Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wala rushwa wote wameingia kwenye system hata Sabaya wamteueWatoto wa CCM wamerudi kukiendesha chama chao, tuendelee kunywa ambiance..🍻
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala rushwa wote wameingia kwenye system hata Sabaya wamteueWatoto wa CCM wamerudi kukiendesha chama chao, tuendelee kunywa ambiance..🍻
Waafrika huwa wanaunda katiba halafu wanaiacha wanafuata utamaduni... 😂😂😂Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema yeye anajulikana kwa misimamo yake na kama hawapendi misimamo basi wamuondoe tu mapema kabisa
Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi
Mungu mbariki Dr Nchimbi
We ulikuwa umesahau?Amekumbushia tu
Tundu Antipas Lisu kasahau 😀We ulikuwa umesahau?
UWT kuna shida siyo bureTundu Antipas Lisu kasahau 😀
Sabaya na KM ni team tofauti, lakini kama KM kaja kwa kisasi cha 2015 kazini kutakua na kaziWala rushwa wote wameingia kwenye system hata Sabaya wamteue
Ndani ya CCM ni pamoto mnoo. Wenye chama chao wameshasema, 2025 mama yetu asipong'atuka atang'atuliwa kwa style ya Magufuli.Kwani sio ndio utaratibu rasmi huo? Kwani kuna nini mpaka aseme hivyo?
Majangili yote yameikamata system tayariSabaya na KM ni team tofauti, lakini kama KM kaja kwa kisasi cha 2015 kazini kutakua na kazi
Hilo dongo address yake linaenda wapi?Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema yeye anajulikana kwa misimamo yake na kama hawapendi misimamo basi wamuondoe tu mapema kabisa
Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi
Mungu mbariki Dr Nchimbi
Hakuna lugha ya kubembelezana muda mwingine wazowee maneno magumu!Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema yeye anajulikana kwa misimamo yake na kama hawapendi misimamo basi wamuondoe tu mapema kabisa
Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi
Mungu mbariki Dr Nchimbi
Huyu ni kama puto lililojazwa upepo, namjua vizuri sana, ni msomi asiyejiamini, mwoga na hana mawazo huruKatibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema yeye anajulikana kwa misimamo yake na kama hawapendi misimamo basi wamuondoe tu mapema kabisa
Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi
Mungu mbariki Dr Nchimbi
Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema yeye anajulikana kwa misimamo yake na kama hawapendi misimamo basi wamuondoe tu mapema kabisa
Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi
Mungu mbariki Dr Nchimbi
Tena ni mihula miwili kupitia uchaguzi Mkuu.
Case closed Samia for Presidential 2025-2035.(10 years).
Kanani ile ajali tanza 9t pale na kile kidemuChuma kimeanza kutema cheche
Maisha yako yote, sahau!Ndani ya CCM ni pamoto mnoo. Wenye chama chao wameshasema, 2025 mama yetu asipong'atuka atang'atuliwa kwa style ya Magufuli.
Tumia akili wewe, there is more than that.Amekumbushia tu