Dkt. Neema Rusibamayila Kimambo: Huyu ndiye anafaa kugombea nafasi iliyoachwa wazi na Dkt. Ndugulile

Huijui sekta, kaa kimya pimbi wewe. Huyo Isaac ni msanii tu kama kina Mwijaku tofauti yao ni specialisation tu
We ni mpuuzi wa kiwango Cha juu, professional, profile ipo inaonekana eti msanii, una wivu kuliko mke wako
 
Naomba kuuliza...hivi hii kazi ni ya ki nchi? Au kwa maana nyingine ni lazima mrithi atoke Tz?
Kanuni za kazi kuhusu hili WHO zinasemaje? Unaposema "anafaa kugombea nafasi" ..ina maana atashindani na waTz tu au na wengine toka mataifa mengine tena? WHO watafanya interviews tena?
Mwenye majibu tafadhali tufahamishe.
 
Hongera kwa kuchagua ujinga!! I can see Lack of objectivity and particularlity!πŸ˜€πŸ˜€πŸ€£πŸ€£πŸ€£
Mtu hajawahi kuwa hata DMO, ndiyo unpendekeza kwa kazi kubwa hivyo?? Wewe ni PIMBI tu
 
We ni mpuuzi wa kiwango Cha juu, professional, profile ipo inaonekana eti msanii, una wivu kuliko mke wako
Polepole basi mbona povu la omo kwa fujo? Au wewe ndiye Dr Isaac mwenyewe. Basi tambua tu kuwa wewe bado kinda, endelea kujifunza
 
Atashindana na mataifa mengine Of course
 
Huna unalolijuwa kwenye sekta, pita kule
Bado upo kwenye personal level, kujadili hoja huwezi, huna analytical skills za kujenga hoja, Pole sana, naomba ruhusa Yako nikuite BUMUNDA kama hutojali πŸ˜€πŸ€£πŸ˜€πŸ€£
 
Ile nafasi hairudi tena tz shehe,imekufa na dr ndungu.
 
Bado upo kwenye personal level, kujadili hoja huwezi, huna analytical skills za kujenga hoja, Pole sana, naomba ruhusa Yako nikuite BUMUNDA kama hutojali πŸ˜€πŸ€£πŸ˜€πŸ€£
Bado upo kwenye personal level, kujadili hoja huwezi, huna analytical skills za kujenga hoja, Pole sana, naomba ruhusa Yako nikuite BUMUNDA kama hutojali
 
Co
Bado upo kwenye personal level, kujadili hoja huwezi, huna analytical skills za kujenga hoja, Pole sana, naomba ruhusa Yako nikuite BUMUNDA kama hutojali
Copy and paste πŸ˜€πŸ€£πŸ˜€, highest level of stupidity πŸ‘†
 
Copy and paste πŸ˜€πŸ€£πŸ˜€, highest level of stupidity πŸ‘†
You showing the public that you are bare headed person, that's why you are keep reposting my replies,shame bon you Huihui 2, πŸ€£πŸ€£πŸ€”πŸ€”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…