Dkt. Ndyanao Balisidia aliyeimbiwa mwimbo wa harusi na kaka yake Patrick Balisidia miaka ya 70

Dkt. Ndyanao Balisidia aliyeimbiwa mwimbo wa harusi na kaka yake Patrick Balisidia miaka ya 70

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1646539520335.png


Mwanamuziki wa zamani Patrick Balisidia alizaliwa mwaka 1946, mwaka uliofuata yaani 1947 alizaliwa dada yake aliyepewa jina la Ndyanao.

Patrick na Ndyanao walielewana sana na walikua kama mapacha. Siku ya harusi ya Ndyanao, kaka yake Patrick alimuimbia mwimbo wa harusi ambao wengi mnaufahamu kama kuolewa’ ni jambo la sifa’.

Katika baadhi ya maneno ya mwimbo huu, yalisikika ‘ Ndyanao saiba’ huyu ndiye Ndyanano. Licha ya kuwa mkufunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dr Ndyanao ndiye mtunzi wa kitabu cha Shida. Wengi miliki tumia kuji bia mtihani wa Kiswahili kidato cha nne.

Dr Ndyanao Balisidia ni miongoni mwa Tunu za Taifa letu, mama pumzika kwa amani.

 
dah hivi yule mtoto wake patrick balisidya ...white hivi naye mwanamusic aliacha kula ngada? alikuwa anakaa mikocheni
 
Asante sana kwa taarifa hii, kitabu chake kilikuwa na mafunzo sana
 
I take this girl to Hospita,If police come tell him,Chonya of Chilonwa me.Alisikika Chonya akiongea,Kisha watu wakasema,Unasema Mshamba unamuona anaongea Kingereza?Apumzike kwa Amani Ndyanao Balisidia.
Nimekumbuka Mirambo village(Mzumbe)

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
I take this girl to Hospita,If police come tell him,Chonya of Chilonwa me.Alisikika Chonya akiongea,Kisha watu wakasema,Unasema Mshamba unamuona anaongea Kingereza?Apumzike kwa Amani Ndyanao Balisidia.
Umenikumbisha mbali Sana, barikiwa Mkuu.
 
I take this girl to Hospita,If police come tell him,Chonya of Chilonwa me.Alisikika Chonya akiongea,Kisha watu wakasema,Unasema Mshamba unamuona anaongea Kingereza?Apumzike kwa Amani Ndyanao Balisidia.
Kwani alifariki lini Ndyanao Balisidya?
 
Umenikumbusha Patrick Balisdya miaka ya 70 tuliishi jirani kwenye kota za Tandika.
 
Umenikumbusha Patrick Balisdya miaka ya 70 tuliishi jirani kwenye kota za Tandika.
Ni kuzaliwa Afrika tu, Patrick Balisidya alitakiwa kuwa milionea kwa kipaji chake.
 
View attachment 2140540

Mwanamuziki wa zamani Patrick Balisidia alizaliwa mwaka 1946, mwaka uliofuata yaani 1947 alizaliwa dada yake aliyepewa jina la Ndyanao.

Patrick na Ndyanao walielewana sana na walikua kama mapacha. Siku ya harusi ya Ndyanao, kaka yake Patrick alimuimbia mwimbo wa harusi ambao wengi mnaufahamu kama kuolewa’ ni jambo la sifa’.

Katika baadhi ya maneno ya mwimbo huu, yalisikika ‘ Ndyanao saiba’ huyu ndiye Ndyanano. Licha ya kuwa mkufunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dr Ndyanao ndiye mtunzi wa kitabu cha Shida. Wengi miliki tumia kuji bia mtihani wa Kiswahili kidato cha nne.

Dr Ndyanao Balisidia ni miongoni mwa Tunu za Taifa letu, mama pumzika kwa amani.


Asante kwa historia nzuri...
Wimbo wa 'Kuoana ni jambo la sifa' huwa unanikumbusha mbali sana....
Thx
 
Harafu huyo amejaribu kufanana na wewe kwenye profile ya ID yako
 
Back
Top Bottom