Dkt. Philip Mpango anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi wa Mkutano wa TAWIRI, Dec 6-8

Dkt. Philip Mpango anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi wa Mkutano wa TAWIRI, Dec 6-8

Katelephone akisema mtu mzima yuko na afya tele basi andaeni mazishi, mzee ana mdomo mbaya sana yule.
Mtu mzima mwenye meno zaidi ya 30 ukiwa mzima wa afya halafu watokee watu wakuulizie.... Halafu anajitokea mtu baki kukujibia wapi ulipo hii inatia shaka. Angeweza tu hata kujirekodi akimpigia simu jafo wakizungumza mambo ya mazingira ingetosha
 
Baba wa uongo kaunguza utambi tena .

Kwa jiwe ilikuwa hivyo hivyo anatakiwa akawapandishe vyeo wanajeshi ikapita, ikaja uzinduzi wa daraja huko kusini ikapita pote huko walikuwa wanasema atakuwepo haendi.

Tukaja kuambiwa yuko imara kumbe yuko mzena hoi taabani.

Baba wa uongo alikuwa ni jiwe kamuachia Samia baba wa uongo aitwae Kasim.

Tukijikumbusha Samia aliwahi kumsema live Majaliwa " Hakuna serikali ya mpito hii ni awamu ya 6 kwahiyo Kasim na wenzako mlifahamu hilo"

Hiyo ilikua ni uthibitisho tosha Samia anafanya kazi na mtu wasiyeendana ila anatafuta namna ya kumtoa.
 
Sema nini, hatuwezi kwenda Peponi/mbinguni bila kufa hivyo ni vema kwa tunaopendana tukaombeana vifo tu ili kwenda kuipata faraja ya milele kuliko haya maisha ya Joto, mafuriko na kukosa pesa.
Umewaza kwa hisia sana mkuu... kuna wengine huwa wanatamani ile siku wangezaliwa wangekufa papo hapo, ili kutokuijua kabisa dunia.
 
Mzee wa Superblack akikwambia kuwa ni mchana, bila kuchungulia nje na kuona jua basi usije kukaa ukaamini.

Jamaa ni liongo kiasi kwamba sasa nina shaka kama hilo jina ni la kwake kweli.

Wenzie washalijua, wanalitumia lenyewe kutoa taarifa za uongo.
 
Umewaza kwa hisia sana mkuu... kuna wengine huwa wanatamani ile siku wangezaliwa wangekufa papo hapo, ili kutokuijua kabisa dunia.
Mimi nikiwa mmoja wapo. Hii adha ya dunia bora hata nisingeiona, ningejiondokea zangu nikiwa na miaka 2 tu.
 
Hata wakati wa Jiwe alitolewa kwenye oxygen na kuletwa kwa Waandishi wa habari, alikuwa anakohoa kila baada ya sekunde 2 kiasi cha kushindwa kueleweka alichokuwa anaongea (video yake imo humu JF)
Vyovyote vile lkn Dr. Mpango ni kiongozi muhimu sana kwa nchi yetu wakati uliopita na hasa sasa, ameenda nje kikazi au anaumwa tuzidi kumuombea afya njema na maisha marefu kwa ustawi wa nchi yetu. Yule mzee anapoongea anapoagiza, anapoelekeza, anaposhauri unaona kabisa yanatoka ndani ya moyo wake na mapenzi ya dhati kwa taifa lake.
 
Hapa ndio umesema kwa weledi. Chanzo cha haya maneno ya hovyo mitaani ni tabia chafu ya serikali yetu kupenda kusema uongo.

Hakuna anayemuombea mabaya VP wetu hata kidogo, lakini wameshindwa nini kuwaambia raia wake kama ni mgonjwa ili nasi tumuombee dua njema?

Kwani binadamu gani huwa haugui? Hayo ya kusema eti yuko kikazi nje ya nchi kimya kimya ni dharau kwetu na kwa mgonjwa (kama anaumwa) na ndio yanafanya watu wajiulize au hayupo tayari?

Taharuki mwasisi wake ni dola yenyewe!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Huu ndio upuuzi ambao kweli sielewi unafanyika kwa sababu gani, kuna mambo ambayo yanaweza kuwa classified secret lkn hili si miongoni mwa mambo hayo. Utafikiri eti wananchi ni wajinga wasiojua kutafakari mambo, VP sio mimi wala dereva wa boda boda. Wananchi wanapaswa kujua habari zake tena kwa wakati na kwa usahihi.
 
Watanzania mmekua na roho mbaya...kusubiria taarifa mbaya...
Mungu ni mwema kila wakati...
Wewe ni mjinga na mpumbavu. Hakuna anayesubiri taarifa mbaya. Tunangojea tumuone makamu ambaye tuliambiwa yuko kikazi korea. Yule sio baba ako kwamba afichwe fichwe, ni potential president
 
Wewe ni mjinga na mpumbavu. Hakuna anayesubiri taarifa mbaya. Tunangojea tumuone makamu ambaye tuliambiwa yuko kikazi korea. Yule sio baba ako kwamba afichwe fichwe, ni potential president
Mjinga na mpumbavu mwenyewe....kama una akili na umejua naongelea watu wa aina gani usingeandika upupu wako huu...
 
Back
Top Bottom