Dkt. Mwigulu: Tutabana Matumizi kwenye chai, vitafunwa, safari ndani na nje ya nchi na semina. Viongozi watumie usafiri wa pamoja ziarani!

Hata uso wake haukushabihiana na matamshi yake, hata ainisho la ubanaji bajeti amefanya mzaha hajaweka bayana maeneo muhimu yanayobeba pesa nyingi mfano ununuzi wa magari, na etc., He hasn't been that serious. Too much reading ndio usomi gani huo?
Ni kama mwanafunzi alikuwa anajisahihishia mtihani wake mwenyewe
 
Nimebaini watu wenye akili za kawaida mnanionea gere kila ninaposafiri kwenda nje, lakini mtaipata fresh siku moikamatwa maana nimemwagiza Mwanangu IGP Wambura kuwa mtu yoyote anaye niparura mtaani na mitandaoni mkamateni na mumpe kesi ya Panyaroad.
Bado ningali nikiwatizama kwa jicho langu legevu,endeleeni!
 
Kinachoniuma mbona wabunge wao hawakatwi pesa zao?
Nao wakatwe kila wanachopata kama wengine kama kweli ni wazalendo wa nchi yao!
Waache tabia za "mafarisayo' za kuwatwisha watu wengine mizigO ambayo wao hawaigusi hata kwa ncha ya vidole vyao!
 
Mwambieni arudi chapu bongo Ili kupunguza MATUMIZI huko alipo
 
Acha uongo wewe, nssf wanunue chai kwako, nimefanya field nssf mwanza chai wanajinunulia
Mmmh we ndio nina walakini na ww, mm nilifanya field nssf shinyanga, chai ilikuwa ni juu ya ofisi. Hakuna aliekuwa ananunua kwa pesa yake
 
Safi sana ila kutumia usafiri wa pamoja hapo ikiwa ni ajali tutapoteza viongozi kwa pamoja.
Vipi Uingereza,imepoteza viongozi wangapi,jana WALE uliowaona unataarifa ya hata mmoja wao kupotea?
 
Kwani huko majumbani kwenu hampiki chai mpaka mje kutegemea za maofisini??
 
Aisee tena mpaka uone inaongelewa hivi ni chai heavy weight si mchezo mchezo
 
Na mabasi yake tupande bure kwa muda wa mwezi mmoja kufidia tozo tulizo minywa kipindi chote hicho ....





Jokes
 
Mtaani tunakula chai ya maziwa maharage na chapati mbili inatosha kabisa halafu hatupatipati yale maradhi yasiyo ya kuambukiza !! Kweli Mungu ni fundi sana. !!
 
Mbo kuhusu v8 hazungumzii..na mishahara ya wabunge anakwepa kwepa tu..wakati huko ndio kwenye matumizi makubwa sana ya hela ya walipa kodi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkuu naomba hizi taarifa za safari zitengenezee uzi wake na uwe unapata updates kila akisafiri nje ya nchi ili kuweka kumbukumbu vizuri.

Ili wanachi waone tofauti kati ya raisi na mlamba asali

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…