Pre GE2025 Dkt. Nchimbi aonya viongozi wa CCM kuwavaa wa Serikali

Pre GE2025 Dkt. Nchimbi aonya viongozi wa CCM kuwavaa wa Serikali

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sasa mbona Kila mtu anakuja na yake,kwa sasa kinana atakua amepata mwenzie kidogo mana alikua Kama vile haelewi.
 
Nimeona DAB leo anamdhalilisha DED wa Pangani kwa Kweli haijakaa Poa kabisa hata kama nikutafuta Publicity ile imekuwa too Much ni Ushamba fulani ivi
Hakuna mtu alodhalilishwa acha uongo!
 
Akizungumza leo Januari 20, 2024 jijini Dar es Salaam wakati wa mapokezi yake baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, Nchimbi amesema hakuna mtu asiyejua CCM ndio chama kinachoongoza Serikali, hivyo hakuna ulazima wa kutumia nguvu kudhalilisha watumishi wake.

“Hatuwezi kusimamia Serikali kwa kuwa tunawatukana tukana watu, wewe hapa, kwa nini, mshenzi sana wewe, ahaa hiyo mshenzi haipo katika Ilani ya CCM , lazima tuwaheshimu watumishi wa Serikali, tuongoze kwa weledi.”

Alisema Dkt. Nchimbi
---

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuael Nchimbi ni kama ametupa jiwe gizani akiwaonya baadhi ya viongozi wa chama hicho wanaotumia mamlaka yao kudhalilisha viongozi wa Serikali.

Bila kutaja majina, Dk Nchimbi amesema kumekuwa na utamaduni wa viongozi wa chama hicho kutoa maelekezo kwa viongozi wa Serikali.

Akizungumza leo Januari 20, 2024 jijini Dar es Salaam wakati wa mapokezi yake baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, Nchimbi amesema hakuna mtu asiyejua CCM ndio chama kinachoongoza Serikali, hivyo hakuna ulazima wa kutumia nguvu kudhalilisha watumishi wake.

Januari 15, mwaka huu, chama hicho kilitangaza kumteua Nchimbi aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Misri kushika nafasi hiyo iliyokuwa wazi baada ya Daniel Chongolo kujiuzulu kwa madai ya kuchafuliwa kwenye mitandao ya kijamii.

“Chama chetu kisikwepe wajibu wake wa kuisimamia Serikali, ni wajibu wa kikatiba na kikanuni. Sisi ndio tulichaguliwa na wananchi. Mkataba ni kati ya CCM na wananchi na mtekelezaji wa mkataba ni Serikali, lakini tusimamie bila kuwa na kiburi, tusimamie kwa weledi,’’ amesema.

Bila kutaja jina la mhusika anayetukana viongozi wa Serikali, Nchimbi alisema: “Hatuwezi kusimamia Serikali kwa kuwa tunawatukana tukana watu, wewe hapa, kwa nini, mshenzi sana wewe, ahaa hiyo mshenzi haipo katika Ilani ya CCM , lazima tuwaheshimu watumishi wa Serikali, tuongoze kwa weledi.”
Hii ni kauli ya kijinga sana kutoka kwa katibu mkuu wa mchongo ..wananchi wwnataka matokeo na sio porojo za hapa na pale
 
Akizungumza leo Januari 20, 2024 jijini Dar es Salaam wakati wa mapokezi yake baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, Nchimbi amesema hakuna mtu asiyejua CCM ndio chama kinachoongoza Serikali, hivyo hakuna ulazima wa kutumia nguvu kudhalilisha watumishi wake.

“Hatuwezi kusimamia Serikali kwa kuwa tunawatukana tukana watu, wewe hapa, kwa nini, mshenzi sana wewe, ahaa hiyo mshenzi haipo katika Ilani ya CCM , lazima tuwaheshimu watumishi wa Serikali, tuongoze kwa weledi.”

Alisema Dkt. Nchimbi
---

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuael Nchimbi ni kama ametupa jiwe gizani akiwaonya baadhi ya viongozi wa chama hicho wanaotumia mamlaka yao kudhalilisha viongozi wa Serikali.

Bila kutaja majina, Dk Nchimbi amesema kumekuwa na utamaduni wa viongozi wa chama hicho kutoa maelekezo kwa viongozi wa Serikali.

Akizungumza leo Januari 20, 2024 jijini Dar es Salaam wakati wa mapokezi yake baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, Nchimbi amesema hakuna mtu asiyejua CCM ndio chama kinachoongoza Serikali, hivyo hakuna ulazima wa kutumia nguvu kudhalilisha watumishi wake.

Januari 15, mwaka huu, chama hicho kilitangaza kumteua Nchimbi aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Misri kushika nafasi hiyo iliyokuwa wazi baada ya Daniel Chongolo kujiuzulu kwa madai ya kuchafuliwa kwenye mitandao ya kijamii.

“Chama chetu kisikwepe wajibu wake wa kuisimamia Serikali, ni wajibu wa kikatiba na kikanuni. Sisi ndio tulichaguliwa na wananchi. Mkataba ni kati ya CCM na wananchi na mtekelezaji wa mkataba ni Serikali, lakini tusimamie bila kuwa na kiburi, tusimamie kwa weledi,’’ amesema.

Bila kutaja jina la mhusika anayetukana viongozi wa Serikali, Nchimbi alisema: “Hatuwezi kusimamia Serikali kwa kuwa tunawatukana tukana watu, wewe hapa, kwa nini, mshenzi sana wewe, ahaa hiyo mshenzi haipo katika Ilani ya CCM , lazima tuwaheshimu watumishi wa Serikali, tuongoze kwa weledi.”
First shot fired.

Makonda take that.

Is Oysterbay in the houseee?

Mimi si CCM ila nimefurahi tu Makonda kapigiwa mstari.

Hii ndiyo tofauti ya Kolomije na Oysterbay.

Pascal Mayalla
 
Kupotezeana muda tu, wanaotukana wafanyakazi na kutoa maagizo kwa viongozi wa serikali wanajulikana, waitane waonyane maisha yaendelee, msituchoshe
 
Naona kuna mtu Ukuu wa Mkoa unamrudia
Makonda ni aset kuliko Nchimbi! Jidanganye Makonda watu wa kawaida wanamuona mzuri ila wale maadui zake tokea mwanzo wakiongozwa na team Msoga wanamuona mbaya!
 
CCM sasa hivi haina mwelekeo kabisa. Imerudi ile ya sadaka lau.
 
Hili dongo kwa huyu hapa
Screenshot_20231111_190308_Google~2.jpg
 
Kubembelezana kunalinda mfumo wa Unyonyaji!!!
Kukataa kuzodoana kijinga hakuna maana tubembelezane.

Mtu anaweza kukataa kuzodoana kijinga na kukataa kubembelezana vilevile.

Tatizo Watanzania wengi kama wewe hamjui nuance. For you it is "all, or nothing at all".

For you, it is "kuzodoana kijinga, au kubembelezana".

That is a false dichotomy.

Dr. Nchimbi siwezi kusema namkubali kila kitu, ila hapa alipoanzia kwa kuleta nuance, nimemuelewa sana.

Najua Watanzania wengi kama wewe bado mna miss zile show za kibabe za kusulubu watu kwa style ya "nitumbue nisitumbueee..." halafu mnajibu "tumbuaaaa...".

Ule ujinga umewalevya sana.
 
Akizungumza leo Januari 20, 2024 jijini Dar es Salaam wakati wa mapokezi yake baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, Nchimbi amesema hakuna mtu asiyejua CCM ndio chama kinachoongoza Serikali, hivyo hakuna ulazima wa kutumia nguvu kudhalilisha watumishi wake.

“Hatuwezi kusimamia Serikali kwa kuwa tunawatukana tukana watu, wewe hapa, kwa nini, mshenzi sana wewe, ahaa hiyo mshenzi haipo katika Ilani ya CCM , lazima tuwaheshimu watumishi wa Serikali, tuongoze kwa weledi.”

Alisema Dkt. Nchimbi
---

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuael Nchimbi ni kama ametupa jiwe gizani akiwaonya baadhi ya viongozi wa chama hicho wanaotumia mamlaka yao kudhalilisha viongozi wa Serikali.

Bila kutaja majina, Dk Nchimbi amesema kumekuwa na utamaduni wa viongozi wa chama hicho kutoa maelekezo kwa viongozi wa Serikali.

Akizungumza leo Januari 20, 2024 jijini Dar es Salaam wakati wa mapokezi yake baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, Nchimbi amesema hakuna mtu asiyejua CCM ndio chama kinachoongoza Serikali, hivyo hakuna ulazima wa kutumia nguvu kudhalilisha watumishi wake.

Januari 15, mwaka huu, chama hicho kilitangaza kumteua Nchimbi aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Misri kushika nafasi hiyo iliyokuwa wazi baada ya Daniel Chongolo kujiuzulu kwa madai ya kuchafuliwa kwenye mitandao ya kijamii.

“Chama chetu kisikwepe wajibu wake wa kuisimamia Serikali, ni wajibu wa kikatiba na kikanuni. Sisi ndio tulichaguliwa na wananchi. Mkataba ni kati ya CCM na wananchi na mtekelezaji wa mkataba ni Serikali, lakini tusimamie bila kuwa na kiburi, tusimamie kwa weledi,’’ amesema.

Bila kutaja jina la mhusika anayetukana viongozi wa Serikali, Nchimbi alisema: “Hatuwezi kusimamia Serikali kwa kuwa tunawatukana tukana watu, wewe hapa, kwa nini, mshenzi sana wewe, ahaa hiyo mshenzi haipo katika Ilani ya CCM , lazima tuwaheshimu watumishi wa Serikali, tuongoze kwa weledi.”

Hapo kudai, "sisi ndio tulichaguliwa ba wananchi", ni uwongo. Hakukuwa na uchaguzi 2020. Kulikuwa na uhuni wa kiwango cha juu.
 
Akizungumza leo Januari 20, 2024 jijini Dar es Salaam wakati wa mapokezi yake baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, Nchimbi amesema hakuna mtu asiyejua CCM ndio chama kinachoongoza Serikali, hivyo hakuna ulazima wa kutumia nguvu kudhalilisha watumishi wake.

“Hatuwezi kusimamia Serikali kwa kuwa tunawatukana tukana watu, wewe hapa, kwa nini, mshenzi sana wewe, ahaa hiyo mshenzi haipo katika Ilani ya CCM , lazima tuwaheshimu watumishi wa Serikali, tuongoze kwa weledi.”

Alisema Dkt. Nchimbi
---

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuael Nchimbi ni kama ametupa jiwe gizani akiwaonya baadhi ya viongozi wa chama hicho wanaotumia mamlaka yao kudhalilisha viongozi wa Serikali.

Bila kutaja majina, Dk Nchimbi amesema kumekuwa na utamaduni wa viongozi wa chama hicho kutoa maelekezo kwa viongozi wa Serikali.

Akizungumza leo Januari 20, 2024 jijini Dar es Salaam wakati wa mapokezi yake baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, Nchimbi amesema hakuna mtu asiyejua CCM ndio chama kinachoongoza Serikali, hivyo hakuna ulazima wa kutumia nguvu kudhalilisha watumishi wake.

Januari 15, mwaka huu, chama hicho kilitangaza kumteua Nchimbi aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Misri kushika nafasi hiyo iliyokuwa wazi baada ya Daniel Chongolo kujiuzulu kwa madai ya kuchafuliwa kwenye mitandao ya kijamii.

“Chama chetu kisikwepe wajibu wake wa kuisimamia Serikali, ni wajibu wa kikatiba na kikanuni. Sisi ndio tulichaguliwa na wananchi. Mkataba ni kati ya CCM na wananchi na mtekelezaji wa mkataba ni Serikali, lakini tusimamie bila kuwa na kiburi, tusimamie kwa weledi,’’ amesema.

Bila kutaja jina la mhusika anayetukana viongozi wa Serikali, Nchimbi alisema: “Hatuwezi kusimamia Serikali kwa kuwa tunawatukana tukana watu, wewe hapa, kwa nini, mshenzi sana wewe, ahaa hiyo mshenzi haipo katika Ilani ya CCM , lazima tuwaheshimu watumishi wa Serikali, tuongoze kwa weledi.”
DAB !
Duh 🙄
Kweli sintofahamu inaonekana dhahir !
Ngoja Tusubiri I
 
Bashite ni mjinga sana, hajui utofauti wa uongozi wa kichama na serikali. Alafu eti ndio atake mdahalo na akili kubwa CHADEMA

CHADEMA wamekosea sana kumpa masharti ya kuwa na mdahalo naye ni kama wamempa maujiko

Bashite hata mimi haniwezi ktk mdahalo na kama anataak aje hapa Jf tuweke mdahalo na mada iwe

NI HALALI KWA MDAU WA UCHAGUZI KUTEUWA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI?
Yule ni wakumpuuza,hakuna kumjibu wala kusoma habari..CDM acheni kumjibu chochote huyo bwana Bashite,mpuuzeni

Kama kuna sehemu anapotosha,mpeni MMM,anyooroshe
 
Back
Top Bottom