We fala nini? Utamuombeaje uponyaji mtu ambaye haumwi?Kwani unekatazwa kumwombea hata kama haumwi?mitanzania mingine bana ni ya ovyo saaana aisee
Nikiam7a kujaa kimya dhidi ya uzushi wa Kigogo na wenzakeMakamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa Mkutano wa TAWIRI unatarajia kufanyika kuanzia Disemba 6 hadi 8 jijini Arusha.
View attachment 2834215
❤nahisi anapendwa,maana siyo kwa kumtafuta hukoMatamanio yangu siku moja Dr mpango awe rais wa jamuhuri yetu.
Hao waandaaji heri wange ahirisha kama uhakika wa mgeni rasmi hatakuwepo,inaweza kuleta taharuki kubwa zaidi.1. Hivi majirani mlio karibu na makaazi ya VP hali ya kuingia na kutoka watu kukoje huko?
2. Kwani hadi sasa familia ya VP wanasemaje?
4. Wafanyakazi wa ofisi ya VP wanasemaje?
5. JK, Pengo na Rugabwa wanasemaje?
6. Pascal Mayalla anasemaje?
7. Nasser Abdul na Khadija Kopa wanasemaje?
8. Je asipoenda leo kwenye hayo maadhimisho na badala yake kukawa na mwakilishi itatafsirika vipi?
Kwa hiyo maombi ni kwa ajili ya wagonjwa tu? Mimi nadhani hata wewe unahitaji maombi kwa maana mdomo wako ni mchafu kama kinyesi cha fisiWe fala nini? Utamuombeaje uponyaji mtu ambaye haumwi?
Hizi pombe za mataputapu ni shida katika ubongo!
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Labda alisharejea kimiya kimiya kama ambavyo alienda kimiya kimiyaNaamini kabisa hili ni tangazo la zamani!, ili kesho VP awe Mgeni rasmi kwenye hiyo event, alipaswa leo awe amerejea nchini kutoka kule kwenye yale majukumu yake ya nje ya nchi, tungemuona leo akirejea!.
Kesho atawakilishwa!.
P
UsipotosheYeye kama mtu au ofisi ya makamu wa Raisi?
Umbea😀Nitag hiyo kideo
Yupo humble sana , mara nyingi watu wanaofunga mikono namna hii ni watu wanyenyekevu sana.[emoji173]nahisi anapendwa,maana siyo kwa kumtafuta huko
Wanapotosha tuNaamini kabisa hili ni tangazo la zamani!, ili kesho VP awe Mgeni rasmi kwenye hiyo event, alipaswa leo awe amerejea nchini kutoka kule kwenye yale majukumu yake ya nje ya nchi, tungemuona leo akirejea!.
Kesho atawakilishwa!.
P
Niko paleee...!Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa Mkutano wa TAWIRI unatarajia kufanyika kuanzia Disemba 6 hadi 8 jijini Arusha.
View attachment 2834215
Amina,ila tatizo ni kuendeshwa nanyi kwa kutumia udhaifu wake wa unyenyekevuYupo humble sana , mara nyingi watu wanaofunga mikono namna hii ni watu wanyenyekevu sana.View attachment 2834315View attachment 2834316
Unyenyekevu sio udhaifu my dear.Amina,ila tatizo ni kuendeshwa nanyi kwa kutumia udhaifu wake wa unyenyekevu
Inakuhusu nini ?Leo si ndio tarehe 6 wajameni amefika huko kwa kikao huyo mwamba?