Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
uhakiki huo utakiwa na tofauti gani na usajiri wa awali?Waziri Ndugulile amesema wizara yake inaweza kuhakiki upya usajili wa namba za simu kwa alama za vidole ili kuwabaini wanaozimiliki isivyo halali.
Ndugulile amesema mitambo ya kubaini hayo wanayo.
Source: Swahili times
Hizo pesa za kufanya hiyo kazi wapeleke kwenye mambo mengine, nchi ina mambo mengi ya kufanya.