ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #201
Wewe fala nini? Nenda Polisi au Wizara ya mambo ya ndani kaombe hiyo orodha.Tuna omba orodha na majina yao, nyie UWT ni wajinga sn hata mkiambiwa ameajiri 1,700,000 mtaishia kupiga makofi na kushangili bila kufanya reasoning wala utafiti
Wewe dada angu ni mjinga sn, haya onyesha hapo hiyo orodha ya hao watu 17,000 tuone hayo majina, nyie UWT ni wajinga sn hamfanyi tafitiWewe fala nini? Nenda Polisi kaombe hiyo orodha.
Kama huelewi maneno picha huoni? Mtaa upi huo? ππmasimulizi ya maendeleo, mtaan wananchi ni bila bila
Weka maelezo sio link..Wewe dada angu ni mjinga sn, haya onyesha hapo hiyo orodha ya hao watu 17,000 tuone hayo majina, nyie UWT ni wajinga sn hamfanyi tafiti
Wacha maneno kazi ndio zinaongeaSifa kama hizi ndio zinatucheleweshea sana maendeleo ya maana nchi hii, kwa sababu zinapumbaza kushindwa kuona kuwa tupo nyuma sana kulinuganisha na miaka yote hii 60. Ndio maana bado tunaangaika na matundu ya vyoo na changamoto za msingi zenye kutatulika ila hadi leo imekuwa kama tu sehemu ya maisha yetu ila tupo busy kusifiana majukumu ya serikali ya kawaida. Ndio maana tukilinganisha na nchi zengine zinakuja visababu vya sijui Tanzania ni kubwa sana sijui watu wengi.
Si ufungue utuonyeshe hao waajiriwa 17,000Weka maelezo sio link..
Weka maelezo hapaSi ufungue utuonyeshe hao waajiriwa 17,000
Nikupa link utuonyeshe hao watu matokeo yake unaruka ruka tuWeka maelezo hapa
Umeishiwa ,nakupa zingine ππNikupa link utuonyeshe hao watu matokeo yake unaruka ruka tu
Hizi ni za wakunga watakuwa wanalipwa posho elf 80 per month, haya nionyeshe mtoto wa Majaliwa, Samia, Waziri yoyote au RC aliyeomba hizi nafasi za kijingaUmeishiwa ,nakupa zingine ππ
View: https://www.instagram.com/p/C5a7RKyNmSB/?igsh=MXBlZmgzOWVzdGp5bw==
Mbona nimesema kuwa ukilinganisha na umri tuliyo nao wa zaidi ya miaka 60, na nimeelezaa kuwa hizi sifa kwa majukumu ya kawaida tu ya serikali zinatufanya tusione kuwa tupo nyuma kimaendeleo. Kama majukumu ya kawaida tu ya serikali tunasifiana hivi kana kwamba tumetoka kupata uhuru miaka 10 tu nyuma unadhani tutaweza mambo makubwa zaidi ya kuishia kuishia kufurahia kuletewa maji baada ya miaka yote kupita?Wacha maneno kazi ndio zinaongea
View: https://www.instagram.com/p/C6oJPd8q7Wm/?igsh=MXVqcDBhMXhnN3U2aQ==
Mwisho tuko nyuma sana kulinganisha na nani? Ulitaka aliyefanya vizuri tumzomee tusimsifie au?
Kumbuka mkuu hiyo ni serikali ambapo isipofanya hayo inalaumiwa maana ndio majukumu yake hayo, sasa sijajua kipi kinachokufanya wewe kuja kusifia matekelezo ya majukumu yake serikali kana kwamba kuna kitu cha ajabu sana kilichafanyika.Umeishiwa ,nakupa zingine ππ
View: https://www.instagram.com/p/C5a7RKyNmSB/?igsh=MXBlZmgzOWVzdGp5bw==
Hakuna Raha ya kuwa chawa wa vitu vinavyoonekana.Uchawa ni kazi kwelikweli inabidi ujitoe ufahamau ulipuke tu ujinga wako.
Kwani Serikali ngapi zimepita na hazikufanya zaidi ya kuvurunda ? Uliwahi sikia Ajira awamu ya 5? Mnajitoa ufahamu si ndio? π€£π€£π€£π€£Kumbuka mkuu hiyo ni serikali ambapo isipofanya hayo inalaumiwa maana ndio majukumu yake hayo, sasa sijajua kipi kinachokufanya wewe kuja kusifia matekelezo ya majukumu yake serikali kana kwamba kuna kitu cha ajabu sana kilichafanyika.
Kama mlikuwa mnachagua watu wabovu na mnampiga majungu Samia aliyeonesha maana ya Maendeleo tuwasaidiaje?Mbona nimesema kuwa ukilinganisha na umri tuliyo nao wa zaidi ya miaka 60, na nimeelezaa kuwa hizi sifa kwa majukumu ya kawaida tu ya serikali zinatufanya tusione kuwa tupo nyuma kimaendeleo. Kama majukumu ya kawaida tu ya serikali tunasifiana hivi kana kwamba tumetoka kupata uhuru miaka 10 tu nyuma unadhani tutaweza mambo makubwa zaidi ya kuishia kuishia kufurahia kuletewa maji baada ya miaka yote kupita?
Hakuna Mtu anaelipwa 80,000 Ajira za Serikali.Kima Cha Chini ni 360k.Hizi ni za wakunga watakuwa wanalipwa posho elf 80 per month, haya nionyeshe mtoto wa Majaliwa, Samia, Waziri yoyote au RC aliyeomba hizi nafasi za kijinga
ππππhongera sana mkuu, hakika ubongo wako umejaa vituHakuna Raha ya kuwa chawa wa vitu vinavyoonekana.
Si unaona haters mnavyoteseka ππ
Bado hamjasema Hadi mseme
View: https://twitter.com/mamanafanikisha/status/1787745033057091646?t=9VCrvk9iHMRGQDc6o7s8yw&s=19
Ni zaidi ya vitu yaani Madini tupu ππππππhongera sana mkuu, hakika ubongo wako umejaa vitu