Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DED kajidharirisha mwenyewe;anasemaje jukumu la kujenga Hospitali ni la Wananchi!!Nimeona DAB leo anamdhalilisha DED wa Pangani kwa Kweli haijakaa Poa kabisa hata kama nikutafuta Publicity ile imekuwa too Much ni Ushamba fulani ivi
Hakuna mtu alodhalilishwa acha uongo!Nimeona DAB leo anamdhalilisha DED wa Pangani kwa Kweli haijakaa Poa kabisa hata kama nikutafuta Publicity ile imekuwa too Much ni Ushamba fulani ivi
Unajua sisi watanzania hatujui hata tunachotaka! DED anawaibia akihojiwa majukumu yake mnasema anadhalilishwa!DED kajidharirisha mwenyewe;anasemaje jukumu la kujenga Hospitali ni la Wananchi!!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Hii ni kauli ya kijinga sana kutoka kwa katibu mkuu wa mchongo ..wananchi wwnataka matokeo na sio porojo za hapa na paleAkizungumza leo Januari 20, 2024 jijini Dar es Salaam wakati wa mapokezi yake baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, Nchimbi amesema hakuna mtu asiyejua CCM ndio chama kinachoongoza Serikali, hivyo hakuna ulazima wa kutumia nguvu kudhalilisha watumishi wake.
“Hatuwezi kusimamia Serikali kwa kuwa tunawatukana tukana watu, wewe hapa, kwa nini, mshenzi sana wewe, ahaa hiyo mshenzi haipo katika Ilani ya CCM , lazima tuwaheshimu watumishi wa Serikali, tuongoze kwa weledi.”
Alisema Dkt. Nchimbi
---
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuael Nchimbi ni kama ametupa jiwe gizani akiwaonya baadhi ya viongozi wa chama hicho wanaotumia mamlaka yao kudhalilisha viongozi wa Serikali.
Bila kutaja majina, Dk Nchimbi amesema kumekuwa na utamaduni wa viongozi wa chama hicho kutoa maelekezo kwa viongozi wa Serikali.
Akizungumza leo Januari 20, 2024 jijini Dar es Salaam wakati wa mapokezi yake baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, Nchimbi amesema hakuna mtu asiyejua CCM ndio chama kinachoongoza Serikali, hivyo hakuna ulazima wa kutumia nguvu kudhalilisha watumishi wake.
Januari 15, mwaka huu, chama hicho kilitangaza kumteua Nchimbi aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Misri kushika nafasi hiyo iliyokuwa wazi baada ya Daniel Chongolo kujiuzulu kwa madai ya kuchafuliwa kwenye mitandao ya kijamii.
“Chama chetu kisikwepe wajibu wake wa kuisimamia Serikali, ni wajibu wa kikatiba na kikanuni. Sisi ndio tulichaguliwa na wananchi. Mkataba ni kati ya CCM na wananchi na mtekelezaji wa mkataba ni Serikali, lakini tusimamie bila kuwa na kiburi, tusimamie kwa weledi,’’ amesema.
Bila kutaja jina la mhusika anayetukana viongozi wa Serikali, Nchimbi alisema: “Hatuwezi kusimamia Serikali kwa kuwa tunawatukana tukana watu, wewe hapa, kwa nini, mshenzi sana wewe, ahaa hiyo mshenzi haipo katika Ilani ya CCM , lazima tuwaheshimu watumishi wa Serikali, tuongoze kwa weledi.”
First shot fired.Akizungumza leo Januari 20, 2024 jijini Dar es Salaam wakati wa mapokezi yake baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, Nchimbi amesema hakuna mtu asiyejua CCM ndio chama kinachoongoza Serikali, hivyo hakuna ulazima wa kutumia nguvu kudhalilisha watumishi wake.
“Hatuwezi kusimamia Serikali kwa kuwa tunawatukana tukana watu, wewe hapa, kwa nini, mshenzi sana wewe, ahaa hiyo mshenzi haipo katika Ilani ya CCM , lazima tuwaheshimu watumishi wa Serikali, tuongoze kwa weledi.”
Alisema Dkt. Nchimbi
---
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuael Nchimbi ni kama ametupa jiwe gizani akiwaonya baadhi ya viongozi wa chama hicho wanaotumia mamlaka yao kudhalilisha viongozi wa Serikali.
Bila kutaja majina, Dk Nchimbi amesema kumekuwa na utamaduni wa viongozi wa chama hicho kutoa maelekezo kwa viongozi wa Serikali.
Akizungumza leo Januari 20, 2024 jijini Dar es Salaam wakati wa mapokezi yake baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, Nchimbi amesema hakuna mtu asiyejua CCM ndio chama kinachoongoza Serikali, hivyo hakuna ulazima wa kutumia nguvu kudhalilisha watumishi wake.
Januari 15, mwaka huu, chama hicho kilitangaza kumteua Nchimbi aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Misri kushika nafasi hiyo iliyokuwa wazi baada ya Daniel Chongolo kujiuzulu kwa madai ya kuchafuliwa kwenye mitandao ya kijamii.
“Chama chetu kisikwepe wajibu wake wa kuisimamia Serikali, ni wajibu wa kikatiba na kikanuni. Sisi ndio tulichaguliwa na wananchi. Mkataba ni kati ya CCM na wananchi na mtekelezaji wa mkataba ni Serikali, lakini tusimamie bila kuwa na kiburi, tusimamie kwa weledi,’’ amesema.
Bila kutaja jina la mhusika anayetukana viongozi wa Serikali, Nchimbi alisema: “Hatuwezi kusimamia Serikali kwa kuwa tunawatukana tukana watu, wewe hapa, kwa nini, mshenzi sana wewe, ahaa hiyo mshenzi haipo katika Ilani ya CCM , lazima tuwaheshimu watumishi wa Serikali, tuongoze kwa weledi.”
Kubembelezana kunalinda mfumo wa Unyonyaji!!!Hii ndiyo tofauti ya Kolomije na Oysterbay.
Makonda ni aset kuliko Nchimbi! Jidanganye Makonda watu wa kawaida wanamuona mzuri ila wale maadui zake tokea mwanzo wakiongozwa na team Msoga wanamuona mbaya!Naona kuna mtu Ukuu wa Mkoa unamrudia
Ahahahahhaha RIP RugeHuyu Nchimbi ana kitu, atafika mbali.
Kukataa kuzodoana kijinga hakuna maana tubembelezane.Kubembelezana kunalinda mfumo wa Unyonyaji!!!
Akizungumza leo Januari 20, 2024 jijini Dar es Salaam wakati wa mapokezi yake baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, Nchimbi amesema hakuna mtu asiyejua CCM ndio chama kinachoongoza Serikali, hivyo hakuna ulazima wa kutumia nguvu kudhalilisha watumishi wake.
“Hatuwezi kusimamia Serikali kwa kuwa tunawatukana tukana watu, wewe hapa, kwa nini, mshenzi sana wewe, ahaa hiyo mshenzi haipo katika Ilani ya CCM , lazima tuwaheshimu watumishi wa Serikali, tuongoze kwa weledi.”
Alisema Dkt. Nchimbi
---
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuael Nchimbi ni kama ametupa jiwe gizani akiwaonya baadhi ya viongozi wa chama hicho wanaotumia mamlaka yao kudhalilisha viongozi wa Serikali.
Bila kutaja majina, Dk Nchimbi amesema kumekuwa na utamaduni wa viongozi wa chama hicho kutoa maelekezo kwa viongozi wa Serikali.
Akizungumza leo Januari 20, 2024 jijini Dar es Salaam wakati wa mapokezi yake baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, Nchimbi amesema hakuna mtu asiyejua CCM ndio chama kinachoongoza Serikali, hivyo hakuna ulazima wa kutumia nguvu kudhalilisha watumishi wake.
Januari 15, mwaka huu, chama hicho kilitangaza kumteua Nchimbi aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Misri kushika nafasi hiyo iliyokuwa wazi baada ya Daniel Chongolo kujiuzulu kwa madai ya kuchafuliwa kwenye mitandao ya kijamii.
“Chama chetu kisikwepe wajibu wake wa kuisimamia Serikali, ni wajibu wa kikatiba na kikanuni. Sisi ndio tulichaguliwa na wananchi. Mkataba ni kati ya CCM na wananchi na mtekelezaji wa mkataba ni Serikali, lakini tusimamie bila kuwa na kiburi, tusimamie kwa weledi,’’ amesema.
Bila kutaja jina la mhusika anayetukana viongozi wa Serikali, Nchimbi alisema: “Hatuwezi kusimamia Serikali kwa kuwa tunawatukana tukana watu, wewe hapa, kwa nini, mshenzi sana wewe, ahaa hiyo mshenzi haipo katika Ilani ya CCM , lazima tuwaheshimu watumishi wa Serikali, tuongoze kwa weledi.”
DAB !Akizungumza leo Januari 20, 2024 jijini Dar es Salaam wakati wa mapokezi yake baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, Nchimbi amesema hakuna mtu asiyejua CCM ndio chama kinachoongoza Serikali, hivyo hakuna ulazima wa kutumia nguvu kudhalilisha watumishi wake.
“Hatuwezi kusimamia Serikali kwa kuwa tunawatukana tukana watu, wewe hapa, kwa nini, mshenzi sana wewe, ahaa hiyo mshenzi haipo katika Ilani ya CCM , lazima tuwaheshimu watumishi wa Serikali, tuongoze kwa weledi.”
Alisema Dkt. Nchimbi
---
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuael Nchimbi ni kama ametupa jiwe gizani akiwaonya baadhi ya viongozi wa chama hicho wanaotumia mamlaka yao kudhalilisha viongozi wa Serikali.
Bila kutaja majina, Dk Nchimbi amesema kumekuwa na utamaduni wa viongozi wa chama hicho kutoa maelekezo kwa viongozi wa Serikali.
Akizungumza leo Januari 20, 2024 jijini Dar es Salaam wakati wa mapokezi yake baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, Nchimbi amesema hakuna mtu asiyejua CCM ndio chama kinachoongoza Serikali, hivyo hakuna ulazima wa kutumia nguvu kudhalilisha watumishi wake.
Januari 15, mwaka huu, chama hicho kilitangaza kumteua Nchimbi aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Misri kushika nafasi hiyo iliyokuwa wazi baada ya Daniel Chongolo kujiuzulu kwa madai ya kuchafuliwa kwenye mitandao ya kijamii.
“Chama chetu kisikwepe wajibu wake wa kuisimamia Serikali, ni wajibu wa kikatiba na kikanuni. Sisi ndio tulichaguliwa na wananchi. Mkataba ni kati ya CCM na wananchi na mtekelezaji wa mkataba ni Serikali, lakini tusimamie bila kuwa na kiburi, tusimamie kwa weledi,’’ amesema.
Bila kutaja jina la mhusika anayetukana viongozi wa Serikali, Nchimbi alisema: “Hatuwezi kusimamia Serikali kwa kuwa tunawatukana tukana watu, wewe hapa, kwa nini, mshenzi sana wewe, ahaa hiyo mshenzi haipo katika Ilani ya CCM , lazima tuwaheshimu watumishi wa Serikali, tuongoze kwa weledi.”
Yule ni wakumpuuza,hakuna kumjibu wala kusoma habari..CDM acheni kumjibu chochote huyo bwana Bashite,mpuuzeniBashite ni mjinga sana, hajui utofauti wa uongozi wa kichama na serikali. Alafu eti ndio atake mdahalo na akili kubwa CHADEMA
CHADEMA wamekosea sana kumpa masharti ya kuwa na mdahalo naye ni kama wamempa maujiko
Bashite hata mimi haniwezi ktk mdahalo na kama anataak aje hapa Jf tuweke mdahalo na mada iwe
NI HALALI KWA MDAU WA UCHAGUZI KUTEUWA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI?