Dkt Mwigulu sio kabisa!

Dkt Mwigulu sio kabisa!

Hiyo ndio representative sample ya Ph.D za bongo!!! Inaelekea wengi wao wanaamini NYUNGU ndio maana nchi inakwama!!!
Hivi kuamini katika kutatuliwa shida zetu na watu walionje ya mipaka yetu ndio akili? Ugonjwa watengeneze wao , vipimo watengeneze wao , chanjo watengeneze wao , mpaka dawa watengeneze wao , sie tukae tu , ndio akili hiyo ? Kweli watanzania wana safari ndefu ya kujikomboa kifikra.
 
Siku chache kabla hajateuliwa tena alikuwa jimboni na akakutana na Mzee mmoja wa mambo fulani kule kijijini kwao Makunda na Ng'anguli (jina la Mzee huyo nalihifadhi).

Akaambiwa asiwe na wasiwasi kwani atarudi tu kwenye ukubwa na akamwambia apambane vema na maadui zake.

Ni kweli baada ya hapo akaanza kupambana na ikafikia hadi kuwaambia wasimfuate fuate kwani yeye ni mamba aliyeko kwenye kina kirefu.

Na kweli akaendelea na mapambano makali mpaka ikafikia hatua akaendelea ku-air kwa sauti ya juu interest za Mkulu na akasikika.

Huyo Mzee ameendelea kusema kuwa lazima atahakikisha Dkt. Mwigulu anatimiza malengo yake. Ndugu wa karibu wa huyo Mzee anadai watu wasubirie wataona Dkt. Mwigulu atakavyoshangaza dunia.
Kwa hiyo nani karogwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu acha kupoteza muda wako hiyo CCM yenu ndivyo ilivyo ,Mwigulu aliwaambia msimfuate kwenye kina kirefu ,matokeo yake mnayaona ,Mbunge wa Iramba Magharibi atachaguliwa na Mwenyekiti wenu! Kama hali ya sasa itaendelea kama ilivyo!
Kweli kabisa! Wengi watahama CCM this yerah!
 
Hilo liko wazi, kwa kizazi chao ndani ya CCM ni yeye tu kwa sasa, hakuna asojua wale wengine walofukuzwa uwaziri ni miungoni mwa huyo mumuitaye "kigogo" pamoja na wale makahaba na sura mbaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku chache kabla hajateuliwa tena alikuwa jimboni na akakutana na Mzee mmoja wa mambo fulani kule kijijini kwao Makunda na Ng'anguli (jina la Mzee huyo nalihifadhi).

Akaambiwa asiwe na wasiwasi kwani atarudi tu kwenye ukubwa na akamwambia apambane vema na maadui zake.

Ni kweli baada ya hapo akaanza kupambana na ikafikia hadi kuwaambia wasimfuate fuate kwani yeye ni mamba aliyeko kwenye kina kirefu.

Na kweli akaendelea na mapambano makali mpaka ikafikia hatua akaendelea ku-air kwa sauti ya juu interest za Mkulu na akasikika.

Huyo Mzee ameendelea kusema kuwa lazima atahakikisha Dkt. Mwigulu anatimiza malengo yake. Ndugu wa karibu wa huyo Mzee anadai watu wasubirie wataona Dkt. Mwigulu atakavyoshangaza dunia.
Tayari Uzi huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku chache kabla hajateuliwa tena alikuwa jimboni na akakutana na Mzee mmoja wa mambo fulani kule kijijini kwao Makunda na Ng'anguli (jina la Mzee huyo nalihifadhi).

Akaambiwa asiwe na wasiwasi kwani atarudi tu kwenye ukubwa na akamwambia apambane vema na maadui zake.

Ni kweli baada ya hapo akaanza kupambana na ikafikia hadi kuwaambia wasimfuate fuate kwani yeye ni mamba aliyeko kwenye kina kirefu.

Na kweli akaendelea na mapambano makali mpaka ikafikia hatua akaendelea ku-air kwa sauti ya juu interest za Mkulu na akasikika.

Huyo Mzee ameendelea kusema kuwa lazima atahakikisha Dkt. Mwigulu anatimiza malengo yake. Ndugu wa karibu wa huyo Mzee anadai watu wasubirie wataona Dkt. Mwigulu atakavyoshangaza dunia.

Mwigulu HAFAI. Ni muhuni tu.
 
Hilo liko wazi, kwa kizazi chao ndani ya CCM ni yeye tu kwa sasa, hakuna asojua wale wengine walofukuzwa uwaziri ni miungoni mwa huyo mumuitaye "kigogo" pamoja na wale makahaba na sura mbaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii inaweza kuwa kweli kabisa! Si unaona wale wote waliojarib na mkulu mwaka 2015 wamepotea. May be Daktari Hussein Mwinyi ndiyo anaweza kuwa tishio kwa Mwigulu.
 
Siku chache kabla hajateuliwa tena alikuwa jimboni na akakutana na Mzee mmoja wa mambo fulani kule kijijini kwao Makunda na Ng'anguli (jina la Mzee huyo nalihifadhi).

Akaambiwa asiwe na wasiwasi kwani atarudi tu kwenye ukubwa na akamwambia apambane vema na maadui zake.

Ni kweli baada ya hapo akaanza kupambana na ikafikia hadi kuwaambia wasimfuate fuate kwani yeye ni mamba aliyeko kwenye kina kirefu.

Na kweli akaendelea na mapambano makali mpaka ikafikia hatua akaendelea ku-air kwa sauti ya juu interest za Mkulu na akasikika.

Huyo Mzee ameendelea kusema kuwa lazima atahakikisha Dkt. Mwigulu anatimiza malengo yake. Ndugu wa karibu wa huyo Mzee anadai watu wasubirie wataona Dkt. Mwigulu atakavyoshangaza dunia.
[emoji706][emoji706]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kuamini katika kutatuliwa shida zetu na watu walionje ya mipaka yetu ndio akili? Ugonjwa watengeneze wao , vipimo watengeneze wao , chanjo watengeneze wao , mpaka dawa watengeneze wao , sie tukae tu , ndio akili hiyo ? Kweli watanzania wana safari ndefu ya kujikomboa kifikra.
Kujikomboa kifikra ni kuruhusu uhuru wa kufanya siasa ili kupata mawazo mbadala
 
Kwa mujibu wa mtoa taarifa huyo mganga hana hata namba ya simu, hajui kusoma wala kuandika, lakini pia hata kiswahili hawezi kuongea vizuri.
Hawezi kutoa namba kwa sababu anajua ccm wengine wataenda kuvuruga njia za mwigulu kupenya kupitia Moshi kama wa Ruangwa ambao huenda wakautuma tena baadae
 
Back
Top Bottom