IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,362
- 6,274
Mimi na jiwe ni kitu kimoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja akusikieChiembe 🐼
Magufuli hana shida shida ni katiba mbovu, nchi inaendeshwa kwa maono ya Rais na si sheria za nchiMagufuli alikuwa bwege sana halafu covid-19 hiyo hiyo ikaja kumpitia dadeq
Ni Dkt.Moremi Marwa ambae alitimuliwa na Mwendazake Kwa kuthibitisha Uwepo wa uviko 19 Kupitia ushahidi wa maabara.
Shirika la Afya Duniani Huwa linamuenzi Dr Mwele Kwa kuanzisha tuzo ya Sayansi ya Magonjwa ambukizi ya Mwele Malecela inayotolewa Kwa watafiti Kila mwaka.
View attachment 2960667
View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1778374400317767778?t=07CH9V1X6z4RR1t8Zfq5rw&s=19
My Take
Walinda Ligacy mnaitwa huku 🤣🤣🤣
Ni Dkt.Moremi Marwa ambae alitimuliwa na Mwendazake Kwa kuthibitisha Uwepo wa uviko 19 Kupitia ushahidi wa maabara.
Shirika la Afya Duniani Huwa linamuenzi Dr Mwele Kwa kuanzisha tuzo ya Sayansi ya Magonjwa ambukizi ya Mwele Malecela inayotolewa Kwa watafiti Kila mwaka.
View attachment 2960667
View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1778374400317767778?t=07CH9V1X6z4RR1t8Zfq5rw&s=19
My Take
Walinda Ligacy mnaitwa huku 🤣🤣🤣
Ni Dkt.Moremi Marwa ambae alitimuliwa na Mwendazake Kwa kuthibitisha Uwepo wa uviko 19 Kupitia ushahidi wa maabara.
Shirika la Afya Duniani Huwa linamuenzi Dr Mwele Kwa kuanzisha tuzo ya Sayansi ya Magonjwa ambukizi ya Mwele Malecela inayotolewa Kwa watafiti Kila mwaka.
View attachment 2960667
View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1778374400317767778?t=07CH9V1X6z4RR1t8Zfq5rw&s=19
My Take
Walinda Ligacy mnaitwa huku 🤣🤣🤣
Kwahiyo yeye hakuambiwa hilo?Magufuli hana shida shida ni katiba mbovu, nchi inaendeshwa kwa maono ya Rais na si sheria za nchi
Elimu ya Tanzania ni makaratasi tupuKwahiyo yeye hakuambiwa hilo?
Yeye kama dokta hajui je watumishi wenye Certificate na Diploma wafanyeje kazi?
PHd ndio wamejenga kituo cha mwendokasi ndani ya bwawa jangwani , sasa waliojenga pembezoni mwa msimbazi si masters, wale wa certificate wanaoshi ndani ya mto kabisa.Elimu ya Tanzania ni makaratasi tupu
Tatizo watu wanaiba mitihani brooPHd ndio wamejenga kituo cha mwendokasi ndani ya bwawa jangwani , sasa waliojenga pembezoni mwa msimbazi si masters, wale wa certificate wanaoshi ndani ya mto kabisa.
Kwahiyo unataka kusema watu wana makaratasi ila kichwani ni tabula-rasa?Tatizo watu wanaiba mitihani broo
Ummy, Mwigulu, Mbarawa, Makamba, Nape, Kijaju, Jafo, Aweso, Masauni, Mkumbo ukiwanyang'anya vyeti wanabaki na nini kichwani?Kwahiyo unataka kusema watu wana makaratasi ila kichwani ni tabula-rasa?
Bora makamba atabaki na kingereza cha kwenye brief-case ,the rest re dead-man-walk!Ummy, Mwigulu, Mbarawa, Makamba, Nape, Kijaju, Jafo, Aweso, Masauni, Mkumbo ukiwanyang'anya vyeti wanabaki na nini kichwani?
Ndiyo shida inaanzia hapoBora makamnba atabaki na kingereza cha kwenye briefcase the rest re dead-man-walk!
Almost yote na wanao tetea wanaona kama anaonewa.Alikurupuka sana John Pombe Magufuli katika maamuzi yake mengi .
Huyo naye ni pisi kali?Aliyesema Mkoa wa Mara hatuna PisiKali ameona chombo hicho 🤗
Hapo ndiyo kwanza yuko above 43, imagine alivyokuwa na 20's 🙌
Watu hawana expose kaka Robert .Huyo naye ni pisi kali?
🤣
Humwoni alivyo kisu Mkuu? 😅Huyo naye ni pisi kali?
🤣
Hmm haya bana.Humwoni alivyo kisu Mkuu? 😅
Hapo bado hajageuka ukaona neema za muumbaji na lile umbo namba 8