Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tuna omba orodha na majina yao, nyie UWT ni wajinga sn hata mkiambiwa ameajiri 1,700,000 mtaishia kupiga makofi na kushangili bila kufanya reasoning wala utafiti
Wewe fala nini? Nenda Polisi au Wizara ya mambo ya ndani kaombe hiyo orodha.

Ajira sio zawadi kwamba unaajiriwa tuu au zinatajwa tuu.
 
Sifa kama hizi ndio zinatucheleweshea sana maendeleo ya maana nchi hii, kwa sababu zinapumbaza kushindwa kuona kuwa tupo nyuma sana kulinuganisha na miaka yote hii 60. Ndio maana bado tunaangaika na matundu ya vyoo na changamoto za msingi zenye kutatulika ila hadi leo imekuwa kama tu sehemu ya maisha yetu ila tupo busy kusifiana majukumu ya serikali ya kawaida. Ndio maana tukilinganisha na nchi zengine zinakuja visababu vya sijui Tanzania ni kubwa sana sijui watu wengi.
Wacha maneno kazi ndio zinaongea

View: https://www.instagram.com/p/C6oJPd8q7Wm/?igsh=MXVqcDBhMXhnN3U2aQ==

Mwisho tuko nyuma sana kulinganisha na nani? Ulitaka aliyefanya vizuri tumzomee tusimsifie au?
 
Taifa linajisifia Rais kusaidia NIDA kutoa ID haraka jambo ambalo linapaswa kufanywa na CEO
 
Wacha maneno kazi ndio zinaongea

View: https://www.instagram.com/p/C6oJPd8q7Wm/?igsh=MXVqcDBhMXhnN3U2aQ==

Mwisho tuko nyuma sana kulinganisha na nani? Ulitaka aliyefanya vizuri tumzomee tusimsifie au?

Mbona nimesema kuwa ukilinganisha na umri tuliyo nao wa zaidi ya miaka 60, na nimeelezaa kuwa hizi sifa kwa majukumu ya kawaida tu ya serikali zinatufanya tusione kuwa tupo nyuma kimaendeleo. Kama majukumu ya kawaida tu ya serikali tunasifiana hivi kana kwamba tumetoka kupata uhuru miaka 10 tu nyuma unadhani tutaweza mambo makubwa zaidi ya kuishia kuishia kufurahia kuletewa maji baada ya miaka yote kupita?
 
Uchawa ni kazi kwelikweli inabidi ujitoe ufahamau ulipuke tu ujinga wako.
 
Kumbuka mkuu hiyo ni serikali ambapo isipofanya hayo inalaumiwa maana ndio majukumu yake hayo, sasa sijajua kipi kinachokufanya wewe kuja kusifia matekelezo ya majukumu yake serikali kana kwamba kuna kitu cha ajabu sana kilichafanyika.
Kwani Serikali ngapi zimepita na hazikufanya zaidi ya kuvurunda ? Uliwahi sikia Ajira awamu ya 5? Mnajitoa ufahamu si ndio? 🤣🤣🤣🤣
 
Mbona nimesema kuwa ukilinganisha na umri tuliyo nao wa zaidi ya miaka 60, na nimeelezaa kuwa hizi sifa kwa majukumu ya kawaida tu ya serikali zinatufanya tusione kuwa tupo nyuma kimaendeleo. Kama majukumu ya kawaida tu ya serikali tunasifiana hivi kana kwamba tumetoka kupata uhuru miaka 10 tu nyuma unadhani tutaweza mambo makubwa zaidi ya kuishia kuishia kufurahia kuletewa maji baada ya miaka yote kupita?
Kama mlikuwa mnachagua watu wabovu na mnampiga majungu Samia aliyeonesha maana ya Maendeleo tuwasaidiaje?

Samia hajui majungu Wala maneno mengi yeye anajua kazi tuu.

Miaka 3 Vyuo 29 Vimekamilika

Vyuo 65 vinaendelea na ujenzi 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C6qinxVL-0K/?igsh=ZWhmbG5kdDVlbnFi
 
😆😆😆😆hongera sana mkuu, hakika ubongo wako umejaa vitu
Ni zaidi ya vitu yaani Madini tupu 👇👇
20231112_190454.jpg
20231110_153848.jpg
20240108_091436.jpg
20240108_103858.jpg


Hospitals zenyewe ndio kama hizi 👇👇
Screenshot_20240429-121453.jpg
 
Back
Top Bottom