Dkt Mwigulu sio kabisa!

Dkt Mwigulu sio kabisa!

Huyu mwandishi wa makala hii ni wakala wa huyo mganga wa kienyeji, hakuna kingine zaidi ya kuwa anampigia debe.

Weka anuani za huyo mganga wa Mwigulu hapa, atakayetaka atamtafuta.

Utakuta mafisccm wote watakimbilia huko kabla na baada ya Uchaguzi Mkuu 2020! Ndo maana rinchi hiri harienderei ng'o!
 
Kitila na timu yako bado hamjachoka tu kumchafua Mwigulu. Hebu tulieni mfanye mambo mengine. Hivi bila Ubunge maisha yenu hayaendi?

Acheni kumwandama mwenzenu kiasi hicho. Tena wote ni makada wa CCM mwacheni achape kazi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku chache kabla hajateuliwa tena alikuwa jimboni na akakutana na Mzee mmoja wa mambo fulani kule kijijini kwao Makunda na Ng'anguli (jina la Mzee huyo nalihifadhi). Akaambiwa asiwe na wasiwasi kwani atarudi tu kwenye ukubwa na akamwambia apambane vema na maadui zake. Ni kweli baada ya hapo akaanza kupambana na ikafikia hadi kuwaambia wasimfuate fuate kwani yeye ni mamba aliyeko kwenye kina kirefu. Na kweli akaendelea na mapambano makali mpaka ikafikia hatua akaendelea ku-air kwa sauti ya juu interest za Mkulu na akasikika.
Huyo Mzee ameendelea kusema kuwa lazima atahakikisha Dkt. Mwigulu anatimiza malengo yake. Ndugu wa karibu wa huyo Mzee anadai watu wasubirie wataona Dkt. Mwigulu atakavyoshangaza dunia.
Nakubaliana na wewe maana hata ndevu hanyoi ni mchafu sn.
 
Kila maji yana kina chake... Mamba na ubabe wake wote ataishia mtoni na ziwani.. Tena sio Tanganyika ziwa

Jr[emoji769]
 
Hakuna kingine ni ushirikina tu, hii nchi hii...
 
Nilitegemea kusikia ameenda kwa Padre kuombewa!!!!Kumbe anatumia nguvu za Giza toka kwa Vigagula wa Kinyiramba na Kinyaturu....!!!!
Bblia inasema: AMELAANIWA AMTEGEMEA MWANADAMU!
Mbona yule ndiyo tabia yake

Sent by IPhone
 
Siku chache kabla hajateuliwa tena alikuwa jimboni na akakutana na Mzee mmoja wa mambo fulani kule kijijini kwao Makunda na Ng'anguli (jina la Mzee huyo nalihifadhi). Akaambiwa asiwe na wasiwasi kwani atarudi tu kwenye ukubwa na akamwambia apambane vema na maadui zake. Ni kweli baada ya hapo akaanza kupambana na ikafikia hadi kuwaambia wasimfuate fuate kwani yeye ni mamba aliyeko kwenye kina kirefu. Na kweli akaendelea na mapambano makali mpaka ikafikia hatua akaendelea ku-air kwa sauti ya juu interest za Mkulu na akasikika.
Huyo Mzee ameendelea kusema kuwa lazima atahakikisha Dkt. Mwigulu anatimiza malengo yake. Ndugu wa karibu wa huyo Mzee anadai watu wasubirie wataona Dkt. Mwigulu atakavyoshangaza dunia.
Mkuu acha kupoteza muda wako hiyo CCM yenu ndivyo ilivyo ,Mwigulu aliwaambia msimfuate kwenye kina kirefu ,matokeo yake mnayaona ,Mbunge wa Iramba Magharibi atachaguliwa na Mwenyekiti wenu! Kama hali ya sasa itaendelea kama ilivyo!
 
Mtu yupo karne ya 21 bado anaona tupo karne 16 sijui kwanini watu hawa wamezaliwa karne hii bora tu wangezaliwa karne za huko nyuma

Hiyo ndio representative sample ya Ph.D za bongo!!! Inaelekea wengi wao wanaamini NYUNGU ndio maana nchi inakwama!!!
 
Back
Top Bottom