supasonic
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 356
- 309
Dah! Kweli hivi ni jambo na vijimamboWaziri Ndugulile amesema wizara yake inaweza kuhakiki upya usajili wa namba za simu kwa alama za vidole ili kuwabaini wanaozimiliki isivyo halali.
Ndugulile amesema mitambo ya kubaini hayo wanayo.
Source: Swahili times