindwa kutoa suluhisho vijana kopeni na msilipe
Au usikope.Hapana! Dawa ni kukopa na kutolipa, basi
Range ya riba mkuu inajulikana kwamba isizidi 20%.Hiyo riba elekezi ni ipi? Wakati benki zenyewe zina toa riba tofauti NMB CrDb riba zao ni tofauti.
Hii kampeni itakuwa kibokoKwanini mnakopa huko? Ok kama ni vita basi:
Gen Z ya Tanzania fanyeni uhamasishaji wa watu kukopa na kila anayekopa asilipe, mwenye mkopo asilipe. Isambazwe kwenye mitandao ya jamii, sms, vijarida n.k
"KIMBIZA RIBA UMIZA, USILIPE MKOPO, KOPA USILIPE.
Sometimes nahisi huenda Mama nae ana share kwenye haya makampuni na ndio maana hakuna hatua serious zinachochukuliwa.Sidhani kama kuna nchi nyingine ukiondoa Tanzania kuna viongozi wanaweza kubariki mikopo yenye riba ya 33% - 50% kwa siku 5, 6 au 7.
Kama kuna nchi nyingine Mh. Dr. Mwigulu Nchemba aje atuambie.
Bunge liligusia hii mikopo lakini naona limeufyata.
Kama serikali imeshindwa kutoa suluhisho vijana kopeni na msilipe
Nawaza leo nikope halafu kwenye wadhamini niweke namba ya gavana wa BOT na Rais Samia, kwakuwa wakopeshaji hawakagui na kuwasiliana na wadhamini. Siku ya tano nazima simu siku ya 6 saa mbili direct watawapigia simu wadhamini kwa kuwafokea. Hapo ndipo utakuwa mwisho wa Hawa wakopeshaji washenzi.Sometimes nahisi huenda Mama wa nae ana share kwenye haya makampuni na ndio maana hakuna hatua serious zinachochukuliwa.
Ongeza na namba ya Mwigulu kabisa.Nawaza leo nikope halafu kwenye wadhamini niweke namba ya gavana wa BOT na Rais Samia, kwakuwa wakopeshaji hawakagui na kuwasiliana na wadhamini. Siku ya tano nazima simu siku ya 6 saa mbili direct watawapigia simu wadhamini kwa kuwafokea. Hapo ndipo utakuwa mwisho wa Hawa wakopeshaji washenzi.
Hili wazo limenijia asubh
Wanataka namba mbili tu. Labda ya gavana nisiiweke niweke ya waziri wa fedhaOngeza na namba ya Mwigulu kabisa.
Wanataka namba mbili tu. Labda ya gavana nisiiweke niweke ya waziri wa fedhaOngeza na namba ya Mwigulu kabisa.
Gen Z inakiwa na hapa Bongo kushitua watawala.BOT wasaidieni wa Tanzania hili jambo limelalamikiwa sana kila siku ila hakuna majibu.
Hii ikipata majisiri itafanikiwa sana na itaenda viral mno.Hii kampeni itakuwa kiboko
app gani hiyo nataka niwanyoosheJuzi nimekopa 55,000 nimelipa 93,000 within a week
Mimi nadaiwa million 5 mpaka sasa na hizi app 😂😂😂😂😂app gani hiyo nataka niwanyooshe
Hahaaaa!!Mimi nadaiwa million 5 mpaka sasa na hizi app 😂😂😂😂😂
Siwalipi katu.Hahaaaa!!