Dkt Nchimbi: CCM imekasirishwa sana na mauwaji ya Ali Kibao na serikali iharakishe haraka uchunguzi na matukio yakomeshwe

Sikutegemea waandishi wa habari wangeuliza maswali kama yale bila hofu.

Hasa yule mbaba mweusi mrefu mnene aliuliza swali lake kwa hisia sana..
 
Ila huyu jamaa (Nchimbi) ni bonge la kiongozi.
Na anamisimamo refer enzi za lowasa. Ila pia ana busara na hekima refer the way anavowajibu wapinzani.
 
Ana busara sana katika kuongea.Hata hivyo inawezekana aliyoahidi anaweza asitekeleze.
Ningependa CCM tumsimamishe yeye mwaka 2025.
a
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…