ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mnaota kafanya kazi ya kutukuka, kwanini Anatumia fedha kuhonga wananchi ili akubalike ?Ukishakuwa chawa huwezi kutumia akili.
Hivi nchi zote duniani raisi anaabudiwa namna hii? Mbona tunakuwa watu wa namna hii, kusifu kila kitu, hatuwezi kuwa objective hata kidogo.
Amemhonga nani wewe pimbi? Wewe amekuhonga bei gani? Achaga upumbavu wa kusikia na kueneza uzushi.Kama mnaota kafanya kazi ya kutukuka, kwanini Anatumia fedha kuhonga wananchi ili akubalike ?
Kwanini mnavunja Katiba ya ccm ya kumpata mgombea urais ili kumlinda kutoka kwa wanachama wanaotaka kushindana nae kugombea Urais?
Waswahili husema kizuri chajiuza lakini kibaya chajitembeza!
Wewe chawa huyaoni mamilioni mama yenu Anawahonga maaskofu, mashehe, wakina Mwijaku, Dotto Magari Hata wakina Mwamposa!! Anawaalika watu kwenye Sherehe zake halafu anawagawia fedha taslim! Nyie pimbi uchawa umewapumbaza mpaka mmekuwa vipofu hamuoni kinachoendelea mbele yenu.Amemhonga nani wewe pimbi? Wewe amekuhonga bei gani? Achaga upumbavu wa kusikia na kueneza uzushi.
Wewe umeyaona? Nitajie hao Maaskofu aliowahonga.Wewe chawa huyaoni mamilioni mama yenu Anawahonga maaskofu, mashehe, wakina Mwijaku, Dotto Magari Hata wakina Mwamposa!! Anawaalika watu kwenye Sherehe zake halafu anawagawia fedha taslim! Nyie pimbi uchawa umewapumbaza mpaka mmekuwa vipofu hamuoni kinachoendelea mbele yenu.
Ni wewe Pimbi ndio hujui hayo niliyoandika lakini wananchi wote wanaojitambua wanajua kuwa huyo bibi ni mtupu Ndio maana anaogopa kishindanishwa na wanachama wengine wanaotaka kugombea urais.Wewe umeyaona? Nitajie hao Maaskofu aliowahonga.
Umesema amewahonga Watanzania,wewe amekuhonga bei gani?
Hao uliowataja ni wapambe wake kama nyie mlivyo na wapambe wenu,Je Huwa mnawahonga?
Watupu ni wale waliokuwa wanapora pesa za watu kama yule mtu wenu.Ni wewe Pimbi ndio hujui hayo niliyoandika lakini wananchi wote wanaojitambua wanajua kuwa huyo bibi ni mtupu Ndio maana anaogopa kishindanishwa na wanachama wengine wanaotaka kugombea urais.
Watupu ni wale waliokuwa wanapora pesa za watu kama yule mtu wenu.
Nyie mafukara mtaishia kuwa fukara hivyo hivyo Hadi mnazikwa 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DFLb3I6CNqZ/?igsh=anc2bnVzc2w4N21q
Wewe punguani Samia sio tuu amefanilisha hiyo miradi iliyomshinda yule mtu wenu Bali amefanilisha utitiri wa miradi Kila sekta.Nyie Pimbi wa Samia mna sifia tu kuwa huyo bibi yenu amefanikisha miradi kama ule wa Mwalimu Nyerere bwawa la umeme na daraja la Busisi. Cha kushangaza mnaficha gharama za miradi hiyo tangu lSamia amrithi Magu!
Miradi yote aliyorithi gharama zake zimekuwa maradufu kwasababu ya usimamizi mbovu! Angekuwepo Magu miradi ingekwisha upesi ikiwa ya kiwango na gharama nafuu.
Hata huu mradi wa SGR mpaka unakamilika huyu bibi atakuwa amekopa nje na ndani kiasi cha kuiweka nchi rehani kwa waarabu 😂😂
Angalieni deni la taifa linavyopaa, nyie Pimbi mkipata posho yenu basi mnasinzia.