ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #1,421
Safi sana Variables, unafanya kazi ngumu ya kuweka wazi nini kinachofanywa na serikali katika jukwaa huru lililojaa wapingaji wengi wa kazi inayofanywa kwa nia ya kuiinua Tanzania.
Huwa hawakawii kusema hakuna kinachoendelea ππ.Safi sana Variables, unafanya kazi ngumu ya kuweka wazi nini kinachofanywa na serikali katika jukwaa huru lililojaa wapingaji wengi wa kazi inayofanywa kwa nia ya kuiinua Tanzania.
Unahitajika ujasiri na kutokata tamaa, safi sana.
Samia anaisogeza mbali kimaendeleo Tanzania kuliko alivyoachiwa na hayati JPM, wakosoaji wake wanaishia kumpiga vijembe Mwijaku na Baba Levo namna wanavyoifanya shughuli ya kuupamba urais wake.Huwa hawakawii kusema hakuna kinachoendelea ππ.
Niko hapa kuwaonesha ππ
View: https://www.instagram.com/p/DHMST5oN0Le/?igsh=MW9paWVvbnRqcmdxMQ==