Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lakini wananchi wako hoi, ajira hakuna, mishahara kiduchu, gharama kubwa za matibabu, elimu, bei za vyakula ziko juu...au haya siyo muhimu?
Mama mitano tena!
1.Ni mwaka gani mlikuwa hai?
2.Ni lini Kila mtu alikuwa na Ajira?
3.Ni awamu ipi mliongezewa mishahara Hadi pomoni?
4.Ni lini gharama za Matibabu,Elimu na vyakula zilikuwa chini au Bure?


Mwisho unaropoka bila kufikiria 😂😂👇👇

View: https://x.com/dictatorbin/status/1897926257557287139?s=19
View: https://x.com/AfricaCDC/status/1866503813768622580?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1866503813768622580%7Ctwgr%5E%7Ctwcon%5Es1_c10&ref_url=
 
Nadhani ingekuwa vyema mafanikio yake yangepiga kelele zaidi kuliko hizi PA. Wahenga walisema kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…