jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
watu wengi wa ChademaHivi hapo kuna ukweli gani maana yeye anasema ni 68 lkn watu wengi a wanasema ni 35!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu wengi wa ChademaHivi hapo kuna ukweli gani maana yeye anasema ni 68 lkn watu wengi a wanasema ni 35!
Amewauliza kwamba walimpigia wakasema Ndio..!?? Hizi ndo michezo michafu.. TAKUKURU kamateni hii..Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Dr Mwinyi amesema wajumbe wa Zanzibar waliowapigia kura walikuwa 68 na siyo 35 kama inavyovumishwa.
Mwinyi amesema hata kama ni kweli wenzake hawakupigiwa kura na wajumbe wa bara kitu ambacho hakiamini, bado yeye naye atakuwa amepata kura 33 kutoka Zanzibar.
Dkt. Mwinyi amewataka watanzania wawe wakweli badala ya kuzusha mambo yasiyo na tija yoyote.
Source Swahili times
Maendeleo hayana vyama!
Busara ingemwongoza akae kimyaMgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Dr Mwinyi amesema wajumbe wa Zanzibar waliowapigia kura walikuwa 68 na siyo 35 kama inavyovumishwa.
Mwinyi amesema hata kama ni kweli wenzake hawakupigiwa kura na wajumbe wa bara kitu ambacho hakiamini, bado yeye naye atakuwa amepata kura 33 kutoka Zanzibar.
Dkt. Mwinyi amewataka watanzania wawe wakweli badala ya kuzusha mambo yasiyo na tija yoyote.
Source Swahili times
Maendeleo hayana vyama!
Nenda YouTube Azam two utaona mahojiano yote na Tido Mhando.Nimejari kutafuta source ya hii habari sijaona,watu wanachangia habari ya mtunzi.
Duh ndugu zetu ccm Zanzibar wamewauzia Tanganyika hadi 'ghala la silaha' . Kazi kweli kweli.Hakuna Kamati Kuu ya Wa Zanzibar kuna Kamati Kuu ya CCM
Hakuna Kamati Kuu ya Wa Zanzibar kuna Kamati Kuu ya CCM
Busara ingemwongoza akae kimya
Nenda YouTube Azam two utaona mahojiano yote na Tido Mhando.
watu wengi wa Chadema
Kichwa maji wewe!! chama kama hakina upande inatakiwa uchaguzi ufanyike kwa kiongozi wa chama kwasababu uwiano wa wajumbe haupo sawa kwa pande zote. Inakua haramu kwa uchaguzi wa kiongozi wa nchi nyingine mpaka na wajumbe wasioongozwa na huyo kiongozi.Umeshafeli nawewe. Lini umeshawahi kusikia Tanzania Bara tunapiga kura kumchagua Rais wa Zanzibar. Huu ni uteuzi ndani ya chama (CCM). Kumbuka Afro Shiraz na TANU ziliungana kikazaliwa Chama kimoja kinachoitwa CCM. Chama hiki hakina upande huu wala ule, isipokua nchi ndo ina Serikali mbili. Usichanganye mambo.
Wajumbe wa Zanzibar ni 68.....sisi ndio CCM tunaokwambia!Hivi hapo kuna ukweli gani maana yeye anasema ni 68 lkn watu wengi a wanasema ni 35!
14 Julai 2020
Dar es Salaam, Tanzania
LIVE: MAHOJIANO MAHSUSI KATI YA TIDO MHANDO NA MGOMBEA URAIS ZANZIBAR KUPITIA CCM, Dr. HUSSEIN MWINYI
Source : Azam TV
Wakamuulize JECHA
Kwahiyo unataka chama kiwe na vyombo viwili vya maamuzi kimoja Zanzibar na kingine Bara. Kumbuka chama hakichagui Rais, kinachagua mgombea wake kwenda kushindana na wagombea wa vyama vingine. Wazanzibar ndo wanaochagua Rais.kamati kuu ya CCM iendelee kuchagua Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ( Zanzibar + Tanganyika) with balance members wa pande zote.... Wazinzabar waachwe wachague mgombea wao wa Zanzibar huku Watanganyika nao wakichagua Rais wao wa Tanganyika otherwise Zanzibar ni mkoa wenye wilaya tano..
Kama Shein alitoboa kivipi ndugu Mwinyi ashindwe?
Atajua mwenyewe lkn mbele ya Seif hatoboi
Wajumbe wa Zanzibar ni 68.....sisi ndio CCM tunaokwambia!
huyu jamaa alionekana smart sana. ila kwenye ligi aliyoingia atapigwa siasa chafu mpaka adate. hiyo ni trela tu
Kwahiyo unataka chama kiwe na vyombo viwili vya maamuzi kimoja Zanzibar na kingine Bara. Kumbuka chama hakichagui Rais, kinachagua mgombea wake kwenda kushindana na wagombea wa vyama vingine. Wazanzibar ndo wanaochagua Rais.