Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu chawq kajipanga,ila anaweza kuthibitisha takwimu za ongezeko la mapato,ama hata kama imepikwa tunajuaje?
Maneno yake yoote hayabadili kura yangu
Takwimu zinazoonesha matokeaπŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/sisiniTanzania/status/1889935972348903719?t=vtXEYor778CNWfOAGw_hKw&s=19
Siko hapa kubeba mzigo wa ujinga wako uliouchagua.

Mirembe iliyoboreshwa na Samia ipo Kwa Ajili ya watu kama nyie πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DGBEH0Ho4CQ/?igsh=MnExOWowYjdkYWlo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…