Hivi kuamini katika kutatuliwa shida zetu na watu walionje ya mipaka yetu ndio akili? Ugonjwa watengeneze wao , vipimo watengeneze wao , chanjo watengeneze wao , mpaka dawa watengeneze wao , sie tukae tu , ndio akili hiyo ? Kweli watanzania wana safari ndefu ya kujikomboa kifikra.Hiyo ndio representative sample ya Ph.D za bongo!!! Inaelekea wengi wao wanaamini NYUNGU ndio maana nchi inakwama!!!
Kwa hiyo nani karogwa?Siku chache kabla hajateuliwa tena alikuwa jimboni na akakutana na Mzee mmoja wa mambo fulani kule kijijini kwao Makunda na Ng'anguli (jina la Mzee huyo nalihifadhi).
Akaambiwa asiwe na wasiwasi kwani atarudi tu kwenye ukubwa na akamwambia apambane vema na maadui zake.
Ni kweli baada ya hapo akaanza kupambana na ikafikia hadi kuwaambia wasimfuate fuate kwani yeye ni mamba aliyeko kwenye kina kirefu.
Na kweli akaendelea na mapambano makali mpaka ikafikia hatua akaendelea ku-air kwa sauti ya juu interest za Mkulu na akasikika.
Huyo Mzee ameendelea kusema kuwa lazima atahakikisha Dkt. Mwigulu anatimiza malengo yake. Ndugu wa karibu wa huyo Mzee anadai watu wasubirie wataona Dkt. Mwigulu atakavyoshangaza dunia.
Kweli kabisa! Wengi watahama CCM this yerah!Mkuu acha kupoteza muda wako hiyo CCM yenu ndivyo ilivyo ,Mwigulu aliwaambia msimfuate kwenye kina kirefu ,matokeo yake mnayaona ,Mbunge wa Iramba Magharibi atachaguliwa na Mwenyekiti wenu! Kama hali ya sasa itaendelea kama ilivyo!
Prof. Kitila kishamilizwa hana lolote tena
Sawa lakini mimi nimeandika Tanganyika ziwa.. Ona tofauti hapoZiwaTanganyika mamba wamo tena wengi tu
Kwa hiyo majina yake kwenye mawe asiyafute?
Kujifukiza ni mbadala wa mwenge...Yaani Tanzania watu wamejifukiza wamekuwa wajinga yaani hii CORONA iishe tu
Tayari Uzi huo.Siku chache kabla hajateuliwa tena alikuwa jimboni na akakutana na Mzee mmoja wa mambo fulani kule kijijini kwao Makunda na Ng'anguli (jina la Mzee huyo nalihifadhi).
Akaambiwa asiwe na wasiwasi kwani atarudi tu kwenye ukubwa na akamwambia apambane vema na maadui zake.
Ni kweli baada ya hapo akaanza kupambana na ikafikia hadi kuwaambia wasimfuate fuate kwani yeye ni mamba aliyeko kwenye kina kirefu.
Na kweli akaendelea na mapambano makali mpaka ikafikia hatua akaendelea ku-air kwa sauti ya juu interest za Mkulu na akasikika.
Huyo Mzee ameendelea kusema kuwa lazima atahakikisha Dkt. Mwigulu anatimiza malengo yake. Ndugu wa karibu wa huyo Mzee anadai watu wasubirie wataona Dkt. Mwigulu atakavyoshangaza dunia.
Siku chache kabla hajateuliwa tena alikuwa jimboni na akakutana na Mzee mmoja wa mambo fulani kule kijijini kwao Makunda na Ng'anguli (jina la Mzee huyo nalihifadhi).
Akaambiwa asiwe na wasiwasi kwani atarudi tu kwenye ukubwa na akamwambia apambane vema na maadui zake.
Ni kweli baada ya hapo akaanza kupambana na ikafikia hadi kuwaambia wasimfuate fuate kwani yeye ni mamba aliyeko kwenye kina kirefu.
Na kweli akaendelea na mapambano makali mpaka ikafikia hatua akaendelea ku-air kwa sauti ya juu interest za Mkulu na akasikika.
Huyo Mzee ameendelea kusema kuwa lazima atahakikisha Dkt. Mwigulu anatimiza malengo yake. Ndugu wa karibu wa huyo Mzee anadai watu wasubirie wataona Dkt. Mwigulu atakavyoshangaza dunia.
Hii inaweza kuwa kweli kabisa! Si unaona wale wote waliojarib na mkulu mwaka 2015 wamepotea. May be Daktari Hussein Mwinyi ndiyo anaweza kuwa tishio kwa Mwigulu.Hilo liko wazi, kwa kizazi chao ndani ya CCM ni yeye tu kwa sasa, hakuna asojua wale wengine walofukuzwa uwaziri ni miungoni mwa huyo mumuitaye "kigogo" pamoja na wale makahaba na sura mbaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upuuzi ni mzigo,unakaa unamjadili mwanaume mwenzako si ujinga huo.Amekukosea nn mwigulu wewe?acha kumchafua hivyo ondoa ujinga wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mujibu wa mtoa taarifa huyo mganga hana hata namba ya simu, hajui kusoma wala kuandika, lakini pia hata kiswahili hawezi kuongea vizuri.
[emoji706][emoji706]Siku chache kabla hajateuliwa tena alikuwa jimboni na akakutana na Mzee mmoja wa mambo fulani kule kijijini kwao Makunda na Ng'anguli (jina la Mzee huyo nalihifadhi).
Akaambiwa asiwe na wasiwasi kwani atarudi tu kwenye ukubwa na akamwambia apambane vema na maadui zake.
Ni kweli baada ya hapo akaanza kupambana na ikafikia hadi kuwaambia wasimfuate fuate kwani yeye ni mamba aliyeko kwenye kina kirefu.
Na kweli akaendelea na mapambano makali mpaka ikafikia hatua akaendelea ku-air kwa sauti ya juu interest za Mkulu na akasikika.
Huyo Mzee ameendelea kusema kuwa lazima atahakikisha Dkt. Mwigulu anatimiza malengo yake. Ndugu wa karibu wa huyo Mzee anadai watu wasubirie wataona Dkt. Mwigulu atakavyoshangaza dunia.
Bado ana ndoto za kuwa Rais si unakumbuka Ule Moshi wa Ruangwa alifanya yake lakini hao wazee wake wakafeli sehemuKwa hiyo majina yake kwenye mawe asiyafute?
Kujikomboa kifikra ni kuruhusu uhuru wa kufanya siasa ili kupata mawazo mbadalaHivi kuamini katika kutatuliwa shida zetu na watu walionje ya mipaka yetu ndio akili? Ugonjwa watengeneze wao , vipimo watengeneze wao , chanjo watengeneze wao , mpaka dawa watengeneze wao , sie tukae tu , ndio akili hiyo ? Kweli watanzania wana safari ndefu ya kujikomboa kifikra.
Hawezi kutoa namba kwa sababu anajua ccm wengine wataenda kuvuruga njia za mwigulu kupenya kupitia Moshi kama wa Ruangwa ambao huenda wakautuma tena baadaeKwa mujibu wa mtoa taarifa huyo mganga hana hata namba ya simu, hajui kusoma wala kuandika, lakini pia hata kiswahili hawezi kuongea vizuri.